Rais Magufuli yuko vizuri kwenye ulinzi wa mitaji ya umma, yaani public capital kuliko Rais yeyote aliyemtangulia

Rais Magufuli yuko vizuri kwenye ulinzi wa mitaji ya umma, yaani public capital kuliko Rais yeyote aliyemtangulia

Air Tanzania ilikufa ikiwa na ndege 13 wakati yeye akiwa Waziri wa Uchukuzi kwa hiyo lilikufa kwababu ya uongozi wake mbaya. Kujaribu kurekabisha udhaifu wake akaanzisha upya Shirika hilo lakini likafa kabla hata halijaanza huku , madege na mabawa yao yakiwa yamepark uwanjani. Usafiri wa Treni Dar-Tanga-Moshi-Arusha ulisita wakati akiwa Waziri wa Uchukuzi.
Magufuli wakati huo hakuwa Hakuwa na maamuzi yeye alikuwa subordinate
Ni sawa na kumlaumu mfagizi wa ofisi kwa kampuni kufa kisa ilikufa wakati yeye akiwepo ofisini!!!
 
Back
Top Bottom