Uchaguzi 2020 Rais Magufuli umetutia sana Moyo vijana wako kwenye suala la ajira

Hakuna sababu ya kumuamini, aende tu jamani, wengi hatumtaki.
Kama anataka kuamini aachw uchaguzi uende fair,saa nane mchana tu tayari tutakuwa tunakula ugali tukijua tulichofanya.
TUMECHOKA
 
Hakuna sababu ya kumuamini, aende tu jamani, wengi hatumtaki.
Kama anataka kuamini aachw uchaguzi uende fair,saa nane mchana tu tayari tutakuwa tunakula ugali tukijua tulichofanya.
TUMECHOKA
HAMA NCHI
 
HAMA NCHI
Kuna wajinga flani hudhani hii nchi mali yao kwahyo wenzao hawana haki ya kutoa maoni. Wala kutoa ushauri.
Wewe unaweza kuwa miongoni mwa wajinga ninaowazungumzia hapa.
Alaf kuna wajinga wengine hudhani uzalendo maana yake ni kumtetea rais aliyeko madarakani na chama chake au uzalendo ni kuwashambuliwa watu walioko nje ya chama kilichoko madarakani, wewe unaweza kuwa miongoni mwa wajinga hao..
Alaf tena kuna wapumbavu ambao hutaka anayesema kinyume na wao basi auwawe haraka sana au aadhibiwe vikali, hawa hudhani wao wataishi milele hawafi. Madaraka yanapita, comfort zones zinapita ila Tanzania itabaki na kizazi kingine
 
Umeandika mnoo ila umeshindwa kuainisha "uongo" dhahili, mwenzio kasema kuwa miaka hiyo mitano katengeneza ajira milioni sita!!! Na sasa anajifikilia kutengeneza milioni nane! Au hukumsikia au hukuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…