Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?

amewaweza! kila siku wamekuwa wakitunga eti anaogopa uchaguzi, ivi kweli mtu una kila kitu na una uwezo wa kushinda asilimia 99 unaweza ukaogopa uchaguzi?
Wale timu majungu kama nawaona km wenuna maana walianza kutoa unabii wao ...sera wameishiwa wamebaki kufanya mambo ya kitoto sana

sent from HUAWEI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba angesema kufanyika kwa uchaguzi mkuu kutategemea na hali ya coronavirus kuonesha busara na hekima ya hali ya juu, ikiwemo hekima iliyopo kwenye nembo ya 'uhuru na hekima' ya UDSM?
 
Ameyasema hayo wakati akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG, amesisitiza wale wanaofikiri atasogeza uchaguzi mbele wanajidanganya.
Hata hasingesema
Inajulikana uchaguzi ni mwaka huu
 
Kwani unataka hadi rais akufunge kamba usiende sehemu kisa Corona?

Wewe ukiamua kukaa ndani na kujifungia usiende kazini,msikitini au kabisa amua tu sio lazima mheshimiwa rais aseme
Viongozi kazi yao ni kuongoza.

Au unataka viongozi wasioongoza?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Tell a lie once and all your truths become questionable.
 
Sio kwamba angesema kufanyika kwa uchaguzi mkuu kutategemea na hali ya coronavirus kuonesha busara na hekima ya hali ya juu, ikiwemo hekima iliyopo kwenye nembo ya 'uhuru na hekima' ya UDSM?
Hiyo ingeleta tafrani,maneno yangekuwa mengi. Mpaka muda wa uchaguzi Corona itakuwa imekwisha na kama ikiwepo kwa kiwango cha sasa tutajua la kufanya.UCHAGUZI LAZIMA UFANYIKE.
 
Saint Ivuga,
Mungu ampe ufahamu wa kujua kuwa amefeli na ameharibu nchi hivyo 2020 ampishe mwenye uwezo kwenye hiyo office
 
Kwani unataka hadi rais akufunge kamba usiende sehemu kisa Corona?

Wewe ukiamua kukaa ndani na kujifungia usiende kazini,msikitini au kabisa amua tu sio lazima mheshimiwa rais aseme
Ingekuwa hivyo hivyo hadi kwenye mechi za mpira wa miguu,mikutano ya kisiasa NK!Mtu atakayejisikia aende na asiyejisikia asiende ajifungie ndani,shwain!
 
Mungu ampe ufahamu wa kujua kuwa amefeli na ameharibu nchi hivyo 2020 ampishe mwenye uwezo kwenye hiyo office
Nani wakumwachia nchi toka upinzani? Mbowe? Unataka Hazina yetu itoweke kabisa then akimbilie Marekani? Si unaona hata watoto wake majina yao ya Kimarekani.
 
Ingekuwa hivyo hivyo hadi kwenye mechi za mpira wa miguu,mikutano ya kisiasa NK!Mtu atakayejisikia aende na asiyejisikia asiende ajifungie ndani,shwain!
Kwaiyo hadi majukumu na maamuzi yako ya ngazi familia unataka maelekezo ya rais?

Basi subiri uteelekezwa cowards
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…