playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Unaeza shangaa unajiuliza kumbe na ww umo kwenye orodha ya wamiliki viwanda kwa kumiliki mabeseni na ndoo "KIWANDA CHA UFUAJI" Kila kitu kiwanda hahahahaaaa hii nchi tamu sana.Mimi naomba tu nipate list ya hivyo viwanda, unatengeneza nini na viko wapi?
Mafundi cherehani wameongezeka awamu hii,yani walamba uzi-Mwenendo wa AJIRA sekta binafsi/waliojiajiri;
2013/14 - 408,756
2014/15 - 257,323
2015/16 - 195,002
2016/17 - 239,017
2017/18 - 137,054
View attachment 1480968
-Serikali iliajiri only 1.1% ya walioiomba kazi toka Nov 2015-Dec 2018, sawa na mtu 1 kati ya 100
Ajira zisizo rasmi ndizo uongoza kwa kuingiza pesa nyingi shida wamenyimwa akili ya darasani.Je wajua ukahaba, ombaomba wanaingiza pesa nyingi kwa siku sawa au zaidi ya mwajiriwa wa kiwango cha Kati.Zamani nilikuwa nikiwadharau mama ntilie, nilipokuja kufanya utafiti wa kipato chao cha siku ns kushuhuda maendeleo yao ilijikuta najutia maono yangu. Ujinga wetu ni kutojua kuona fulsa, unakuja situkia barakoa zimebadili maisha ya watu. Ndipo unaanza kumkumbuka marehemu Ruge😂😂
Nia ya Nyerere ya kuanzisha viwanda ilikuwa ni nzuri sema alikosa wasimamizi aliwakabidhi mchwa,yaani soma ule SU mabucha yalikuwa wazi kwa mafisi.Asingewafukuza wakoloni angewaomba usawa tu Kama ilivo South Africa Ila anaetaka kuondoka kwa hiari yake ni sawaMuasisi wa viwanda tanzania ni nyerere, aliyefuata kwa kuhamasisha kwa ukubwa kabisa ni kikwete na ndo matunda tunayoyaona leo 2020 huku jiwe akijisifu vimejengwa awamu yake,
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Ndio maana yake, usijifanye msomi ukadharau kuingiza kipato kwa ajira isiyo rasmi. Huyu amedharau na kudhihaki ajira ya wauza barakoaAjira zisizo rasmi ndizo uongoza kwa kuingiza pesa nyingi shida wamenyimwa akili ya darasani.Je wajua ukahaba, ombaomba wanaingiza pesa nyingi kwa siku sawa au zaidi ya mwajiriwa wa kiwango cha Kati.
Ajira rasmi za wafunga tai kutumikishwa kwenye kiyoyozi then unastaafu masikini huna cha kurithisha watoto maana hata vyeti avirithiki.Ndio maana yake, usijifanye msomi ukadharau kuingiza kipato kwa ajira isiyo rasmi. Huyu amedharau na kudhihaki ajira ya wauza barakoa
Mimi naomba tu nipate list ya hivyo viwanda, unatengeneza nini na viko wapi?
Msema kweli ndio mpenzi wa Mungu.Mkuu andiko lako sijapenda kwa nini umeamua kuandika haya leo na juzi ,hii pana sijaipenda kama mkuu anakufaham vizuri na mnafamiana why ulete hapa kwa nini usimfuate ukamnongoneza
Wote. Kila mmoja alitumwa na Jiwe kwa wakati wake.Pale nilishangaa sijui nimuamini UMNY au MAJALIWA hahahahahaaaaa
Misifa tu,hili daraja lilijengwa kwa fedha za NSSF kila Mara kujisifia nalo.Hizo fedha zilikuwa za wanachama wa mfuko huo,je walizichukua kama mkopo?Wamelipa na riba?Jiwe alidanganya mambo mengi ikiwemo kudai kuwa biashara ya nje kwenye utawala wake imekua kuliko alivyoikuta mwaka 2015 wakati JK anaondoka, kiukweli ni kwamba biashara ya nje imeendelea kuporomoka, kavuruga korosho, exoorts zetu zimezidi kushuka siku baada ya siku halafu Jiwe anasimama mbele ya kadamnasi na kudanganya umma.
Takwimu zote zipo za BOT na TRA zote zinaonyesha Sekta ya uzalishaji, na mapato ya Exports yamepungua, ila Jiwe anatupiga Fiksi tu hivi waziwazi kuwa biashara ya nje imeongezeka kwenye utawala wake kuliko kipindi cha JK
Kitu kingine wakati anahutubia bunge juzi pia kajimilikisha Miradi ya JK kuwa ni mafanikio ya awamu yake, kwa mfano nilimsikia akitaja daraja la Kigamboni kuwa ni achievement ya utawala wake, wakati yeye alikwenda kuzindua tu na kila kitu kilishafanywa na utawala uliomtamgulia!
Sisi na viwanda wapi na wapi?Tulivyokuwa navyo vilienda wapi awali?Kama hatujatafuta vilipoenda Kilimanjaro Machine Tools,Mang'ula,Mgololo Paper Mills,UFI,ZZK nk hatuwezi kuwa nchi ya viwanda.Hakuna mega factories ,bali kuna Sido size zilizoanzishwa toka Bwana Pesa Mbili Mramba.
Mega factories kama Mangula Mechanical Tools,Tanganyika Pakers,Urafiki,Mwatex,General Tyres,n.k vilishakufa.
Viwanda Mama vya kuzalisha Chuma na mkaa vipo drawing board zaidi ya miaka 40.
Viwanda vya kati vilivyotokana na mazao kama mkonge,pamba,korosho,ufuta,ngozi,ambavyo kwa sasa vinapumulia ICU.
Kuna wakati waziri Kangi Lugola akiwa naibu waziri mazingira alikuwa anasaidia sana kuvifunga kana kwamba ana alegi na viwanda.
Viwanda vya Tehama ni sifuri japo gharama zake ni ndogo sana,Kenya na Rwanda wameishaanza Silcon Valley zao,sisi je?
We Jamaa utakua huna unalolijua unapelekwa na akili za kushikiwaAjira may be 7m.
Jiulize reli ya Tanga vijana wangapi wanafanya, wanakula nini wanalala wapi
Mama ntilie hana shamba ananunua wapi mahitaji, hayo mahitaji yanasafirishwa yaani ni chain hadi kwa mkulima na muuza mbolea.
Haya reli zingine pia ya Dar isaka, reli ya umeme, bwawa la umeme bado hujaelewa tu na kuwa mwenyeji wa hazina!?
Acha ushamba.
Je una habari Dodoma tu kuna wafanyakazi wa serikali wamehamia 15,000
Huoni sector ya ujenzi ime boom wewe uko hazina tu.
Drs wameajiriwa
Sometimes we have to be real.