YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Moja ya majukumu makubwa ya Rais ni kusimamia vizuri mapato na matumizi ya serikali.
Lakini ana kazi ingine kubwa sana ya kusimamia mitaji ya umma ambayo pesa za serikali zimewekwa kwenye vitega uchumi mbalimbali kwenye mashirika ya umma na taasisi ii hiyo mitaji isife.
Tunakumbuka kwa marais waliomtangulia mitaji ya umma mingi ilikufa kwa viwanda kufa, mashirika ya umma kufa na mengine yalikuwa yanapumulia mashine ICU au yanakaribia kufa.
Rais Magufuli kahakikisha mitaji ya umma haikatiki kwa kuyafufua mashirika mengi na kuyajengea uwezo Kama shirika la reli,Air Tanzania no Sasa hivi tunaona yako active Sana.Shirika Kama la bima la taifa lilikuwa linasubiri tu mazishi Sasa hivi liko active sana tu na Lina pesa za uhakika nk.
Asingesimamia mitaji ya umma vizuri mitaji ya umma ambazo ni pesa za kodi za wananchi zilizotumika zisingerudi.
Kumbi nyingi za maofisi na taasisi za serikali zilijengwa kwa mitaji ya umma lakini zilikuwa hazitumiki watu wanakimbilia kumbi za hoteli binafsi wapige pesa na mitaji ya umma ikatike. Sasa hivi zinatumika kikamilifu.
Ukweli Ni kuwa amekuwa akisisitiza watu kutumia huduma ambazo umma umewekeza ili pesa zilizotumika kuanzisha hizo huduma zisipotee na kuhakikisha Kuna usimamizi mzuri sana.
Ndio maana tofauti na kipindi cha waliomtangulia hatuonoi taasisi ya umma ikimfia mikononi mwake hata moja. Akiihisi tu kuwa kuna taasisi yeyote inataka kukata roho anaenda upesi na rescue measure ili kuokoa mitaji ya umma isipotee hapo.
Lakini ana kazi ingine kubwa sana ya kusimamia mitaji ya umma ambayo pesa za serikali zimewekwa kwenye vitega uchumi mbalimbali kwenye mashirika ya umma na taasisi ii hiyo mitaji isife.
Tunakumbuka kwa marais waliomtangulia mitaji ya umma mingi ilikufa kwa viwanda kufa, mashirika ya umma kufa na mengine yalikuwa yanapumulia mashine ICU au yanakaribia kufa.
Rais Magufuli kahakikisha mitaji ya umma haikatiki kwa kuyafufua mashirika mengi na kuyajengea uwezo Kama shirika la reli,Air Tanzania no Sasa hivi tunaona yako active Sana.Shirika Kama la bima la taifa lilikuwa linasubiri tu mazishi Sasa hivi liko active sana tu na Lina pesa za uhakika nk.
Asingesimamia mitaji ya umma vizuri mitaji ya umma ambazo ni pesa za kodi za wananchi zilizotumika zisingerudi.
Kumbi nyingi za maofisi na taasisi za serikali zilijengwa kwa mitaji ya umma lakini zilikuwa hazitumiki watu wanakimbilia kumbi za hoteli binafsi wapige pesa na mitaji ya umma ikatike. Sasa hivi zinatumika kikamilifu.
Ukweli Ni kuwa amekuwa akisisitiza watu kutumia huduma ambazo umma umewekeza ili pesa zilizotumika kuanzisha hizo huduma zisipotee na kuhakikisha Kuna usimamizi mzuri sana.
Ndio maana tofauti na kipindi cha waliomtangulia hatuonoi taasisi ya umma ikimfia mikononi mwake hata moja. Akiihisi tu kuwa kuna taasisi yeyote inataka kukata roho anaenda upesi na rescue measure ili kuokoa mitaji ya umma isipotee hapo.