britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #41
HatariKaanani hakuendeki na Misri hakuna kurudi, kwa ufupi ahera hakuendeki na dunia haikaliki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariKaanani hakuendeki na Misri hakuna kurudi, kwa ufupi ahera hakuendeki na dunia haikaliki.
Nimesema kwamba baadhi ya rambi rambi ufanya kwa kulazimisha zijenge miundo mbinu ambayo ni jukumu la serikali je ni uongo?nimekupa facts kukupinga,pinga hizo facts na wewe,
hutaki watu wapate hospitali au shule?Kufa kufaana nchi ni yetu sote hata ukiwagawia wagawane hazitawasaidia,lakini wajengee hospitali itadumu miaka 100,halafu pesa ambazo serikali ilikua inafikiria kuwatengea zinaelekezwa kwa watanzania wengineNimesema kwamba baadhi ya rambi rambi ufanya kwa kulazimisha zijenge miundo mbinu ambayo ni jukumu la serikali je ni uongo?
Serikali isitegeshee majanga kupata hela ya kujengaeahutaki watu wapate hospitali au shule?Kufa kufaana nchi ni yetu sote hata ukiwagawia wagawane hazitawasaidia,lakini wajengee hospitali itadumu miaka 100,halafu pesa ambazo serikali ilikua inafikiria kuwatengea zinaelekezwa kwa watanzania wengine
Hapo sasa umeamua kuzua badala ya kuishiwa hoja mkuuSerikali isitegeshee majanga kupata hela ya kujengaea
Maisha yasinge kuwa tena kama ya wakati wa Kikwete wakati huu. Tungekuwa tuna chinjana wenyewe kwa wenyewe kama kuku. Matajiri na ambao ndiyo wasababishaji wa chaos, wangekuwa wamesha tukimbia. Tanzania ingewa sawa na Jehanam. Usimkufuru Mungu mkuu!Mheshimiwa magufuli mtetezi wa wanyonge tunatambua kiu ulokuwa nayo ya kuwatumikia watanzania na kuwatoa misiri kuwapeleka kanaani
lakin kwa maoni ya watanzania inaonekana kama vile kanaani ni.mbali bora warudishwe misiri tu
MISIRI WALIYAPATA YAFUATAYO
1. Watu walikwepa kodi misiri
2.watu walilipishwa ada misiri
3. Watu walifanya biashara kwa njia wajuazo na mkono kwenda kinywani wakiwa misiri
4.mabenki yamekopesha sana watu bila kufuata utaratibu wa hela ni za nani na zinatoka wapi wakati wa misiri
5.madili na mzunguko wa hela uliluwa mkubwa wakati wa misiri
6.magari yalikuwa ya foren dar wakati wa misiri,
7.Vyuo vikuu vikawa kibao nchini wakati wa misiri,
8.Wanafunzi wakajiunga elimu ya juu sana bila kufuata utaratibu wakati wa misiri,
9.Ajira kila mwaka kwa serikali na mashirika binafsi zilikuwa za kumwaga wakati wa misiri,
10.magreat thinkers waliandika sana wakati wa misiri mpaka watu wakajiuliza mbona hakuna utaratibu wa kutoa habari, ma blogers , YouTube zinaanzishwa tu bila utaratibu? Hiyo ni wakati wa misiri
11.Kodi haikusanywi vya kutosha hapo misiri
Tukaamua sasa tumpate mtu wa kufuta hayo hapo awatoe watanzania Misiri kuwapeleka kanaani, na akapatikana Magufuli akaahidi kwamba kanaani atawafikisha vema watanzania, cha kushangaza nadhani ni ama hakujua kwamba kanaani ni mbali Sana au alijua lakin akapuuzia,
Sasa watanzania wanaona bora wasitishe safari hii warudi zao misiri maana katika safari ya matumaini kwenda kanaani haya yametokea
A.Tulitaka kiongozi wa kukusanya kodi lakin huyu ananyang'anya kabisa hakuna mfumo mzuri wa kujua nani alipe nini kulingana na anauza nini, mpaka vitanda ukikibeba unatoa kodi ya maliasili,
B. Kanaani tunapoelekea tulitaka elimu iwe bora siyo kufuta vyuo tu kwa kisirani na kuzikomoa shule za binafsi zinazoonekana kuwa tishio kwa shule za serikali, watu wanaona bora turudi misiri kanaani mbaali mnooo
3. Ajira tunajua haukuwepo mfumo mzuri wa ajira huko misiri ilikuwa kupendeleana, lakin anayetupeleka kanaani kafuta kabisa hata hizo za kupendeleana aisee turudi misiri jamani
C. Tulilalamika mabenki kutumia vibaya hela za umma kukopeshana kipindi tukiwa misiri tukadhani twende kanaani ndo hakuna kuchezea hela ya nchi, jamaa kaja kufungia yote treasury account hazina hakuna mzunguko tena watu wanasena bora ule mzunguko wa hela wa misiri maana kanaani pameshakuwa mbali mno,
C.Tukasema uboreshe vyuo vilivyokuwa havifuati utaratibu wakati wa misiri, tukampata wa kutupeleka kanaani aisee hatujafika hata robo kashafungia vyuo 10 bora turudi misiri tu watoto wasome,
D. Tulikataa walioweka habari zisizo na maadili mitandaoni, na tukasema tukimpata ambaye atatutoa misiri hapa atupeleke kanaani, kumbe katika hatua za kutupeleka kanaani waandishi wa habari na mabloger watafungwa aisee bora turudi misiri mzee
E.Tukiwa misiri tulitamani twende kanaani kwenye madege mazuri ya ATCL, lakin anayetupeleka kanaani ndo ikawa fashion ya kununua madege badala ya kujenga mahospital na shule mpaka tunasubiri majanga yatokee ndo tupate rambi rambu tugawe ya kujenga hospital, jamani kanaani mbaali sana
Safari ya kanaani ni ndefu mnoo bore turudi misiri maisha yaendelee
Nakutakia mapumziko mema ulipo Jakaya Kikwete
Britannica
Kama misri tulikula kunywa na kusaza, in bora turudi tu yupo musa original yupo Belgium atakuja kututoa misri kwa kufuata maagizo ya mungu, Huyo musa feki tumemshtukiaTurudi misiri
Hii Tamu angekuja hata Pascal Mayalla Au tindo wakaona
Facts ni hizo data za kupika za serekali? kweli unaweza kuja hapa na kusema serekali imejenga vituo vya afya 72 tuamini, huku kila siku serekali inasema tena rais anatamka kwa mdomo wake kuna viwanda 3,000+ hapo pwani wakati ni uongo wa wazi? Hiyo idadi ngoja mkawaambie watu wa vijijini hao ndio hawajui lolote.nimekupa facts kukupinga,pinga hizo facts na wewe,
Huu uzi umenitoa machozi sijui kwa nini.!Mheshimiwa magufuli mtetezi wa wanyonge tunatambua kiu ulokuwa nayo ya kuwatumikia watanzania na kuwatoa misiri kuwapeleka kanaani
lakin kwa maoni ya watanzania inaonekana kama vile kanaani ni.mbali bora warudishwe misiri tu
MISIRI WALIYAPATA YAFUATAYO
1. Watu walikwepa kodi misiri
2.watu walilipishwa ada misiri
3. Watu walifanya biashara kwa njia wajuazo na mkono kwenda kinywani wakiwa misiri
4.mabenki yamekopesha sana watu bila kufuata utaratibu wa hela ni za nani na zinatoka wapi wakati wa misiri
5.madili na mzunguko wa hela uliluwa mkubwa wakati wa misiri
6.magari yalikuwa ya foren dar wakati wa misiri,
7.Vyuo vikuu vikawa kibao nchini wakati wa misiri,
8.Wanafunzi wakajiunga elimu ya juu sana bila kufuata utaratibu wakati wa misiri,
9.Ajira kila mwaka kwa serikali na mashirika binafsi zilikuwa za kumwaga wakati wa misiri,
10.magreat thinkers waliandika sana wakati wa misiri mpaka watu wakajiuliza mbona hakuna utaratibu wa kutoa habari, ma blogers , YouTube zinaanzishwa tu bila utaratibu? Hiyo ni wakati wa misiri
11.Kodi haikusanywi vya kutosha hapo misiri
Tukaamua sasa tumpate mtu wa kufuta hayo hapo awatoe watanzania Misiri kuwapeleka kanaani, na akapatikana Magufuli akaahidi kwamba kanaani atawafikisha vema watanzania, cha kushangaza nadhani ni ama hakujua kwamba kanaani ni mbali Sana au alijua lakin akapuuzia,
Sasa watanzania wanaona bora wasitishe safari hii warudi zao misiri maana katika safari ya matumaini kwenda kanaani haya yametokea
A.Tulitaka kiongozi wa kukusanya kodi lakin huyu ananyang'anya kabisa hakuna mfumo mzuri wa kujua nani alipe nini kulingana na anauza nini, mpaka vitanda ukikibeba unatoa kodi ya maliasili,
B. Kanaani tunapoelekea tulitaka elimu iwe bora siyo kufuta vyuo tu kwa kisirani na kuzikomoa shule za binafsi zinazoonekana kuwa tishio kwa shule za serikali, watu wanaona bora turudi misiri kanaani mbaali mnooo
3. Ajira tunajua haukuwepo mfumo mzuri wa ajira huko misiri ilikuwa kupendeleana, lakin anayetupeleka kanaani kafuta kabisa hata hizo za kupendeleana aisee turudi misiri jamani
C. Tulilalamika mabenki kutumia vibaya hela za umma kukopeshana kipindi tukiwa misiri tukadhani twende kanaani ndo hakuna kuchezea hela ya nchi, jamaa kaja kufungia yote treasury account hazina hakuna mzunguko tena watu wanasena bora ule mzunguko wa hela wa misiri maana kanaani pameshakuwa mbali mno,
C.Tukasema uboreshe vyuo vilivyokuwa havifuati utaratibu wakati wa misiri, tukampata wa kutupeleka kanaani aisee hatujafika hata robo kashafungia vyuo 10 bora turudi misiri tu watoto wasome,
D. Tulikataa walioweka habari zisizo na maadili mitandaoni, na tukasema tukimpata ambaye atatutoa misiri hapa atupeleke kanaani, kumbe katika hatua za kutupeleka kanaani waandishi wa habari na mabloger watafungwa aisee bora turudi misiri mzee
E.Tukiwa misiri tulitamani twende kanaani kwenye madege mazuri ya ATCL, lakin anayetupeleka kanaani ndo ikawa fashion ya kununua madege badala ya kujenga mahospital na shule mpaka tunasubiri majanga yatokee ndo tupate rambi rambu tugawe ya kujenga hospital, jamani kanaani mbaali sana
Safari ya kanaani ni ndefu mnoo bore turudi misiri maisha yaendelee
Nakutakia mapumziko mema ulipo Jakaya Kikwete
Britannica
KumbeKama misri tulikula kunywa na kusaza, in bora turudi tu yupo musa original yupo Belgium atakuja kututoa misri kwa kufuata maagizo ya mungu, Huyo musa feki tumemshtukia
KabisaKula tano Mkuu
Viwanda hivo nami sijavionaFacts ni hizo data za kupika za serekali? kweli unaweza kuja hapa na kusema serekali imejenga vituo vya afya 72 tuamini, huku kila siku serekali inasema tena rais anatamka kwa mdomo wake kuna viwanda 3,000+ hapo pwani wakati ni uongo wa wazi? Hiyo idadi ngoja mkawaambie watu wa vijijini hao ndio hawajui lolote.
Mheshimiwa magufuli mtetezi wa wanyonge tunatambua kiu ulokuwa nayo ya kuwatumikia watanzania na kuwatoa misiri kuwapeleka kanaani
lakin kwa maoni ya watanzania inaonekana kama vile kanaani ni.mbali bora warudishwe misiri tu
MISIRI WALIYAPATA YAFUATAYO
1. Watu walikwepa kodi misiri
2.watu walilipishwa ada misiri
3. Watu walifanya biashara kwa njia wajuazo na mkono kwenda kinywani wakiwa misiri
4.mabenki yamekopesha sana watu bila kufuata utaratibu wa hela ni za nani na zinatoka wapi wakati wa misiri
5.madili na mzunguko wa hela uliluwa mkubwa wakati wa misiri
6.magari yalikuwa ya foren dar wakati wa misiri,
7.Vyuo vikuu vikawa kibao nchini wakati wa misiri,
8.Wanafunzi wakajiunga elimu ya juu sana bila kufuata utaratibu wakati wa misiri,
9.Ajira kila mwaka kwa serikali na mashirika binafsi zilikuwa za kumwaga wakati wa misiri,
10.magreat thinkers waliandika sana wakati wa misiri mpaka watu wakajiuliza mbona hakuna utaratibu wa kutoa habari, ma blogers , YouTube zinaanzishwa tu bila utaratibu? Hiyo ni wakati wa misiri
11.Kodi haikusanywi vya kutosha hapo misiri
Tukaamua sasa tumpate mtu wa kufuta hayo hapo awatoe watanzania Misiri kuwapeleka kanaani, na akapatikana Magufuli akaahidi kwamba kanaani atawafikisha vema watanzania, cha kushangaza nadhani ni ama hakujua kwamba kanaani ni mbali Sana au alijua lakin akapuuzia,
Sasa watanzania wanaona bora wasitishe safari hii warudi zao misiri maana katika safari ya matumaini kwenda kanaani haya yametokea
A.Tulitaka kiongozi wa kukusanya kodi lakin huyu ananyang'anya kabisa hakuna mfumo mzuri wa kujua nani alipe nini kulingana na anauza nini, mpaka vitanda ukikibeba unatoa kodi ya maliasili,
B. Kanaani tunapoelekea tulitaka elimu iwe bora siyo kufuta vyuo tu kwa kisirani na kuzikomoa shule za binafsi zinazoonekana kuwa tishio kwa shule za serikali, watu wanaona bora turudi misiri kanaani mbaali mnooo
3. Ajira tunajua haukuwepo mfumo mzuri wa ajira huko misiri ilikuwa kupendeleana, lakin anayetupeleka kanaani kafuta kabisa hata hizo za kupendeleana aisee turudi misiri jamani
C. Tulilalamika mabenki kutumia vibaya hela za umma kukopeshana kipindi tukiwa misiri tukadhani twende kanaani ndo hakuna kuchezea hela ya nchi, jamaa kaja kufungia yote treasury account hazina hakuna mzunguko tena watu wanasena bora ule mzunguko wa hela wa misiri maana kanaani pameshakuwa mbali mno,
C.Tukasema uboreshe vyuo vilivyokuwa havifuati utaratibu wakati wa misiri, tukampata wa kutupeleka kanaani aisee hatujafika hata robo kashafungia vyuo 10 bora turudi misiri tu watoto wasome,
D. Tulikataa walioweka habari zisizo na maadili mitandaoni, na tukasema tukimpata ambaye atatutoa misiri hapa atupeleke kanaani, kumbe katika hatua za kutupeleka kanaani waandishi wa habari na mabloger watafungwa aisee bora turudi misiri mzee
E.Tukiwa misiri tulitamani twende kanaani kwenye madege mazuri ya ATCL, lakin anayetupeleka kanaani ndo ikawa fashion ya kununua madege badala ya kujenga mahospital na shule mpaka tunasubiri majanga yatokee ndo tupate rambi rambu tugawe ya kujenga hospital, jamani kanaani mbaali sana
Safari ya kanaani ni ndefu mnoo bore turudi misiri maisha yaendelee
Nakutakia mapumziko mema ulipo Jakaya Kikwete
Britannica
Sasa lori linaendeshwa na kichaa unategemea nini zaidi ya kona za ghafla, kusimamia gia, kupiga honi hovyo, kuzidisha speed n.k 🤣🤣🤣😄Huyu dereva anasimamia gia badala ya break sio mzuri!
Nasikia leo Watanzania wameruhusiwa kuuza mazao yao nje [emoji38][emoji38][emoji38]
Tutajie majina ya hizo hospitali na je zina dawa na wahudumu wa kutosha?kwa miaka mitatu pekee Magufuli kajenga hospitali za wilaya na rufaa 72,kulinganisha na toka uhuru 1961 mpaka 2015,zilijengwa hospitali 60 tu.Kupanga ni kuchagua
Ni mbaali sanaaHaaahaaa.....and there is no turning back when the journey starts....Kaanani inatuhusu