Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ndio zile za vitenge ?
Mkuu andiko lako sijapenda kwa nini umeamua kuandika haya leo na juzi ,hii pana sijaipenda kama mkuu anakufaham vizuri na mnafamiana why ulete hapa kwa nini usimfuate ukamnongonezaRais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda vizuri sana kwao chini ya usimamizi wangu usiofuata mkumbo wala ulambaji viatu. Pale ofisi ya msajili mkuu wa Hazina ni nyumbani kwangu na tunafanya vikao kila mara.
Twende kwenye mada.
Unajua kuwa mimi ni mwenyeji mkubwa pale Hazina? Unajua kuwa naelewa madudu yote uliyofanya dhidi ya sekta binafsi kuanzia mwaka 2016 mpaka jana? Unajua kuwa ninazo taarifa za uhakika kuwa kwa utaifishaji holela na uvurugaji wa mipango uliofanya nchi nzima umegharimu ajira za watu siyo chini ya elfu 50?
Naomba nikueleze kuwa siyo kila msaidizi wako anafurahishwa na jinsi unavyoendesha nchi! Naomba kwa leo niishie hapo ila nyongo ikizidi itatoka!
Tukutane Dodoma kesho kwenye ripoti muhimu uliyotutuma kuifanyia kazi Dar!
Ni ngumu sana kuulinda uwongo.CCM ni mabingwa wa kupika takwimu,tunawagonjwa 4 mwingine tunawagonjwa 66
Ajira 6 million?labda wale fisi kule burigi wamepelekewa walinzi kutoka ccm lumumba kina jingalao,kawe alumni,magonjwa mtambuka,bia yetu,motochini etc..hawa wote wameajiriwa burigi kulinda fisi
Tukitumia scale ya cherehani nne ni kiwanda jiwe atakuwa yuko sahihi, ukiona majiko manne ya kuchoma chips mtaani kwako hicho ni kiwanda cha kutengeneza kihepe, kaya nne zenye friji hicho nacho ni kiwanda cha kutengeneza barafu, ukiwa na blenda nne hicho nacho ni kiwanda cha juisi, kwa hiyo Mzee yuko sahihi kabisa nami nakubali
Mkuu andiko lako sijapenda kwa nini umeamua kuandika haya leo na juzi ,hii pana sijaipenda kama mkuu anakufaham vizuri na mnafamiana why ulete hapa kwa nini usimfuate ukamnongoneza
Bahati nzuri sana watanzania wote wanajua uhovyo wa serikali hii. HAKUNA CHA KUWADANGANYAKusema kweli, yaliyosomwa kwenye Hotuba yangekuwa yamefanyika kweli, watanzania Leo tungekuwa tunafurahia. Binafsi huwa sielewi hizo data wazee wanazitoa wapi au chief cooker anahusika.
Anyway, amalize tuu aondoke.
Wakiajiri watu wote hao tusingelala kwa matarumbeta ya wasifiaji kama kwenye Corona kulivyotungwa mistari.Hakuna hizo ajira Bali anafurahisha genge.Bahati nzuri sana watanzania wote wanajua uhovyo wa serikali hii. HAKUNA CHA KUWADANGANYA
ajira 6M. ππ
Uthibitishie umma kuwa magu kateta uongo..?
Hata ukiweza kututhibitishia hapohapo jiulize swali hili "kwanini watu wanachepuka"
Ukijijibu hilo then fatilia mfumo tulioiga wa siasa unaendeshwaje hapo hautapata tabu kujisumbua!
Pia wanasema kuna viwanda vipya elfu 8 , hivi vinatengeneza bidhaa gani na zinauzwa wapi ?
Sawa Mkuu ,sikatai lakini huoni mtoa mada au mada imekaa kinafiki,namanisha kwa nini hakuyasema haya hata mwezi mmoja kabla kasubili mpaka bunge limevunjwa ndo anayasema? Lakini kama si unafiki kwa nini kuendelea fanya kazi na mtu ambae hukubaliani nae ,why usiachie nafasi unayoitumikia ili kujitenga na dhambi iyo maana ata ukifa njaa bado hutaonekana shujaa kuliko kujificha nyuma ya kibodi huku bado unaendelea lipwa na posho za kusafili na huyo huyo ambaye amempa za uso .Ukweli huwekwa hadharani maana hataki ushauri.
Zamani nilikuwa nikiwadharau mama ntilie, nilipokuja kufanya utafiti wa kipato chao cha siku ns kushuhuda maendeleo yao ilijikuta najutia maono yangu. Ujinga wetu ni kutojua kuona fulsa, unakuja situkia barakoa zimebadili maisha ya watu. Ndipo unaanza kumkumbuka marehemu Rugeππ
Binamu kulikoni tena binadamu!!! Bado nakupenda binadamuRais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda vizuri sana kwao chini ya usimamizi wangu usiofuata mkumbo wala ulambaji viatu. Pale ofisi ya msajili mkuu wa Hazina ni nyumbani kwangu na tunafanya vikao kila mara.
Twende kwenye mada.
Unajua kuwa mimi ni mwenyeji mkubwa pale Hazina? Unajua kuwa naelewa madudu yote uliyofanya dhidi ya sekta binafsi kuanzia mwaka 2016 mpaka jana? Unajua kuwa ninazo taarifa za uhakika kuwa kwa utaifishaji holela na uvurugaji wa mipango uliofanya nchi nzima umegharimu ajira za watu siyo chini ya elfu 50?
Naomba nikueleze kuwa siyo kila msaidizi wako anafurahishwa na jinsi unavyoendesha nchi! Naomba kwa leo niishie hapo ila nyongo ikizidi itatoka!
Tukutane Dodoma kesho kwenye ripoti muhimu uliyotutuma kuifanyia kazi Dar!
Ramandani MageniHivi pale hazina wanakuita nani?