Simply hatuna wataalamu wa kubaini kama chanjo inafaa au haifai kwetu! Haya mambo siyo rahisi kama wanavyokuaminisha. Hatuna Investigators brochure (IB) za hizo chanjo, then how do you judge the safety of an investigational product? (sidhani kama J&J, Moderna, Pfizer utawalazimisha wakupe hizo IB zao)
Do we have national competent authorities with the requisite expertise to make a final word on these vaccines' safety?
Wataalamu may be wanaweza kuwepo, lakini Je wana "nyenzo" za kubaini kama chanjo zinafaa? Unaanzia wapi kusema kuwa haifai au inafaa? This is hard science ambayo haina ubabaishaji....
Tuanze sasa ku invest katika hizi hard sciences, say Muhimbili kuwa na vaccinology dept ambayo itakuwa na ubia na makampuni makubwa ya vaccines and the like!
Do we have national competent authorities with the requisite expertise to make a final word on these vaccines' safety?
Wataalamu may be wanaweza kuwepo, lakini Je wana "nyenzo" za kubaini kama chanjo zinafaa? Unaanzia wapi kusema kuwa haifai au inafaa? This is hard science ambayo haina ubabaishaji....
Tuanze sasa ku invest katika hizi hard sciences, say Muhimbili kuwa na vaccinology dept ambayo itakuwa na ubia na makampuni makubwa ya vaccines and the like!