EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hizo ndizo ramli zenyewe kwani kafanya nini kwny nchi hii ambayo watangulizi wake hawakuwahi kufanya???Magufuli kushinda hilo lipo wazi kabisa kwa kazi njema aliyoifanya hadi vipofu wameiona.
Ila akiachia kwa hiari Mambo mengine kupitia maridhiano ya kitaifa yanaweza kwenda sawa shida ni pale tu kashindwa alafu awe king'ang'anizi ,akitolewa kwa nguvu anakua amearibu pakubwa,na heshima yake kushuka zaidi,Itategemeana na nani kashinda ,ikiwa Maganja au shibuda mbona anaachia kwa mbwembwe kabisa
Shida itakuja ukiwa lissu atashinda mzee jiwe atafikiri juu ya mayanga construction company ,25000 hekari ,Mauza uza ya Acacia sijui wasiojulikana ataamua bora waniulie kwa kiti
Ikulu mkuu ni ya watanzania, mbona huwa wakati mwingine hua munajisahau Sana,mfano utamsikia mtu anasema eti hata msipotupiga kura tutaunda serikali ,yahani wananchi wakukatae alafu iyo serikali unaiunda au unamuundia Nani ?Ikulu sio chumba cha kupanga,kiasi kwamba baada ya kuondoka mpangaji huyu ,chumba hicho aweza ingia mtu yoyote,haijalishi ni mhuni, mjinga au mpumbavu.
Lissu kamwe, narudia tena, lissu kamwe hawezi na hataweza kukabidhiwa ikulu, labda jua libadili uelekeo.
Haswaaaa na tarehe 28 Ndo vinaenda kufanya kaziWatu wengi waliojiandikisha si kwa lengo la kupiga kura, bali kupata kitambulisho. Lkn sasa watu hao wamebadili upepo, watatumia kitambulisho chao kufanya wanao jua wao.
Je, kuna sheria inayomtaka atoe tamko hilo?Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
NI Bora tu aendelee hata miaka 20Magufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.
Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.
Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.
Comrade huko kujitoa ufahamu ndo kunawatesa na mtaweweseka sana endelea kujitia upofu kuwa Magufuli hajafanya kitu.Hizo ndizo ramli zenyewe kwani kafanya nini kwny nchi hii ambayo watangulizi wake hawakuwahi kufanya???
Kama anajiamini amefanya mazuri ambayo kula mtanzania anaona aweke mpira uwanjani hafu aone kitakachomtokea
Hiyo Taasisi yako imara miaka yote hii ipo wapi? Mweneyekiti wa kudumu yupo chama gani kile? Siye huyu anayewaleta wahanga kuwa wapambanaji wa kugombea uhuru? Je, huko kuna demokrasia mnayoipigia kelele? Wacha-neni na mbwembwe za kitoto.Tuna taasisi dhaifu sana ambazo hazina ubavu wa kumfuata Ikulu sitting president na kumuamuru aondoke Ikulu
NEC yenyewe kabla ya kutangaza matokeo bila shaka wataomba ruhusa kutoka TISS. Doomed!
Harafu utashangaa pole pole ndo anajitokeza kuja majibu ya ajabu ajabu.Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Mimi siishi DSM pengine hata hayo maflyover unayoyasemea sijawai yaona zaid ya kwenye Picha emb assume unaongea na mpiga kura alieoko Kijiji cha nyamwaga wilaya ya tarime hicho kikubwa kilichofanywa na magufuli ambayo hayakufanywa na watangulizi wakeComrade huko kujitoa ufahamu ndo kunawatesa na mtaweweseka sana endelea kujitia upofu kuwa Magufuli hajafanya kitu.
Mungu amesikia kilio chenuMagufuli hata akishindwa uchaguzi na figisu zake zote ni king'ang'anizi hivyo ni ngumu sana kuwa tayari kuachia madaraka.
Kwa kipindi chake tu hiki cha kwanza cha miaka 5 ameonyesha kila dalili za kutaka kuwa Rais asiye na ukomo wa madaraka.
Watanzania tuamke Magufuli anaharibu nchi.
Alishindwa uchaguzi October 2020 lakini alichelewesha kukabidhi nchi kwa zaidi ya miezi 4 .Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI