Uchaguzi 2020 Rais Magufuli umetutia sana Moyo vijana wako kwenye suala la ajira

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli umetutia sana Moyo vijana wako kwenye suala la ajira

1.Somesha watu namba ili wakuabudu
2.komoa na washughulikie washushe wawe masikini wafanyabiashara haswaa Hadi wakimbie wa nje,wenye pesa wote ni wamepiga dili.
3.Ua sekta binafsi kazi zote wape suma jkt.
4.Vunja vunja kabisa diplomasia ili export ife
5.Ua demokrasia na Uhuru
6.Ondoa punguza mzunguko wa pesa mtaani
7.Nyima watumishi haki zao za kikatiba za nyongeza za mishahara ili ajira binafsi zife
8.ongeza Kodi kila sehemu ili ukusanye kingi mara moja hata biashara zife we ushapata Kodi yako
9.Ua competition kwa kufanya monopoly biashara zote miliki wewe.

Hizi ni sera za kikomunisti za kuwafanya watu wawe masikini ili uwatale anaegoma kukuabudu mshughulikie mtumie Uhamiaji,tra,mpe uhujumu uchumi kisha ficha file lake aozee ndani milele au atoe pesa kununua Uhuru wake.

Wenzetu waliona mbali Sana huwezi pewa uongozi Kama una poverty mind
Huyu jamaa anao mpango wa kutufukarisha. Hafai, hafai kabisa. Anaharibu jambo katika jina la kusahihisha bila kuwa na mbadala.
 
Vijana waTz watakuwa na ujinga ikiwa leo hii ndio wanapewa kipaumbele wakati kwa miaka 5 walibebeshwa kauli za "jiajiri"

Salama unaoongolewa leo ni wa Ben kupotea kama kiberiti, azory kupotea kama sh 50 kwenye mchanga na watukupigwa kusingiziwa kesi za ml ama usalama gani?

Ninawaasa mkitaka mlimie meno this time wapeni CCM nchi
Namba tutaisoma vzuri this time
 
Wanabodi,

Huwa siandiki uzi kama sijapata hisia/kuwiwa kuandika ,siandiki kiushabiki ila napenda kushusha nyuzi nikiwa kama kijana mzalendo wa Taifa la Tanzania na mpenda maendeleo.

Huwa napenda ku- declare' kuwa mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi lakini sio msifia chochote ili bora liende lakini napenda ku-analyse vitu na kuangalia vina maslai gani kwa taifa.

Kama kijana mzalendo napenda kuungana na watanzania wengine kutambua kazi nzuri iliyofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kipindi hiki tulichowapa dhamana ya uongozi kwenye taifa hili.

Huwa sipendi kuyaelezea waliyoyafanya maana kuna nyuzi nyingi humu zinaelezea maendeleo na mikakati pamoja na miradi mikubwa yenye tija kwa taifa iliyokamilika na ambayo bado iko mbioni kukamilika,hakika hili ni jambo jema sana na Hongera CCM ,Heko Rais Magufuli.

Nautambua uwezo wako shupavu wa kulivusha taifa letu la Tanzania kwenye hiki kipindi cha miaka mitano,kwenye majanga mbalimbali yaliyotokea yakiwemo ajali za majini,hali ya nchi pamoja na hili janga la corona,haikua rahisi kama Taifa kuvuka kwenye vipindi hivi vya mapito.

Mhe Rais ,kama kijana ambae nafahamu hali za vijana wenzangu hasa hasa wale wahitimu kwa kipindi cha miaka mitano toka mwaka 2015-2020 kulikua na changamoto kubwa sana ya ajira .

Na nilipanga niandike uzi wa kuelezea jinsi vijana wanavyohangaika huku na kule kwenye suala hili mtambuka.

Sitaki kujikita sana ndani ndani kwenye vitabu vya muasisi wa Taifa hili la Tanzania akiongolea kuhusu ajira na elimu lakini wote tunajua Mwalimu Nyerere alithamini na kusisitiza sana watu wafanye kazi (ajira).

Mhe Rais,Tuongee ukweli na bahati nzuri wewe ni mpenzi wa MUNGU na ni msema kweli,Serikali imekua muajiri nambari moja kwenye Taifa hili.

Serikali imekua ikitoa ajira almost 80% kwa vijana na watu wote,na imekua ikifanya hivi kwenye idara zake nyingi zikiwemo ajira za majeshi (polisi,jwtz,magereza,zimamoto ,idara ya uhamiaji etc).

Pia Serikali kwa miaka yote imekua ikitoa ajira nyingi kwa madaktari,wahandisi ,waalimu wa msingi na sekondari n.k

Nisingependa kutaja idara zote ambazo Serikali huwa inaajiri lakini Mhe Rais kwa kipindi toka mwaka 2015 mpaka sasa Serikali haijawahi kutoa zile ajira za wengi,kwa maana nyingine tumekua na idadi ya wahitimu wengi wa vyuo vikuu na vyuo vingine toka mwaka 2015 mpaka sasa .

Hii ni kusema tuna graduates wa intake kama 5 au 6 toka mwaka 2015 ambao wengi wao wako mtaani na wameshindwa kujiajiri na wala hawajaajiriwa na sekta binafsi.

Nimesikiliza kwa makini Mkutano wako wa kampeni leo pale segerea,na ukaongelea kipaumbele chako cha kwanza ambacho ulikifanya cha "Kudumisha Amani na Usalama", ukaongelea hali ilivyokua wakati unaingia madarakani ,kwamba hakukua Hali nzuri ya Usalama na ukatoa mifano ya kuuwawa kwa askari kibiti na lile tukio la Ubungo la majambazi kuiba NMB Mhe Rais nikupongeze hapo ulifanikiwa na umefanikiwa sana, HATUNA ujambazi wala wizi wa kutumia silaha tena,hali ni shwari na tunajisikia kweli tuko kwenye nchi yetu.(KONGOLE SANA).

Mhe Rais,kwenye suala la ajira kiukweli kabisa ndani ya kipindi hiki toka 2015 mpaka sasa serikali ni HAIJAFANYA vizuri kwenye hii sehemu.

Kuna sababu nyingi,labda serikali ilikua ina vipaumbele vingine vya haraka sana vya kufanya ndani ya miaka hii mitano,mfano huwezi kuanza na kipaumbele cha Ajira kwa vijana wakati kuna kipaumbele cha haraka cha Amani na usalama wa Raia.

So kwa mantiki hiyo naelewa kwa nini Serikali yetu haikutoa kipaumbele cha AJIRA kwa vijana kwenye miaka hii mitano ya uongozi wako.

Mhe Rais Magufuli, nimesikiliza maneno yako haya ya leo kwa umakini sana na nikayatafakari jioni ya leo ,naomba niyarudie hapa kwa kunukuu ...

" Vijana wanakosa Ajira,Vijana wanadharaulika,Wengine wamemaliza kusoma hawapati Ajira"
"Miaka mitano inayokuja nataka suala la ajira NILISHUGHULIKIE kwa nguvu zote,kama tunaweza kupandisha uchumi,kujenga Flyover,siwezi kushindwa suala la ajira kwa vijana".

Mhe Rais Magufuli, maneno haya na ahadi hii ulikua unaisema ukiwa unamaanisha na naamini imetoka ndani ya sakafu ya moyo wako, na inaonesha wazi unajua kila jambo linaloendelea kwa vijana wako wahitimu wa Tanzania.

Vijana waliosoma kwa kodi za watu maskini,vijana ambao wana matumaini ya kuingia kwenye soko la ajira,vijana ambao umesema wanadharaulika,Tafadhali usiwaache hawa vijana Mhe Rais.

Tumeashuhudia nafasi nyingi za kazi zilizokua zinatangazwa kupitia UTUMISHI ,na tumeona UMATI wa watu wengi wakijitokeza pale DUCE kwa ajili ya usahili .

Juzi juzi tumeona msururu mrefu wa vijana pale uwanja wa mkapa tena wahitimu wakiwa wanagombea kuingia kwenye usahili wa nafasi za muda za NEC,Mhe Rais hii inaonesha vijana wako wana ARI ya kufanya kazi kwa bidii ndo mana wanastahimili kukaa kwenye foleni ndefu za kungojea usahili.

Huku kwenye sekta binafsi Mhe, taasisi binafsi zinawatumia vijana hawa kwenye INTERNSHIPS na VOLUNTEERING zisizo na mwisho,kweli kuna kujitolea kwenye kupata ujuzi wa kazi lakini kuna makampuni yanawatumia hawa vijana kwenye shida zao kwa KUWANYONYA nguvu zao na kutowapatia japo kifuta jasho.

Mhe Rais sisemi uchukue vijana wote utoe AJIRA kwao,la hasha bali Serikali yako tukufu inaweza ikaandaa mikakati ya kutosha kwenye hili suala mfano Serikali iandae Mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri,Serikali iandae program za kuwanoa vijana kwenye suala la ajira,pale TAESA wanajitahidi ila sio sana.
Serikali iangalie fursa za ajira kwa vijana wake pia nnje ya Tanzania mfano kiswahili kinakua sana africa na duniani kwa ujumla na tuna wahitimu wengi watalaamu wa kiswahili.

Mhe Rais madamu umesema unajua kwamba "Vijana WANADHARAULIKA basi fanya kitu kwa kundi hili "

Serikali yako tukufu iandae hata miswada iende bungeni ikawe sheria kuhusu mazingira wezeshi ya ajira kwa hawa vijana wako.

Mhe ,kama tulivyokomaa kwenye kupandisha uchumi wa nchi yetu basi tukomae hawa vijana wawe pia kwenye daraja la kati kwenye upatikanaji wa ajira na mazingira wezeshi ya ajira (Favourable).

Na umesema leo suala hili la ajira UTALISHUGHULIKIA kwa NGUVU zote basi sisi hatuna shaka na wewe.,MUNGU akupe nguvu kwenye hili,ulikumbuke na vijana wa Tanzania watakukumbuka sana.

Ulikua na mambo mengi sana,programs nyingi sana zipo kwa ajili ya maendeleo ya taifa hili na umekua nazo bize sana kwenye kuhakikisha zinatekelezwa basi sasa ni muda muafaka wa kutumia miaka mitano inayokuja kushughulikia japo kwa asilimia 70 suala la Ajira kwa vijana.

Mhe Magufuli hakuna kama wewe,hakuna chama dume na bora kama CHAMA CHA MAPINDUZI katika kuongoza nchi.

Kama kijana mzalendo wa nchi hii sioni chama kingine cha kuwapa ridhaa ya kuongoza taifa hili kubwa kama chama chetu Tawala cha CCM.

Nirudie tu kwa kauli yako ya leo umenitia sana moyo na umetupa moyo na umerudisha matumaini kwenye vile vipande vipande vya mioyo ya vijana iliyokua imepasuka kwa ajili ya mahangaiko na husstles za kutafuta ajira kwa miaka mitano.

Naamini pasi na shaka haukusema hili la leo ili vijana tu wakupe kura,nimeona kwa macho yangu na kuamini moyoni ulilisema hili ukiwa UNAMANISHA toka ndani ya MOYO wako.,kiukweli kwa serikali kutotoa ajira kwa kipindi cha miaka mitano kimefanya kuwe na jam' kubwa sana ya wahitimu huku mitaani.

Kama serikali ingalitoa ajira toka mwaka 2015 ,tungekua na angalau haueni' kwenye soko la ajira.,kusingekua na mlundikano wa wahitimu,imefikia hatua mpaka baadhi ya watendaji wa juu wa serikali yako wanatonesha vidonda vya wahitimu hawa kwa kauli zao zisizo na staha pasi kujali Mioyo ya vijana hawa iliyopondeka pondeka.

Nimalize kwa kusema Mhe Rais Magufuli umetupa Tumaini Jipya leo kwa vijana wote wa kitanzania kwenye suala hili la ajira na Kwa niaba ya vijana wote wa Taifa hili nakuombea Afya njema na Ulinzi wa MUNGU uwe pamoja nawe kwenye kufanikisha Maono yako kwa Taifa hili.

MUNGU ibariki Tanzania.

MUNGU Ibariki Africa.

Kwa maoni na ushauri usisite kumuandikia Muandishi kwenye barua pepe godjohn8@gmail.com


CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEE.....!
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Haahaa wadanganye haohao.kipindi hiki cha mwisho jpm akipita tutalimia ulimi...
Utalimia ulimi wewe na familia yako kwa ukomo wako wa kufikiri. Binafsi sina huo mpango wa kulimia ulimi, sijawahi na haitatokea kirahisi, hata akiingia kiongozi yoyote yule.
 
Hebu tuambie mazingira gani mazuri yamewekwa ya kufanya biashara hapa Tanzania. Kuanzisha biashara leo ni ngumu zaidi kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita!

Acheni Propaganda sisi wengine tuna deal moja kwa moja na wafanyabiashara kila siku tunajua maumivu yao na hawana pa kusemea. Kila.mmoja anaogopa.

Yawezekana unajizungumzia wewe mwenyewe ukisahau kuwa zaidi ya Watanzania 70% wanaishi vijijini. Vilevile theluthi mbili ya nguvu kazi ya nchi ipo vijijini na inajihusisha na kilimo, ufugaji na uvuvi lakini nguvu kazi hii inapata theluthi moja tu ya pato la Taifa, ni wazi kwamba tija ni ndogo. Hivyo basi, yafuatayo ukitaka kuelewa, yatakupa jibu unalotaka.

Ili kuongeza tija vijijini na kuleta mageuzi ya kiuchumi kwenye kilimo, ufugaji na uvuvi, CCM ilitambua kwamba ni muhimu na ikahakikisha vyama vya ushirika vinaendelezwa kwa kuongozwa kitalaamu na kidemokrasia. Vilevile, ikawa lazima Serikali yake kuhakikisha na kusimamia vyama hivi vinalinda masilahi ya wanachama wake kikamilifu na vikaweza kujenga uwezo wa kukuza uzalishaji katika sekta za kilimo na viwanda.

Ni mazao na bidhaa za wazalishaji hawa ndio msingi wa wafanyabiashara hao unadai wamefunga biashara zao wakati huduma yao kwa wakazi wa mijini haijatetereka hata wakati wa korona, ambapo nchi nyingi, hata za jirani zilifunga mipaka. Nina uhakika wafanya biashara waliofunga shughuli zao ni wale waliokuwa wakikwepa kodi.
 
😶😶🤨🤨😏😏😏😐😐😎😎🤔🤔
 
Furaha yake ni kuona watu wakiwa masikini sawa na sokoine at the atapita maisha yatarudi atabakia kusomwa kwenye historia Kama sokoine na sera za kufukarisha watu
Lakini kiongozi, tusivumilie muda wake mpaka uishe, kama kuna nafasi ya kumuondoa tuitumie hiyo aondoke. Miaka 5- 10 tunapiga marktime hapana, mtu akikupiga pini kwa mwa mmoja tu ni muda mwingi mno. Magufuli hana mpango na ustawi wa jamii anayo iongoza, narudia hana, hebu angalia anavyo jichanganya kwenye swala la ajira.
 
Lakini kiongozi, tusivumilie muda wake mpaka uishe, kama kuna nafasi ya kumuondoa tuitumie hiyo aondoke. Miaka 5- 10 tunapiga marktime hapana, mtu akikupiga pini kwa mwa mmoja tu ni muda mwingi mno. Magufuli hana mpango na ustawi wa jamii anayo iongoza, narudia hana, hebu angalia anavyo jichanganya kwenye swala la ajira.
Kama ameweza bomoa nchi kwa 5 yrs vipi akipewa tena si tutazidi Zimbabwe.Hakuna mkomunisti yeyeto duniani amewahi leta maendeleo ya watu na ustawi wa Jamii.Makomunisti ni watu wa propaganda na kutaka kuabudiwa tu
 
Vijana waTz watakuwa na ujinga ikiwa leo hii ndio wanapewa kipaumbele wakati kwa miaka 5 walibebeshwa kauli za "jiajiri"

Salama unaoongolewa leo ni wa Ben kupotea kama kiberiti, azory kupotea kama sh 50 kwenye mchanga na watukupigwa kusingiziwa kesi za ml ama usalama gani?

Ninawaasa mkitaka mlimie meno this time wapeni CCM nchi
Jiandae kulimia meno, maana ccm kushinda atashinda kwa zaidi ya 80 %.
 
Wanabodi,

Huwa siandiki uzi kama sijapata hisia/kuwiwa kuandika ,siandiki kiushabiki ila napenda kushusha nyuzi nikiwa kama kijana mzalendo wa Taifa la Tanzania na mpenda maendeleo.

Huwa napenda ku- declare' kuwa mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi lakini sio msifia chochote ili bora liende lakini napenda ku-analyse vitu na kuangalia vina maslai gani kwa taifa.

Kama kijana mzalendo napenda kuungana na watanzania wengine kutambua kazi nzuri iliyofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kipindi hiki tulichowapa dhamana ya uongozi kwenye taifa hili.

Huwa sipendi kuyaelezea waliyoyafanya maana kuna nyuzi nyingi humu zinaelezea maendeleo na mikakati pamoja na miradi mikubwa yenye tija kwa taifa iliyokamilika na ambayo bado iko mbioni kukamilika,hakika hili ni jambo jema sana na Hongera CCM ,Heko Rais Magufuli.

Nautambua uwezo wako shupavu wa kulivusha taifa letu la Tanzania kwenye hiki kipindi cha miaka mitano,kwenye majanga mbalimbali yaliyotokea yakiwemo ajali za majini,hali ya nchi pamoja na hili janga la corona,haikua rahisi kama Taifa kuvuka kwenye vipindi hivi vya mapito.

Mhe Rais ,kama kijana ambae nafahamu hali za vijana wenzangu hasa hasa wale wahitimu kwa kipindi cha miaka mitano toka mwaka 2015-2020 kulikua na changamoto kubwa sana ya ajira .

Na nilipanga niandike uzi wa kuelezea jinsi vijana wanavyohangaika huku na kule kwenye suala hili mtambuka.

Sitaki kujikita sana ndani ndani kwenye vitabu vya muasisi wa Taifa hili la Tanzania akiongolea kuhusu ajira na elimu lakini wote tunajua Mwalimu Nyerere alithamini na kusisitiza sana watu wafanye kazi (ajira).

Mhe Rais,Tuongee ukweli na bahati nzuri wewe ni mpenzi wa MUNGU na ni msema kweli,Serikali imekua muajiri nambari moja kwenye Taifa hili.

Serikali imekua ikitoa ajira almost 80% kwa vijana na watu wote,na imekua ikifanya hivi kwenye idara zake nyingi zikiwemo ajira za majeshi (polisi,jwtz,magereza,zimamoto ,idara ya uhamiaji etc).

Pia Serikali kwa miaka yote imekua ikitoa ajira nyingi kwa madaktari,wahandisi ,waalimu wa msingi na sekondari n.k

Nisingependa kutaja idara zote ambazo Serikali huwa inaajiri lakini Mhe Rais kwa kipindi toka mwaka 2015 mpaka sasa Serikali haijawahi kutoa zile ajira za wengi,kwa maana nyingine tumekua na idadi ya wahitimu wengi wa vyuo vikuu na vyuo vingine toka mwaka 2015 mpaka sasa .

Hii ni kusema tuna graduates wa intake kama 5 au 6 toka mwaka 2015 ambao wengi wao wako mtaani na wameshindwa kujiajiri na wala hawajaajiriwa na sekta binafsi.

Nimesikiliza kwa makini Mkutano wako wa kampeni leo pale segerea,na ukaongelea kipaumbele chako cha kwanza ambacho ulikifanya cha "Kudumisha Amani na Usalama", ukaongelea hali ilivyokua wakati unaingia madarakani ,kwamba hakukua Hali nzuri ya Usalama na ukatoa mifano ya kuuwawa kwa askari kibiti na lile tukio la Ubungo la majambazi kuiba NMB Mhe Rais nikupongeze hapo ulifanikiwa na umefanikiwa sana, HATUNA ujambazi wala wizi wa kutumia silaha tena,hali ni shwari na tunajisikia kweli tuko kwenye nchi yetu.(KONGOLE SANA).

Mhe Rais,kwenye suala la ajira kiukweli kabisa ndani ya kipindi hiki toka 2015 mpaka sasa serikali ni HAIJAFANYA vizuri kwenye hii sehemu.

Kuna sababu nyingi,labda serikali ilikua ina vipaumbele vingine vya haraka sana vya kufanya ndani ya miaka hii mitano,mfano huwezi kuanza na kipaumbele cha Ajira kwa vijana wakati kuna kipaumbele cha haraka cha Amani na usalama wa Raia.

So kwa mantiki hiyo naelewa kwa nini Serikali yetu haikutoa kipaumbele cha AJIRA kwa vijana kwenye miaka hii mitano ya uongozi wako.

Mhe Rais Magufuli, nimesikiliza maneno yako haya ya leo kwa umakini sana na nikayatafakari jioni ya leo ,naomba niyarudie hapa kwa kunukuu ...

" Vijana wanakosa Ajira,Vijana wanadharaulika,Wengine wamemaliza kusoma hawapati Ajira"
"Miaka mitano inayokuja nataka suala la ajira NILISHUGHULIKIE kwa nguvu zote,kama tunaweza kupandisha uchumi,kujenga Flyover,siwezi kushindwa suala la ajira kwa vijana".

Mhe Rais Magufuli, maneno haya na ahadi hii ulikua unaisema ukiwa unamaanisha na naamini imetoka ndani ya sakafu ya moyo wako, na inaonesha wazi unajua kila jambo linaloendelea kwa vijana wako wahitimu wa Tanzania.

Vijana waliosoma kwa kodi za watu maskini,vijana ambao wana matumaini ya kuingia kwenye soko la ajira,vijana ambao umesema wanadharaulika,Tafadhali usiwaache hawa vijana Mhe Rais.

Tumeashuhudia nafasi nyingi za kazi zilizokua zinatangazwa kupitia UTUMISHI ,na tumeona UMATI wa watu wengi wakijitokeza pale DUCE kwa ajili ya usahili .

Juzi juzi tumeona msururu mrefu wa vijana pale uwanja wa mkapa tena wahitimu wakiwa wanagombea kuingia kwenye usahili wa nafasi za muda za NEC,Mhe Rais hii inaonesha vijana wako wana ARI ya kufanya kazi kwa bidii ndo mana wanastahimili kukaa kwenye foleni ndefu za kungojea usahili.

Huku kwenye sekta binafsi Mhe, taasisi binafsi zinawatumia vijana hawa kwenye INTERNSHIPS na VOLUNTEERING zisizo na mwisho,kweli kuna kujitolea kwenye kupata ujuzi wa kazi lakini kuna makampuni yanawatumia hawa vijana kwenye shida zao kwa KUWANYONYA nguvu zao na kutowapatia japo kifuta jasho.

Mhe Rais sisemi uchukue vijana wote utoe AJIRA kwao,la hasha bali Serikali yako tukufu inaweza ikaandaa mikakati ya kutosha kwenye hili suala mfano Serikali iandae Mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri,Serikali iandae program za kuwanoa vijana kwenye suala la ajira,pale TAESA wanajitahidi ila sio sana.
Serikali iangalie fursa za ajira kwa vijana wake pia nnje ya Tanzania mfano kiswahili kinakua sana africa na duniani kwa ujumla na tuna wahitimu wengi watalaamu wa kiswahili.

Mhe Rais madamu umesema unajua kwamba "Vijana WANADHARAULIKA basi fanya kitu kwa kundi hili "

Serikali yako tukufu iandae hata miswada iende bungeni ikawe sheria kuhusu mazingira wezeshi ya ajira kwa hawa vijana wako.

Mhe ,kama tulivyokomaa kwenye kupandisha uchumi wa nchi yetu basi tukomae hawa vijana wawe pia kwenye daraja la kati kwenye upatikanaji wa ajira na mazingira wezeshi ya ajira (Favourable).

Na umesema leo suala hili la ajira UTALISHUGHULIKIA kwa NGUVU zote basi sisi hatuna shaka na wewe.,MUNGU akupe nguvu kwenye hili,ulikumbuke na vijana wa Tanzania watakukumbuka sana.

Ulikua na mambo mengi sana,programs nyingi sana zipo kwa ajili ya maendeleo ya taifa hili na umekua nazo bize sana kwenye kuhakikisha zinatekelezwa basi sasa ni muda muafaka wa kutumia miaka mitano inayokuja kushughulikia japo kwa asilimia 70 suala la Ajira kwa vijana.

Mhe Magufuli hakuna kama wewe,hakuna chama dume na bora kama CHAMA CHA MAPINDUZI katika kuongoza nchi.

Kama kijana mzalendo wa nchi hii sioni chama kingine cha kuwapa ridhaa ya kuongoza taifa hili kubwa kama chama chetu Tawala cha CCM.

Nirudie tu kwa kauli yako ya leo umenitia sana moyo na umetupa moyo na umerudisha matumaini kwenye vile vipande vipande vya mioyo ya vijana iliyokua imepasuka kwa ajili ya mahangaiko na husstles za kutafuta ajira kwa miaka mitano.

Naamini pasi na shaka haukusema hili la leo ili vijana tu wakupe kura,nimeona kwa macho yangu na kuamini moyoni ulilisema hili ukiwa UNAMANISHA toka ndani ya MOYO wako.,kiukweli kwa serikali kutotoa ajira kwa kipindi cha miaka mitano kimefanya kuwe na jam' kubwa sana ya wahitimu huku mitaani.

Kama serikali ingalitoa ajira toka mwaka 2015 ,tungekua na angalau haueni' kwenye soko la ajira.,kusingekua na mlundikano wa wahitimu,imefikia hatua mpaka baadhi ya watendaji wa juu wa serikali yako wanatonesha vidonda vya wahitimu hawa kwa kauli zao zisizo na staha pasi kujali Mioyo ya vijana hawa iliyopondeka pondeka.

Nimalize kwa kusema Mhe Rais Magufuli umetupa Tumaini Jipya leo kwa vijana wote wa kitanzania kwenye suala hili la ajira na Kwa niaba ya vijana wote wa Taifa hili nakuombea Afya njema na Ulinzi wa MUNGU uwe pamoja nawe kwenye kufanikisha Maono yako kwa Taifa hili.

MUNGU ibariki Tanzania.

MUNGU Ibariki Africa.

Kwa maoni na ushauri usisite kumuandikia Muandishi kwenye barua pepe godjohn8@gmail.com


CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEE.....!
Swala la walimu wa kiswahili sahau kanisa, mlijidai kujua lugha za nje ni kukosa uzalendo na ni utumwa, hauwezi kwenda nje kufundisha kiswahili kama haujui lugha itakayokuwezesha kufundisha, ona sasa wakenya hao wameitumia fulsa hiyo.
 
Wanabodi,

Huwa siandiki uzi kama sijapata hisia/kuwiwa kuandika ,siandiki kiushabiki ila napenda kushusha nyuzi nikiwa kama kijana mzalendo wa Taifa la Tanzania na mpenda maendeleo.

Huwa napenda ku- declare' kuwa mimi ni mwanachama hai wa Chama cha Mapinduzi lakini sio msifia chochote ili bora liende lakini napenda ku-analyse vitu na kuangalia vina maslai gani kwa taifa.

Kama kijana mzalendo napenda kuungana na watanzania wengine kutambua kazi nzuri iliyofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kipindi hiki tulichowapa dhamana ya uongozi kwenye taifa hili.

Huwa sipendi kuyaelezea waliyoyafanya maana kuna nyuzi nyingi humu zinaelezea maendeleo na mikakati pamoja na miradi mikubwa yenye tija kwa taifa iliyokamilika na ambayo bado iko mbioni kukamilika,hakika hili ni jambo jema sana na Hongera CCM ,Heko Rais Magufuli.

Nautambua uwezo wako shupavu wa kulivusha taifa letu la Tanzania kwenye hiki kipindi cha miaka mitano,kwenye majanga mbalimbali yaliyotokea yakiwemo ajali za majini,hali ya nchi pamoja na hili janga la corona,haikua rahisi kama Taifa kuvuka kwenye vipindi hivi vya mapito.

Mhe Rais ,kama kijana ambae nafahamu hali za vijana wenzangu hasa hasa wale wahitimu kwa kipindi cha miaka mitano toka mwaka 2015-2020 kulikua na changamoto kubwa sana ya ajira .

Na nilipanga niandike uzi wa kuelezea jinsi vijana wanavyohangaika huku na kule kwenye suala hili mtambuka.

Sitaki kujikita sana ndani ndani kwenye vitabu vya muasisi wa Taifa hili la Tanzania akiongolea kuhusu ajira na elimu lakini wote tunajua Mwalimu Nyerere alithamini na kusisitiza sana watu wafanye kazi (ajira).

Mhe Rais,Tuongee ukweli na bahati nzuri wewe ni mpenzi wa MUNGU na ni msema kweli,Serikali imekua muajiri nambari moja kwenye Taifa hili.

Serikali imekua ikitoa ajira almost 80% kwa vijana na watu wote,na imekua ikifanya hivi kwenye idara zake nyingi zikiwemo ajira za majeshi (polisi,jwtz,magereza,zimamoto ,idara ya uhamiaji etc).

Pia Serikali kwa miaka yote imekua ikitoa ajira nyingi kwa madaktari,wahandisi ,waalimu wa msingi na sekondari n.k

Nisingependa kutaja idara zote ambazo Serikali huwa inaajiri lakini Mhe Rais kwa kipindi toka mwaka 2015 mpaka sasa Serikali haijawahi kutoa zile ajira za wengi,kwa maana nyingine tumekua na idadi ya wahitimu wengi wa vyuo vikuu na vyuo vingine toka mwaka 2015 mpaka sasa .

Hii ni kusema tuna graduates wa intake kama 5 au 6 toka mwaka 2015 ambao wengi wao wako mtaani na wameshindwa kujiajiri na wala hawajaajiriwa na sekta binafsi.

Nimesikiliza kwa makini Mkutano wako wa kampeni leo pale segerea,na ukaongelea kipaumbele chako cha kwanza ambacho ulikifanya cha "Kudumisha Amani na Usalama", ukaongelea hali ilivyokua wakati unaingia madarakani ,kwamba hakukua Hali nzuri ya Usalama na ukatoa mifano ya kuuwawa kwa askari kibiti na lile tukio la Ubungo la majambazi kuiba NMB Mhe Rais nikupongeze hapo ulifanikiwa na umefanikiwa sana, HATUNA ujambazi wala wizi wa kutumia silaha tena,hali ni shwari na tunajisikia kweli tuko kwenye nchi yetu.(KONGOLE SANA).

Mhe Rais,kwenye suala la ajira kiukweli kabisa ndani ya kipindi hiki toka 2015 mpaka sasa serikali ni HAIJAFANYA vizuri kwenye hii sehemu.

Kuna sababu nyingi,labda serikali ilikua ina vipaumbele vingine vya haraka sana vya kufanya ndani ya miaka hii mitano,mfano huwezi kuanza na kipaumbele cha Ajira kwa vijana wakati kuna kipaumbele cha haraka cha Amani na usalama wa Raia.

So kwa mantiki hiyo naelewa kwa nini Serikali yetu haikutoa kipaumbele cha AJIRA kwa vijana kwenye miaka hii mitano ya uongozi wako.

Mhe Rais Magufuli, nimesikiliza maneno yako haya ya leo kwa umakini sana na nikayatafakari jioni ya leo ,naomba niyarudie hapa kwa kunukuu ...

" Vijana wanakosa Ajira,Vijana wanadharaulika,Wengine wamemaliza kusoma hawapati Ajira"
"Miaka mitano inayokuja nataka suala la ajira NILISHUGHULIKIE kwa nguvu zote,kama tunaweza kupandisha uchumi,kujenga Flyover,siwezi kushindwa suala la ajira kwa vijana".

Mhe Rais Magufuli, maneno haya na ahadi hii ulikua unaisema ukiwa unamaanisha na naamini imetoka ndani ya sakafu ya moyo wako, na inaonesha wazi unajua kila jambo linaloendelea kwa vijana wako wahitimu wa Tanzania.

Vijana waliosoma kwa kodi za watu maskini,vijana ambao wana matumaini ya kuingia kwenye soko la ajira,vijana ambao umesema wanadharaulika,Tafadhali usiwaache hawa vijana Mhe Rais.

Tumeashuhudia nafasi nyingi za kazi zilizokua zinatangazwa kupitia UTUMISHI ,na tumeona UMATI wa watu wengi wakijitokeza pale DUCE kwa ajili ya usahili .

Juzi juzi tumeona msururu mrefu wa vijana pale uwanja wa mkapa tena wahitimu wakiwa wanagombea kuingia kwenye usahili wa nafasi za muda za NEC,Mhe Rais hii inaonesha vijana wako wana ARI ya kufanya kazi kwa bidii ndo mana wanastahimili kukaa kwenye foleni ndefu za kungojea usahili.

Huku kwenye sekta binafsi Mhe, taasisi binafsi zinawatumia vijana hawa kwenye INTERNSHIPS na VOLUNTEERING zisizo na mwisho,kweli kuna kujitolea kwenye kupata ujuzi wa kazi lakini kuna makampuni yanawatumia hawa vijana kwenye shida zao kwa KUWANYONYA nguvu zao na kutowapatia japo kifuta jasho.

Mhe Rais sisemi uchukue vijana wote utoe AJIRA kwao,la hasha bali Serikali yako tukufu inaweza ikaandaa mikakati ya kutosha kwenye hili suala mfano Serikali iandae Mazingira wezeshi ya vijana kujiajiri,Serikali iandae program za kuwanoa vijana kwenye suala la ajira,pale TAESA wanajitahidi ila sio sana.
Serikali iangalie fursa za ajira kwa vijana wake pia nnje ya Tanzania mfano kiswahili kinakua sana africa na duniani kwa ujumla na tuna wahitimu wengi watalaamu wa kiswahili.

Mhe Rais madamu umesema unajua kwamba "Vijana WANADHARAULIKA basi fanya kitu kwa kundi hili "

Serikali yako tukufu iandae hata miswada iende bungeni ikawe sheria kuhusu mazingira wezeshi ya ajira kwa hawa vijana wako.

Mhe ,kama tulivyokomaa kwenye kupandisha uchumi wa nchi yetu basi tukomae hawa vijana wawe pia kwenye daraja la kati kwenye upatikanaji wa ajira na mazingira wezeshi ya ajira (Favourable).

Na umesema leo suala hili la ajira UTALISHUGHULIKIA kwa NGUVU zote basi sisi hatuna shaka na wewe.,MUNGU akupe nguvu kwenye hili,ulikumbuke na vijana wa Tanzania watakukumbuka sana.

Ulikua na mambo mengi sana,programs nyingi sana zipo kwa ajili ya maendeleo ya taifa hili na umekua nazo bize sana kwenye kuhakikisha zinatekelezwa basi sasa ni muda muafaka wa kutumia miaka mitano inayokuja kushughulikia japo kwa asilimia 70 suala la Ajira kwa vijana.

Mhe Magufuli hakuna kama wewe,hakuna chama dume na bora kama CHAMA CHA MAPINDUZI katika kuongoza nchi.

Kama kijana mzalendo wa nchi hii sioni chama kingine cha kuwapa ridhaa ya kuongoza taifa hili kubwa kama chama chetu Tawala cha CCM.

Nirudie tu kwa kauli yako ya leo umenitia sana moyo na umetupa moyo na umerudisha matumaini kwenye vile vipande vipande vya mioyo ya vijana iliyokua imepasuka kwa ajili ya mahangaiko na husstles za kutafuta ajira kwa miaka mitano.

Naamini pasi na shaka haukusema hili la leo ili vijana tu wakupe kura,nimeona kwa macho yangu na kuamini moyoni ulilisema hili ukiwa UNAMANISHA toka ndani ya MOYO wako.,kiukweli kwa serikali kutotoa ajira kwa kipindi cha miaka mitano kimefanya kuwe na jam' kubwa sana ya wahitimu huku mitaani.

Kama serikali ingalitoa ajira toka mwaka 2015 ,tungekua na angalau haueni' kwenye soko la ajira.,kusingekua na mlundikano wa wahitimu,imefikia hatua mpaka baadhi ya watendaji wa juu wa serikali yako wanatonesha vidonda vya wahitimu hawa kwa kauli zao zisizo na staha pasi kujali Mioyo ya vijana hawa iliyopondeka pondeka.

Nimalize kwa kusema Mhe Rais Magufuli umetupa Tumaini Jipya leo kwa vijana wote wa kitanzania kwenye suala hili la ajira na Kwa niaba ya vijana wote wa Taifa hili nakuombea Afya njema na Ulinzi wa MUNGU uwe pamoja nawe kwenye kufanikisha Maono yako kwa Taifa hili.

MUNGU ibariki Tanzania.

MUNGU Ibariki Africa.

Kwa maoni na ushauri usisite kumuandikia Muandishi kwenye barua pepe godjohn8@gmail.com


CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEE.....!
Siyo moyo tu huyo mzee kwa fix lazima awatie hadi figo na mnaendelea kuamini tu
 
Back
Top Bottom