Rais Magufuli unatawala taifa lisilo na haki, leo ulipaswa kuondoa mfumo kandamizi unaonyima haki wanyonge

Rais Magufuli unatawala taifa lisilo na haki, leo ulipaswa kuondoa mfumo kandamizi unaonyima haki wanyonge

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Leo Rais wetu wa JMT amehudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya mahakama kuu hapa nchini. Kauli mbiu ya kudhimisha miaka 100 ni kujenga nchi inayozingatia haki, udugu na amani katika kuleta ustawi wa jamii.

Mimi binafsi nilitarajia kama mkuu wa nchi ulienda kwenye haya maadhimisho, je unafahamu kuwa unatawala raia ambao haki zao zinaminywa?

Mimi sikutarajia uende hapo kwenye maadhimisho na kuanza kusifia habari za kumaliza mashauri ndani ya miezi sita au mwaka mmoja. Nilitajia uende ukawaeleze Jaji muu, Jaji kiongozi na umma wa Watanzania kuwa raia wengi bado wanaminywa haki zao huku tukiwa karne ya science na teknolojia.

Changamoto kubwa ni polisi kubambikia kesi Wananchi wanyonge huku walio na pesa wakifanya makosa na kupeta uraiani. Jeshi la polisi ambalo halina weledi ambalo kazi yake kubwa ni kupiga na kutesa watuhumiwa kwenye vituo vya polisi, huku baadhi yao sio wakosaji.

Mimi nilitarajia leo hii kama Rais mpenda haki, utangaze kumfuta kazi IGP wa polisi, utangaze kuunda jeshi la polisi la kisasa ambalo halivunji sheria linapopambana na wahalifu huku likitumia mbinu za kisasa.

Nilitarajia uunde tume ya kudumu ambayo itakuwa na mamlaka ya kuchunguza uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, huku ikiwa na mamlaka ya kukupa wewe amiri jeshi mkuu mapendekezo ya kuwafuta kazi wakuu wa polisi wanaovunja sheria.

Kwa ujumla leo ilikuwa ndio siku ya kurekebisha mfumo mzima wa utoaji haki hapa Tanzania, maana miaka 100 toka kiundwe chombo cha kutetea haki za wanyonge lakini hakuna haki kwa raia wanyonge.
 
Mfano pale singida kuna kijiji kimoja kinaitwa mgori kuna watu wamewekwa mahabusu yapata miezi 3 sasa mbaya zaidi aliewabambika tuhuma hiyo akitamba kuwa jamaa watasota ndani na wakija kutoka wakute wake zao wamezalishwa jamaa hao wapo 6 na wanatuhumiwa kumuua mtoto wa mfugaji mmoja wa kisukuma wakati mtoto huyo alifariki kwa mambo yake ya kishirikina najua humu jamvini kuna wajuvi wa sheria hasa mliopo singida wasaidien hao watu familia zao wanateseka sana na watoto
 
Nakumbuka kuna jamaa m1 aliwahi kuwabambikia watu fulan kua wameiba kifaru cha jeshi.
Hahahahahhahahahahahahahaha........
Nchi inavituko hii!!
 
Yeye mwenyewe jiwe ni muumini wa ukandamizaji wa haki na ameaingia madarakani kwa kuminya haki.
 
Leo rais wetu wa JMT amehudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya mahakama kuu hapa nchini. Kauli mbiu ya kudhimisha miaka 100 ni kujenga nchi inayozingatia haki,udugu na amani katika kuleta ustawi wa jamii.

Mimi binafsi nilitarajia kama mkuu wa nchi ulienda kwenye haya maadhimisho,je unafahamu kuwa unatawala raia ambao haki zao zinaminywa?

Mimi sikutarajia uende hapo kwenye maadhimisho na kuanza kusifia habari za kumaliza mashauri ndani ya miezi sita au mwaka mmoja. Nilitajia uende ukawaeleze Jaji muu,Jaji kiongozi na umma wa watazania kuwa raia wengi bado wanaminywa haki zao,huku tukiwa karne ya science na teknolojia.

Changamoto kubwa ni polisi kubambikia kesi wananchi wanyonge huku walio napesa wakifanya makosa na kupeta uraiani. Jeshi la polisi ambalo halina weledi ambalo kazi yake kubwa ni kupiga na kutesa watuhumiwa kwenye vituo vya polisi,huku baadhi yao sio wakosaji.

Mimi nilitarajia leo hii kama rais mpenda kazi,utangaze kumfuta kazi Igp wa polisi, utangaze kuunda jeshi la polisi la kisasa ambalo halivunji sheria linapopambana na wahalifu huku likitumia mbinu za kisasa.

Nilitarajia uunde tume ya kudumu ambayo itakuwa na mamlaka ya kuchunguza uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu,huku ikiwa na mamlaka ya kukupa wewe amiri jeshi mkuu mapendekezo ya kuwafuta kazi wakuu wa polisi wanaovunja sheria.

Kwa ujumla leo ilikuwa ndio siku ya kurekebisha mfumo mzima wa utoaji haki hapa Tanzania,maana miaka 100 toka kiundwe chombo cha kutetea haki za wanyonge lakini hakuna haki kwa raia wanyonge.
Kadiri muda unavyosonga kwa kasi nafurahi kuona waliokuwa na misimamo isiyo sahihi, taratiibu inarejea kwenye ufahamu wa kibinadamu wenye chembechembe za utu ndani yake kama wewe.
 
Kadiri muda unavyosonga kwa kasi nafurahi kuona waliokuwa na misimamo isiyosahihi ,taratiibu inarejea kwenye ufahama wa kibinadamu wenye chembechembe za utu ndani yake kama wewe.
Haki huinua taifa.
 
Mbona sisikii Tena kesi inayomhusu Tundu Lissu
 
Mfano pale singida kuna kijiji kimoja kinaitwa mgori kuna watu wamewekwa mahabusu yapata miezi 3 sasa mbaya zaidi aliewabambika tuhuma hiyo akitamba kuwa jamaa watasota ndani na wakija kutoka wakute wake zao wamezalishwa jamaa hao wapo 6 na wanatuhumiwa kumuua mtoto wa mfugaji mmoja wa kisukuma wakati mtoto huyo alifariki kwa mambo yake ya kishirikina najua humu jamvini kuna wajuvi wa sheria hasa mliopo singida wasaidien hao watu familia zao wanateseka sana na watoto
Mwenye huyo mtoto aliekufa ni msukuma?
 
Yeye mwenyewe jiwe ni muumini wa ukandamizaji wa haki na ameaingia madarakani kwa kuminya haki.

Akishirikina na Yule jamaa ambaye Marekani ilimpiga ban kukanyaga kwao. Ila ajabu tangu aachishwe cheo chake ,hakuna utekaji na mauaji tena. Intelligentsia ya Marekani ni kiboko, hawaropokaji.
 
Leo Rais wetu wa JMT amehudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya mahakama kuu hapa nchini. Kauli mbiu ya kudhimisha miaka 100 ni kujenga nchi inayozingatia haki, udugu na amani katika kuleta ustawi wa jamii.

Mimi binafsi nilitarajia kama mkuu wa nchi ulienda kwenye haya maadhimisho, je unafahamu kuwa unatawala raia ambao haki zao zinaminywa?

Mimi sikutarajia uende hapo kwenye maadhimisho na kuanza kusifia habari za kumaliza mashauri ndani ya miezi sita au mwaka mmoja. Nilitajia uende ukawaeleze Jaji muu, Jaji kiongozi na umma wa watazania kuwa raia wengi bado wanaminywa haki zao huku tukiwa karne ya science na teknolojia.

Changamoto kubwa ni polisi kubambikia kesi wananchi wanyonge huku walio na pesa wakifanya makosa na kupeta uraiani. Jeshi la polisi ambalo halina weledi ambalo kazi yake kubwa ni kupiga na kutesa watuhumiwa kwenye vituo vya polisi, huku baadhi yao sio wakosaji.

Mimi nilitarajia leo hii kama Rais mpenda kazi, utangaze kumfuta kazi IGP wa polisi, utangaze kuunda jeshi la polisi la kisasa ambalo halivunji sheria linapopambana na wahalifu huku likitumia mbinu za kisasa.

Nilitarajia uunde tume ya kudumu ambayo itakuwa na mamlaka ya kuchunguza uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, huku ikiwa na mamlaka ya kukupa wewe amiri jeshi mkuu mapendekezo ya kuwafuta kazi wakuu wa polisi wanaovunja sheria.

Kwa ujumla leo ilikuwa ndio siku ya kurekebisha mfumo mzima wa utoaji haki hapa Tanzania, maana miaka 100 toka kiundwe chombo cha kutetea haki za wanyonge lakini hakuna haki kwa raia wanyonge.
Mbona hapo ufipani mwamba ndio mwenyekiti wakudumu milele na milele na hamuongei chochote, zaidi ni kumshangilia tuuu?? Au nyie sio watu?
 
Leo Rais wetu wa JMT amehudhuria sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya mahakama kuu hapa nchini. Kauli mbiu ya kudhimisha miaka 100 ni kujenga nchi inayozingatia haki, udugu na amani katika kuleta ustawi wa jamii.

Mimi binafsi nilitarajia kama mkuu wa nchi ulienda kwenye haya maadhimisho, je unafahamu kuwa unatawala raia ambao haki zao zinaminywa?

Mimi sikutarajia uende hapo kwenye maadhimisho na kuanza kusifia habari za kumaliza mashauri ndani ya miezi sita au mwaka mmoja. Nilitajia uende ukawaeleze Jaji muu, Jaji kiongozi na umma wa Watanzania kuwa raia wengi bado wanaminywa haki zao huku tukiwa karne ya science na teknolojia.

Changamoto kubwa ni polisi kubambikia kesi Wananchi wanyonge huku walio na pesa wakifanya makosa na kupeta uraiani. Jeshi la polisi ambalo halina weledi ambalo kazi yake kubwa ni kupiga na kutesa watuhumiwa kwenye vituo vya polisi, huku baadhi yao sio wakosaji.

Mimi nilitarajia leo hii kama Rais mpenda kazi, utangaze kumfuta kazi IGP wa polisi, utangaze kuunda jeshi la polisi la kisasa ambalo halivunji sheria linapopambana na wahalifu huku likitumia mbinu za kisasa.

Nilitarajia uunde tume ya kudumu ambayo itakuwa na mamlaka ya kuchunguza uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu, huku ikiwa na mamlaka ya kukupa wewe amiri jeshi mkuu mapendekezo ya kuwafuta kazi wakuu wa polisi wanaovunja sheria.

Kwa ujumla leo ilikuwa ndio siku ya kurekebisha mfumo mzima wa utoaji haki hapa Tanzania, maana miaka 100 toka kiundwe chombo cha kutetea haki za wanyonge lakini hakuna haki kwa raia wanyonge.

Tangu lini aliyenyongwa ana exist, mnyonge hahesabiki kwenye population
 
Back
Top Bottom