Tata Omturya
Member
- Mar 20, 2020
- 12
- 11
Hiki ni kilio chetu wafanyakazi cha zaidi ya mwaka mmoja tangu kuanza kufuatilia suala hili bila mafanikio katika ofisi zifuatazo:-
(1) Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni
(2) Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
(3) NSSF-Kinondoni
(4) Vyombo vya habari vya binafsi na serikali (Shirika letu pendwa la utangazaji).
Ikumbukwe kampuni hii imekuwa ikilipokea malipo ya fedha nyingi (IPC) toka katika taasisi mbalimbali; lakini madai yetu yamekuwa yakipuuzwa.
Mheshimiwa Rais Magufuli; Mkombozi na Mtetezi wa wanyonge nchini Tanzania, natumaini utatuokoa katika kilio hiki cha muda mrefu.
(1) Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni
(2) Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
(3) NSSF-Kinondoni
(4) Vyombo vya habari vya binafsi na serikali (Shirika letu pendwa la utangazaji).
Ikumbukwe kampuni hii imekuwa ikilipokea malipo ya fedha nyingi (IPC) toka katika taasisi mbalimbali; lakini madai yetu yamekuwa yakipuuzwa.
Mheshimiwa Rais Magufuli; Mkombozi na Mtetezi wa wanyonge nchini Tanzania, natumaini utatuokoa katika kilio hiki cha muda mrefu.