Rais, mchukue Robert Heriel wa JamiiForums awe mwandishi wako wa hotuba 2025

Nakazia 100 ,huyu jamaa nondo anazotupa humu mtandoni hua nahis kama anashushiwa mawazo na viumbe visivyoonekana kutoka sayar ya mbali pongez kwako mtibeli ,,mada zako zote ndio nnazozitumia kwenye maisha yangu mtaani
 
Huwa nasemaga hata kama kuna Uhuru wa kuandika chochote basi isiwe chochote kweli. Huu umeandika ni utumbo
 
Nakazia 100 ,huyu jamaa nondo anazotupa humu mtandoni hua nahis kama anashushiwa mawazo na viumbe visivyoonekana kutoka sayar ya mbali pongez kwako mtibeli ,,mada zako zote ndio nnazozitumia kwenye maisha yangu mtaani
Sure mkuu, he is super man
 
Ngoja nitaenda mwambia..
Kwa sasa anamafua hajaingia mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…