Rais Magufuli:Usikubali Ushabiki wa Maria(TFF) kwa Simba, kukufanya ajabu.

Rais Magufuli:Usikubali Ushabiki wa Maria(TFF) kwa Simba, kukufanya ajabu.

Mkuu Usipate Tabu! Tarehe 19 andamana Mpaka Uwanja Wa Taifa Ukamzuie Magu Asimkabizi Kombe Bingwa Wa Tanzania Ambaye Hajafungwa Hata Mchezo Mmoja.

"SIMBA IS INVINCIBLE "
Eti niandamane?
 
Kwa mapenzi yangu ya dhati kwako na shauli na kuomba zikwepe hizo SIASA za mpira.Zina hasara kubwa kwa upande wa KISIASA!

Ndiyo maana hata Mh Rais mstaafu wa awamu ya nne ndg J.Kikwete alizikwepa.Pamoja na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja.
 
Hilo mbona liko wazi jiwe simba, DAB, na yule sjui muro walimzorotesha manji!
 
Mbona kesha jiharibia bila hata kuzitumia hizo clubs? Ajiweke pembeni bwana! Simba isijejikuta ina gundu kwenye mashindano yajayo huko mbele
 
Kwa mapenzi yangu ya dhati kwako na shauli na kuomba zikwepe hizo SIASA za mpira.Zina hasara kubwa kwa upande wa KISIASA!

Ndiyo maana hata Mh Rais mstaafu wa awamu ya nne ndg J.Kikwete alizikwepa.Pamoja na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja.
Mbona Kikwete hazikumuharibia? Kitu kimoja watanzania tumekubaliana nacho sio cha kutugawa ni kuwa simba au yanga. Mi tunataniana tu, shughuli inaishia hapo. Mwigulu yanga damu ila siasani mamuelewa sana, mi simba.

Magu nae ana hisia jamani, KASHINDWA kukataa mwaliko wa kukabidhi kikombe kwa timu yake pendwa.
 
Mbona Mnalialia? Ingekuwa Nyie Sawa, Simba Siasa? Kwel Akinya Kuku Kanya Ila Bata Kaharsha
Pamoja na kikwete kuwa na MAHABA yake kwa timu ya Yanga ulimuona hata siku moja amejihusisha nayo?
 
Awe Simba au Yanga lkn yeye km mkuu wa nchi hatakiwi kuwa upande.Rejea MAHABA ya kikwete kwa Yanga je ulimuona hata siku moja akijihusisha nayo moja kwa moja?
Labda humjui kikwete, usihofu.
Mpira wa usimba na uyanga kamwe haiwezi haribu siasa.
 
Alijihusisha nayo kupitia Ridhiwani, alafu JK ni mwanachama hai wa Yanga, JPM ni shabiki tu.
Hujui jambo lolote ktk hilo!Lkn na kwa taarifa yako mm na ww hapa jf ni CCM sasa ona tunaanza kutofautiana kwa sababu ya Mh Rais kujihusisha na siasa za mpira.Vipi huko field?Ndiyo maana nakwambia ki siasa itamlazimu azikwepe siasa za u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA!
 
Hujui jambo lolote ktk hilo!Lkn na kwa taarifa yako mm na ww hapa jf ni CCM sasa ona tunaanza kutofautiana kwa sababu ya Mh Rais kujihusisha na siasa za mpira.Vipi huko field?Ndiyo maana nakwambia ki siasa itamlazimu azikwepe siasa za u-Simba na u Yanga ZITAKUHALIBIA!
Mimi sio sisiemu bali ni Pro Magufuli. Sasa unataka hadi timu tuwe tunafanana. Wewe yanga, mimi simba. Mtafute mdau mwingine wa simba ambaye pia ni pro magufuli uone mtazamo wake.
Tunatofautiana sababu wewe ni yanga mimi ni simba.
 
Mimi sio sisiemu bali ni Pro Magufuli. Sasa unataka hadi timu tuwe tunafanana. Wewe yanga, mimi simba. Mtafute mdau mwingine wa simba ambaye pia ni pro magufuli uone mtazamo wake.
Yanga na Simba ni silaha hatari kuliko hata kina Mbowe zikitumika KISIASA!
 
Kwa mapenzi yangu ya dhati kwako na shauli na kuomba zikwepe hizo SIASA za mpira.Zina hasara kubwa kwa upande wa KISIASA!

Ndiyo maana hata Mh Rais mstaafu wa awamu ya nne ndg J.Kikwete alizikwepa.Pamoja na MAHABA yake kwa timu ya Yanga lkn HAKUTHUBUTU kwa namna yeyote kujihusisha nayo kwa maana ya moja kwa moja.
fafanua zaidi
 
Back
Top Bottom