Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Uchaguzi utafanyika, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha. Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?

You will be coward ukifikiri kuwa hatapata kipindi cha pili. Piga ua anamaliza 2025 unless kifo tu

Hakuna mwenye tatizo na yeye kumaliza kipindi chake, tunataka tume huru ili ashinde kihalali.
 
Hata asipoongea uchaguzi ni takwa la katiba wala sio matakwa yake so aongee asioongee tarehe 25 october ipo kikatiba.
 
Wanasema watu weusi hawaugui Corona.

Halafu Magu kaachia watu wasali makanisani na misikitini.

Anasema Mungu atatusaidia.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Ni kweli Mungu yupo, lakini ana formula zake, hawezi kukusaidia kwa tatizo ambalo unajua kanuni za kuliepuka.

Magufuli atawamaliza watanzania ndo watajua kuwa in 2015 Tanzania fell upon the hands of the Devil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwenye tatizo na yeye kumaliza kipindi chake, tunataka tume huru ili ashinde kihalali.
Kushinda ni kushinda whether kihalali au kimbinu yote iwe lazima narudia lazima JPM afike 2025
 
Nimeelewa ndio maana tusilaumu na tuamini serikali maana inachukua maamuzi hatua kwa hatua.

Kwa nchi masikini kama yetu tukifanya maamuzi ya kukurupuka uchumi unaweza kudorora kisa mataifa makubwa ki uchumi yamefanya tutaumbuka uko mbele ya safari
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Wewe unaelewa kwamba watu wakifa kwa mafungu kutokana na ugonjwa huu, huo uchumi unaoufikiria kuutetea hautakuwapo?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Ni kweli Mungu yupo, lakini ana formula zake, hawezi kukusaidia kwa tatizo ambalo unajua kanuni za kuliepuka.
Magufuli atawamaliza watanzania ndo watajua kuwa in 2015 Tanzania fell upon the hands of the Devil

Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha mungu yupo na kwamba habari za kuwapo kwake si hadithi za watu tu.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Hata asipoongea uchaguzi ni takwa la katiba wala sio matakwa yake so aongee asioongee tarehe 25 october ipo kikatiba.
Uhai wa watu ni muhimu kuliko Katiba, kama kutakua na mlipuko mkubwa wa huu ugonjwa wa korona sidhani Kama tutakubali tufe kwaajili ya ugonjwa ili tu uchaguzi ufanyike.

Kwanza hao wananchi hataonekana maeneo yakupigia Kura labda Watapiga Kura wanasisa na mashabiki wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile issue ya Burigi ambayo ulisema unaipeleka UN umeshaipeleka? Tangu Decemba hatuoni mrejesho au ulikuwa unawadanganya wanasaccos wenzako wa Saccos ya Chadema?
UN wanapokea malalamiko yenu mengi sana, wanasubiri Magufuli afanye mass killing kwenye maandamano baada ya uchaguzi mkuu wa 2020,apigwe pingu Kama Bashir wa Sudan.

Na tayari CIA wana organise hayo maandamano, waliwa beep kwa kumpiga ban Makonda, machale yakawacheza mkakaa kimya, ila bado mtajaa kwenye 18 zao huu mwaka.
Bashir alijifanya mjanja yuko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…