- Thread starter
- #21
Unajua maana ya taifa stars?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya taifa stars?
Lengo lenu la kumfanya awe ajabu ya soka,nadhan ataghairi baadae--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
View attachment 779157
Eti wivu hahahahaha akina nani hao?Kuna watu wana wivu ayseeee
Eti wivu hahahahaha akina nani hao?Kuna watu wana wivu ayseeee
Habari zenu!
Iwapo Rais Magufuli atakwenda kuwapa kombe Simba la Ubingwa 2018, tukio hili litakuwa ajabu ya dunia ama tunaweza kuita kituko cha karne katika soka.
Sisi wadau wa soka tunajua Karia ni mshabiki wa wazi wa Simba, tumshauri tu apunguze mahaba, sijawahi kusikia Rais kuenda kutoa kombe la ligi ya ndani.Kama sio dharau kwa Rais ni nini hii?.
Analeta habari za kuhalalisha eti nao Serengeti boys nao watamkabidhi kombe, upuuzi mtupu. Nlfkir wamemtumia Rais taarifa ya kwanini wachezaji wengi wa Taifa stars wanachaguliwa zaidi kutoka timu za Dar, pia wamueleze FIFA imetuma sh.ngapi kuwaajili ya Youth soccer, na kwann ligi daraja la kwanza haina udhamini,ili awape hata ushauri wa namna ya kufanya.sio haya masinema.
Mimi naamini mngetaka kumualika Raisi mgetafuta mechi ya taifa stars ili aone fedheha yetu. Siamini kama Rais atawaitikia ,haya mambo yenu ya kujipendekeza na kutafuta kiki.
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
View attachment 779157
Haendi kuangalia mechi, anaenda kukabidhi kombe. Kwa lugha nyingine, yaani hata ingekuwa sherehe za kukabidhi mabingwa kombe lao zinafanyika Diamond Jubilee, angeenda tu kama mgeni rasmiBaada ya Simba kungoa viti taifa alinukuliwa akisena,kwa tabia hii ni bora akaangalie ndondo,je hio mechi ni ya ndondo,?
Kwahiyo unafuraha mno.--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
View attachment 779157