Panya Mabaka
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 619
- 557
magu njoo huku mtani, uone tunavyovunjika mbavu.. eti ulikuwa mshamba zamani... hahahahahahaha....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo saa aliyovaa siro ni aina ganiNgoja tufanye comparison kidogo!!!View attachment 908782
Halafu ankoli anapenda sana travotaView attachment 908666Wakati anaingia Mh.Rais alikuwa anavaa oversize suti zake,lakini siku hizi anavaa size yake.
😀😀😀😀😁Komaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ngoja tufanye comparison kidogo!!!View attachment 908782
Itakua walifuata bandiko la JF.View attachment 908666Wakati anaingia Mh.Rais alikuwa anavaa oversize suti zake,lakini siku hizi anavaa size yake.
Unamaanisha alikuwa kama braza k wa futuhi au?
JF Kuna jicho la tatuItakua walifuata bandiko la JF.
Asante sana kwa waanzilishi wa JF.
Anayeshona suti za Rais Magufuli arekebishe mikono - JamiiForums
Ni fundi mavazi?Kazi ya yule wa Kisarawe hio
Mkuu siyo kila ukiona kichaka unajisikia haja, sehemu zingine unapita tu kama ni mininginilesi kwakoKwa hiyo nawewe umeanzisha mada?
labda alisikia Ushauri
Inawezekana Mkuu