johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ninafahamu dhamana ya wizara ya Tamisemi iko direct mikononi mwa Rais Magufuli hivyo ushauri huu nampa akiwa katika nafasi yake ya ukuu wa Tamisemi.
Ni kwamba wagombea wanaobebwa siku zote hawawezi kuwatumikia wananchi hivyo ni heri tukaachana na hii dhana ya kupita bila kupingwa ili tupate viongozi bora.
Ninakumbuka namna wewe binafsi Dr Magufuli ulivyopambana usiku na mchana mwaka ule 2015 na hatimaye ukaibuka kidedea, Naamini changamoto ulizokutana nazo kwenye uchaguzi ule zimekufanya uwe Makini " zaidi " kwenye uongozi wako.
Nakumbuka hata kwenye chaguzi ndogo za ubunge huu utaratibu wa mtu kupita bila kupingwa ulionekana kupitwa na wakati ref Ludewa.
Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
Ni kwamba wagombea wanaobebwa siku zote hawawezi kuwatumikia wananchi hivyo ni heri tukaachana na hii dhana ya kupita bila kupingwa ili tupate viongozi bora.
Ninakumbuka namna wewe binafsi Dr Magufuli ulivyopambana usiku na mchana mwaka ule 2015 na hatimaye ukaibuka kidedea, Naamini changamoto ulizokutana nazo kwenye uchaguzi ule zimekufanya uwe Makini " zaidi " kwenye uongozi wako.
Nakumbuka hata kwenye chaguzi ndogo za ubunge huu utaratibu wa mtu kupita bila kupingwa ulionekana kupitwa na wakati ref Ludewa.
Ni hayo tu kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!