Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Wagombea watarajiwa wa CCM wajipime kwanza kama wanatosha, wasikurupuke tu na kwenda kukiumiza chama

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Wagombea watarajiwa wa CCM wajipime kwanza kama wanatosha, wasikurupuke tu na kwenda kukiumiza chama

katika watu wanaotakiwa kujipima mmoja wapo ni yeye mwenyewe. kaumiza nchi na wananchi kwa kiasi kikubwa.
 
Mtu anajipima then anaomba ridhaa kura za maoni zinapigwa mwenye kushindwa mwenye kushinda sawa ..
Chama kinakuja kuchuja mwenye sifa mbona anaweweseka mapema ili hali ndo mwenye mamlaka ya kuwapitisha...

Ameshakiharibu chama muda wake uishe tu apite hivi.
 
Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amewataka wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wajipime kwanza kama wana ubavu badala ya kukurupuka.

Amewataka wagombea kujipima uwezo wao na kulinganisha sifa walizonazo na zile za watia nia wengine kama huna unachowazidi ni heri ukakaa pembeni badala ya kukipa chama mzigo.

Chanzo: ITV habari

My take:
Nakubaliana na Rais Magufuli kwa 100%
Orodha ya majimbo yenye wabunge mizigo ni sengerema,ukonga,siha,simanjiro,nyangwale, Serengeti, rombo, bukombe,Hanang,kongwa,mkoa wote wa morogoro isipokuwa morogoro mjini,kiteto,mkoa wote wa tanga,mkoa wote wa iringa,mkoa wotewa simiyu na katavi
 
Mh Rais na mwenyekiti wa chama mapinduzi ndugu John Joseph Pombe Magufuli Leo ukiwa unakagua kumbi ZA chama chenu umeskika ukiwataka wote wanao taka kugombea watangulize uzarendo kwanza

Pili umewataka wajitathimini wao wenyewe wanafaaa kweli kwa masilah ya chama cha ccm.

Mh Rais nataka nikujulishe yakuwa kwanza unakundi kubwa lilirokuunga mkono mfano huyu mbunge wa Ukonga hivi kweli unaisi anafaaa kweli?

Nikushauri uwape nafasi wagombee ila kondition ya wao kujipima sidhani maaana hata kwenye uraisi kama chadema ikimpa ridhaa Tundu lisu kuna kamziki kakubwa ka kujifunza.
Hyu sifi leo ndio think taank wa CCM! angalia alichokiandika! Ukiwa uchaguzi huru na haki ccm itapigwa chini asubuhi! Erythrocyte
 
Hii ya Kutaka kujipima ni kuchezea tu hizi test kits wakati majibu yako hadharani tu yaani nyinyiemu MTU kama;-
(1) jobu ndugai unapeleka sample za kupima ni kipoteza tu test kits
(2) lijua Kali unapima nini labda kama kuna papai liliwahi kulia lia kabla halijakatwakatwa mezani
(3)waitara unampima nini wakati ukimsikia anavyobweka huko anakotaka kugombea unaweza sema tu boozers are loosers
(4)msukuma apimwe ili majibu yakitoka aende wapi maana hata timu ya yanga hawezi kubalika
(5) kibajaji apimwe nini wakati wakati hata akiingia mirembe atakuta faili lilifunguliwa Siku nyingi labda tumtoe opd na tumadmit wodini
Kwahiyo jiwe tusitishane wacha wagombea waende tu kugombea uchizi Ccm upo tu hapo Lumumba tutaendelea kuishi na uchizi wenu tumeshawazoea
 
Hongera sana mh Rais huku same mashariki kuna mtu anaitwa Mashafi Ameanza kupita na kuanza kumchafua mama Anne kilango
 
Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM amewataka wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wajipime kwanza kama wana ubavu badala ya kukurupuka.

Amewataka wagombea kujipima uwezo wao na kulinganisha sifa walizonazo na zile za watia nia wengine kama huna unachowazidi ni heri ukakaa pembeni badala ya kukipa chama mzigo.

Chanzo: ITV habari

My take:
Nakubaliana na Rais Magufuli kwa 100%
Kwani yeye alikuwa na sifa za kugombea kuliko Lowasa? au Membe? au Mwele Malecela na wengine? Mbona alipita? Aache kila mmoja apime bahati yake, anaweza kutokewa na ngekewa kama yeye alivyopata kwa NGEKEWA!
 
Kwani yeye alikuwa na sifa za kugombea kuliko Lowasa? au Membe? au Mwele Malecela na wengine? Mbona alipita? Aache kila mmoja apime bahati yake, anaweza kutokewa na ngekewa kama yeye alivyopata kwa NGEKEWA!
Usikariri bwashee!
 
Baada ya kujitathmini 2015 na pia kuonesha nia ya kuomba apitishwe kugombea nafasi ya Urais 2020 ataruhusiwa kupata walau nafasi ya kujieleza mbele ya vikao vya CCM ili wamfikirie?

Mwaka 2015 mwezi Juni kutoka ktk maktaba online

Maneno mazito ya Mzee Bernard C. Membe bado yanaishi mpaka leo kwa wanaCCM ambao wanaitakia mambo makubwa zaidi nchi hii wakielekea 2020, tumsikilize :
 
Back
Top Bottom