Rais Magufuli:Usikubali Ushabiki wa Maria(TFF) kwa Simba, kukufanya ajabu.

Mshatawazwa zaidi ya misimu minne,waacheni na wenzenu watawazwe.
 
Haya subria haphpo na kesho Magufuli atakua uwanja wa taifa na ubaki na roho mbaya yako haiwez kukusaidia kitu
 
Afadhali wew umeliona hilo!,Haiwezakani ukiwa timu za dar ndo unajua mpira kushinda wote,mfano mdogo tu bila unafiki Ndemla anamshinda Ibrahim Ahmada Hilika,au Salum kihimbwa au Hasan Dilunga?
Kwhyo umemuona ndemla tu ndio anaitwa taifa stars je hao wachezaji wa vyura sc ndio wanawazid hao uliowataja
 
Vituko vimekamilika,mambo mengine muwe mnapokea ushauri.
 
Ngoja nimtag Haji Manara [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
At least kalaani vitabia vya kung'oa viti na kutaka point za mezani kule FIFA.
 
Simba ni timu pekee kwa msimu huu ambayo imefungwa mbele ya marais wawili

1. Rais wa Jamuhuri
2. Rais wa shirikisho
 
Simba ni timu pekee kwa msimu huu ambayo imefungwa mbele ya marais wawili

1. Rais wa Jamuhuri
2. Rais wa shirikisho


Simba Ni Timu Pekee Kwa Msimu Huu Ambayo imekabidhiwa Kombe Mbele Ya Maraisi Wawili

1. Raisi Wa Jamuhuri
2. Raisi Wa Shirikisho
 
Simba Ni Timu Pekee Kwa Msimu Huu Ambayo imekabidhiwa Kombe Mbele Ya Maraisi Wawili

1. Raisi Wa Jamuhuri
2. Raisi Wa Shirikisho

Simba ni timu pekee iliyokabidhiwa kombe mbele ya RAIS WA JAMHURI

Lakini sifa na pongezi ikapewa timu pinzani ya siku ya mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…