Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

Usikute wao tayari washapiga zao za kuwalinda
 

Shetani yupo busy alirudisha majeshi nyuma leo Hii mnasema kaangukia pua ngoja arudi.

Chukua tahadhari Corona inaua
Hata akirudi yeye ni wa kukemewa tu Kama mbwa Koko!! Pamoja na Bwana Yesu ushindi ni hakika!!
 
Hujamwelewa Rais wetu, naomba nijaribu kukuelewesha Kama kweli hitaji lako ni kueleweshwa.
Rais kasema hivi tuchukue tahadhari lakini huku tukimtanguliza Mungu mbele ya mambo yote. Yaani mwamini Mungu na mtegemee Mungu kwanza kabla ya tahadhari yoyote! Mungu mbele tahadhari nyuma. Siyo kwamba Mungu mbele tahadhari hakuna la hajasema Wala hajawahi kusema hivyo!
Amesema mataifa yaliyotanguliza tahadhari mbele na kubeza kumtanguliza Mungu Kama tulivyofanya sisi, kwenye mataifa hayo wamekufa watu wengi sana kwa maelfu na wanaendelea kufa pamoja na tahadhari zao za kuvas barakoa na kufanya lockdown!! Huo ni ukweli ambao hauwezi kukanushwa! Linganisha Marekani na Tanzania Kisha ulete jibu, linganisha Uingereza na Tanzania Kisha ulete jibu!! Ukweli uko wazi kuwa barakoa na lockdown hazijaweza kuwasaidia.
Halafu amesema hata tukisema watu wavae barakoa wangapi wanamudu kuvaa barakoa na kubadilisha barakoa kila baada ya masaa manne? Maana kila baada ya masaa 4 hizi barakoa Zina expire!!
 
Hao watu wengi waliokufa nchi za nje unaona wengi sababu ya uwazi wao. Haya hao wachache waliokufa haoa nchini mwetu ni wangapi? Maana taarifa zote zinafichwa. Kwani ugonjwa wa Umonia unataka watu wavae Barakoa?
 
maombi yaendane na vitendo. Daudi asingeshinda vita kama asingeenda na silaha na imani.
imani iwepo yes.. lakin na vitendo viendelee.
Rais anachosisitiza ni tahadhari za kujikinga kuchukuliwa pamoja na maombi..tusichukue tahadhari pekee tukasahau maombi.
Bado kuna watu wanaipinga hiyo Aya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mkuu wewe kuanza kuchukua tahadhari mpaka Rais aongee?

Au kuamini kuwa Corona ipo mpaka Rais aseme?

Kwa Hali kweli ni halali elimu iendelee kutolewa bure.

kwanini anaataa sasa kwamba corona haipo ? hili swala la kukataa kwani tumekataa sisi ? we huoni anasababisha mkanganyiko ? huyu rais mpumbavu kuliko wote dunia nzima
 
Uchumi gani ambao Tanzania iko nao hadi mataifa makubwa yafanye nayo vita? South Afrika, Misri, Nigeria wao watasemaje kama Tanzania itasema ni vita? Tumia hata ka akili kadogo uliko nako kufikiri.

magufuli na vibaraka wake wote ni wapuuzi walopitiliza yan hata kutumia tu common sense haiwezekani kwako ? wanaruka ruka tu mara ooh korona hakuna mara ooh me sijakataza kuvaa barakoa mara oooh tujikinge tusali sana mara ooh ugonjwa wa kupumua daaah masengelema sana haya majamaa
 

Nyie jamaa msiwabebeshe wazungu lawama wakati upumbavu ni wa magufuli jaman why kila siku mabeberu sijui nini ? why ? wakati aliesema korona haipo magufuli, alosema imeisha magufuli alosababisha watu wakae bila barakoa magufuli manake kwene mamikutano yake anasisitiza hakuna korona na watu wasivae barakoa sababu yeye hana barakoa, mara oooh barakoa zina korona, ivi ninyi Mungu wenu ni yupi ? Me nikisoma vitu vyenu siwaelewi au mimi ndio nimechanganyikiwa ?
 

Pumbavu kabisa hawa mtu wanaemwita beberu ndio huyo huyo aloleta christianity na uislam huku anatuona majinga anatucheka, yan wao wanachukua tahadhari za hali ya juu nyie mnadharau ? kwa lipi kwa kusali kwne makanisa ambayo makao makuu yake ni roma italy ? yan waitaliano wao hawana mungu ? hii nchi inawapumbavu sana na na wao hawajijui..Mungu hawez saidia wasioweza jisaidia
 

Very stupid aisee
 

ni uwongo kwamba barakoa zinaexpire baada ya masaa manne unasema vitu huvijui mkuu, barakoa gani inaexpire baada ya masaa manne ? jaman ivi kwanini magufuli akisema kitu mnachukua kama kilivyo yan hamtumii hata akili tu kujudge hata kidogo, yule nae ni binadamu anakosea na anadanganywa sana kama sio kujiropokea vitu vingine ambavyo havimake sense
 
Serikali, kupitia Wizara husika, hutoa miongozo ya jinsi ya kujikinga na maambukizi au hatua za kufuata endapo utakuwa umeambukizwa. Kinachofuata ni mtu mmoja, familia, kikundi au jumuia kutekeleza/kufuata miongozo hiyo.

Je, wewe, familia yako, ndugu zako, rafiko zako, na washirika wako mnatimiza wajibu wenu au mnasubiri msimamiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…