Sisi na viwanda wapi na wapi?Tulivyokuwa navyo vilienda wapi awali?Kama hatujatafuta vilipoenda Kilimanjaro Machine Tools,Mang'ula,Mgololo Paper Mills,UFI,ZZK nk hatuwezi kuwa nchi ya viwanda.
CCM iache usanii,hata hiyo Sera hawaiamini wakati ndiyo iliyokuwa main agenda.Wamebadilisha na kuwa nchi ya Bombardier, Boeings,SGR,Stigler,Flyovers, madaraja,barabara kabla hatujakamilisha main agendas ambazo hizi mpya zingefuatia kama outcome ya kuimarika uchumi.
Kuna mwenye Ilani yao tuone kama siyo copy&paste ya 2015/2020.Wanatwist versions ila hawatakuwa na jipya,ni usanii.Wapi 50mil za kila Kijiji?