Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jamaa likiondoka ndio watanzania watajua kua walikua wanaongozwa na mwehu.Kumbe sio wapinzani wanaochelewesha maendeleo!
Acha awasukume, Yule mama wa elimu kachoka acha. Na bado.Kwanini anapenda kusukuma badala ya kukaa na kujadili njia sahihi ambazo kila mmoja atajisikia huru kufanya kazi? Kama watu wanakufa na mtu anasema hakuna ugonjwa mbona hata wakisukumwa hawataenda? Nawaza tu.
Mimi niliona ni upumbavu kufanyia kazi serikali ya aina hii, nikawatandika 24 hours! Sasa nasikia anatapatapa eti tutafutwe huko tuliko, upumbavu wa kiwango cha lami!Ajira za serikali wanajoto kali sana
Mwishowe atamchapa talaka Mama J kwamba anachelewesha maendeleo!Huyu naye sasa ni mwongo. Ilikuwa akifika eneo ambalo mtawala ni mpinzani anawaambia wananchi kwamba hawapati maendeleo kwa sababu walichagua mpinzani. Leo tena anakuja na sababu nyingine. Tumweleweje?
Aanze kubadilika yeye mwenyeweSasa sio wapinzani tena, iko siku ataomba kujibadilisha mwenyewe.
Yani sasa hiyo inakuwa enforcement and no freedom to workMimi niliona ni upumbavu kufanyia kazi serikali ya aina hii, nikawatandika 24 hours! Sasa nasikia anatapatapa eti tutafutwe huko tuliko, upumbavu wa kiwango cha lami!
Maendeleo hayana vyama?!!! Mbona mlikuwa mnasema wapinzani wanachelewesha maendeleo. Njooni na song jingine, mitano tenaRais katoa mwelekeo wake kwa kipindi hiki cha miaka mitano ni jukumu la watendaji kufuata maelekezo.
Tanzania ya viwanda inawezekana,
Maendeleo hayana vyama.
Inaonekana ameanza kuchanganyikiwa.Ni mtumishi gani hajafuata maelekezo yake ??
Hakuna mtumishi wa umma anaeweza kukataa maelekezo yake akabaki.
Yeye mwenyewe ndio tatizo kubwa yaani ni zigo haswa.
Ameshaona hana jipya, anatafuta mtu wa kumwangushia jumba bovu Kwasababu anajua hawawezi kumjibu kwasasa.
Hawa wasaidizi hawawezi badilika,watamkwamisha tu, abadili shria za kodi ziwe rafiki, na kila kitu kiwe digital atakua amepunguza kwa kiasi kikubwa usumbufu na maendeleo yatakuja harakaRais Magufuli amesema kuwa Rais ni kazi ngumu sana kwa sababu wewe unaweza kupanga mipango hii kumbe wenzako nao wana mipango mingine...
Ile JF ya wakati fulani huko nyuma huu ungekuwa mjadala wa maana sana na inawezekana ungetafutiwa majibu kuhusu hiyo miradi, hata kama majibu hayo yasingekuwa ya kukuridhisha.
Sasa hivi, unapoteza muda wako, hasa kwa hao uliowa 'cc ' hapo. Nani kati yao hao aliwahi kutoa mchango au mada uliokufanya ukae chini na kuuwaza kwa makini?
Rais hapangi mipango bali inatakiwa ipangwe na Serikali ya Jamhuri ya Muunguno yenye viongozi na watendaji wengi yeye akiwa ni mmoja wao na msimamizi wa shughuli ikiwa ni pamoja na kufuatilia utekelezaji wa Mipango ya Serikali na utendaji wa wale chini yake.Rais Magufuli amesema kuwa Rais ni kazi ngumu sana kwa sababu wewe unaweza kupanga mipango hii kumbe wenzako nao wana mipango mingine...
Sawa.
Rais Magufuli amesema kuwa Rais ni kazi ngumu sana kwa sababu wewe unaweza kupanga mipango hii kumbe wenzako nao wana mipango mingine...