Rais Mkapa ni bingwa wa kiingereza, jamani kiingereza ni muhmu (sikiliza clips) hizi

Rais Mkapa ni bingwa wa kiingereza, jamani kiingereza ni muhmu (sikiliza clips) hizi

Ebale

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
943
Reaction score
1,683
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA

INTERVIEW WITH CAPITAL TALK




MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION


PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE


INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE


WITH A PANNEL OF ELDER AFRICAN LEADERS


WITH UCD


ON BURUNDI ISSUE
 
Sawa lakin hamfikii mwalimu nyerere

JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
 
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA

INTERVIEW WITH CAPITAL TALK




MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION


PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE


INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE


WITH A PANNEL OF ELDER AFRICAN LEADERS


WITH UCD


ON BURUNDI ISSUE


He yaani unang'ang'ania vitu vya kijinga kama mtoto
 
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA

INTERVIEW WITH CAPITAL TALK




MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION


PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE


INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE


WITH A PANNEL OF ELDER AFRICAN LEADERS


WITH UCD


ON BURUNDI ISSUE


Kimetusaidia nini? Watanzania wangampi wamemuekewa? JE na wewe umemuelewa anasema nini ama unashangilia tu? Ameleta mabadiliko gani kwa kiingereza chake?
 
JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
Hujanielewa nasema mwalimu nyerere was good
 
JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
Kwani shule za sasa hivi kizungu ni lugha ya ngapi? Je wajua sifa za kiongozi wewe?
 
Benjamin Mkapa former Tanzania President speaking about '' You plan on other people's money that way you cant develop as a country''. ''European countries believe that Africa is their back yard...'' We make our money the old fashioned way, We earn it''....


Source: Likamwisi
 
JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?

Haya huyu mtoa mada hapa chini nadhani ameenda shule baada ya wakoloni kuondoka na tunaona utofauti mkubwa mtu akitoa mada kwa lugha ya Kiingereza huwa inasheheni nondo sana, sijui kwanini inakuwa hivyo iwe ktk uchumi, sayansi, diplomasia, kongamano, warsha n.k

Je ? Kiswahili kina mapungufu ktk maeneo tajwa ya Higher level Knowledge, uchumi, sayansi, teknolojia, diplomasia, kongamano/warsha (ziwe za kimataifa, kikanda na kitaifa) n.k

Is Africa really "rising" | Ali Mufuruki | TEDxEuston


Source: TEDx Talks
 
Huyo JK mleta mada ndiyo dubuwasha gani. JK ni mmoja tuu mshua wake Miraj baas.
 
Sawa lakin hamfikii mwalimu nyerere






So confident when he speaks.One thing am sure people will always remember him for,is that his speeches/talks or interviews were always very engaging no matter what language he used to communicate.
 
Huwa nikisikia wimbo wa taifa langu nasikia machozi yakinitoka.
Mwl Nyerere was a great man. Great country man.
Kwakweli i wish huyu mzee angeishi miaka mingi zaidi japo ningepata wasaa wa kumpa mkono.
Mwenyezi Amweke pahala pema peponi.
Amin.
 
Umebakia peke yako kutoamini kuwa JK alikuwa rais bora miongoni mwa waliopita,ambapo thamani yake inaonekana sasa,ni kama usemi maarufu"ili kujua thamani ya kitu ni mpaka ukikose".
 
Umebakia peke yako kutoamini kuwa JK alikuwa rais bora miongoni mwa waliopita,ambapo thamani yake inaonekana sasa,ni kama usemi maarufu"ili kujua thamani ya kitu ni mpaka ukikose".
Ooh Puliiiiz!

Ufisadi kila kona?

Sheria gandamizi kama hii ya makosa ya mtandao inayotunyima uhuru wa kupumua.

Sheria ya vyombo vya habari...

Sheria ya takwimu...

Asiyejua kwa nini tuko masikini...

To me he is the most useless and dangerous of all presidents. Na anakuchekea huku anakumaliza. Kamuulize Lowassa atakwambia. Au wapinzani wetu hawa uchwara. Anakunywa nao chai ikulu wanamwita dhaifu anawachekea huku anasaini sheria gandamizi zinazowasumbua leo...
 
Kiingereza ni muhimu katika dunia ya leo lakini isionekane ndo big agenda kila siku huyu hajui kiingereza hajui kiingereza as if Rais akijua kiingereza ndo basi tena!!

Tukirudi kwa Mkapa, background inambeba zaidi Mkapa ukimlinganisha na JPM au hata JK! Tusisahau, Mkapa ali-graduate Makerere degree in English. Sasa unaweza kupata picha kwa umri wa Mkapa miaka hiyo pale Makerere kulikuwa na walimu wa aina gani. Ukichanganya na ukweli mmwingine kwamba hata Masters yake alisomea kwenye English speaking country na kuhudumu Foreign affairs kwa takribani miaka 10; bado yote hayo yana nafasi kubwa sana ya kumfanya BM awe mzuri kwenye Kikoloni... ambacho angehitaji cha ziada ni confidence kitu ambacho pia anayo!

Sasa huyu mwenzetu ambae hamuishi kumsemanga; kwanza kazaliwa sehemu ambayo hadi leo hata Kiswahili bado shida! From Standard I to PhD kasomea kwenye local institutions. Making things worse, masomo aliyosoma hayahitaji competency in English! Kuingia kwenye ajira, from ajira yake ya kwanza, hadi ya mwisho kabla ya urais ni zile ambazo tunaweza kusema local posts! Manake bora ingekuwa ameshawahi kuhudumu hata Waziri wa Fedha tungesema alishapata uzoefu wa kukaa kwenye negotion tables mbalimbali za watumia kikoloni! Lakini mara leo waziri wa mifugo... hapa labda alihitaji kukifahamu Kimasai zaid kuliko hicho Kiingereza... mara kesho wa waziri wa Ujenzi... wadau wake ni Wachina ambao hata hicho Kiingereza chenyewe hawakijui!! JK nadhani ile miaka 10 ya foreign affairs ilim-shape sana!!
 
Kiingereza ni muhimu katika dunia ya leo lakini isionekane ndo big agenda kila siku huyu hajui kiingereza hajui kiingereza as if Rais akijua kiingereza ndo basi tena!!

Tukirudi kwa Mkapa, background inambeba zaidi Mkapa ukimlinganisha na JPM au hata JK! Tusisahau, Mkapa ali-graduate Makerere degree in English. Sasa unaweza kupata picha kwa umri wa Mkapa miaka hiyo pale Makerere kulikuwa na walimu wa aina gani. Ukichanganya na ukweli mmwingine kwamba hata Masters yake alisomea kwenye English speaking country na kuhudumu Foreign affairs kwa takribani miaka 10; bado yote hayo yana nafasi kubwa sana ya kumfanya BM awe mzuri kwenye Kikoloni... ambacho angehitaji cha ziada ni confidence kitu ambacho pia anayo!

Sasa huyu mwenzetu ambae hamuishi kumsemanga; kwanza kazaliwa sehemu ambayo hadi leo hata Kiswahili bado shida! From Standard I to PhD kasomea kwenye local institutions. Making things worse, masomo aliyosoma hayahitaji competency in English! Kuingia kwenye ajira, from ajira yake ya kwanza, hadi ya mwisho kabla ya urais ni zile ambazo tunaweza kusema local posts! Manake bora ingekuwa ameshawahi kuhudumu hata Waziri wa Fedha tungesema alishapata uzoefu wa kukaa kwenye negotion tables mbalimbali za watumia kikoloni! Lakini mara leo waziri wa mifugo... hapa labda alihitaji kukifahamu Kimasai zaid kuliko hicho Kiingereza... mara kesho wa waziri wa Ujenzi... wadau wake ni Wachina ambao hata hicho Kiingereza chenyewe hawakijui!! JK nadhani ile miaka 10 ya foreign affairs ilim-shape sana!!

Tuache visingizio, mbona huyo mfanyabiashara Mhandisi Ali Mufuruki amesoma Tanzania na Ujerumani rika la Mheshimiwa baada ya wakoloni wa Kiingereza kuondoka yupo vizuri ktk lugha ya Kiingereza na wapo wengi tu umri wa mheshimiwa wapo vizuri pia ktk Lugha ya Kiingereza na wamesoma Tanzania na Urusi medicine, engineering n.k
 
Tuache visingizio, mbona huyo mfanyabiashara Mhandisi Ali Mufuruki amesoma Tanzania na Ujerumani rika la Mheshimiwa baada ya wakoloni wa Kiingereza kuondoka yupo vizuri ktk lugha ya Kiingereza na wapo wengi tu umri wa mheshimiwa wapo vizuri pia ktk Lugha ya Kiingereza na wamesoma Tanzania na Urusi medicine, engineering n.k
Sasa unadhani mtu aliyesoma Ujerumani lugha ya mawasiliano nje ya darasa ni ipi?! Ingawaje alikuwa kwenye non English speaking country lakini kuna uwezekano mkubwa alikutana na wanafunzi wanaotoka mataifa mbalimbali duniani ambao walikuwa wanaunganishwa na Kiingereza; that's one but second, Mufuruki ni very successful business man... mtu wa aina yake sidhani kama ilishapata kutokea siku bila kuongea kikoloni!!
 
Sasa unadhani mtu aliyesoma Ujerumani lugha ya mawasiliano nje ya darasa ni ipi?! Ingawaje alikuwa kwenye non English speaking country lakini kuna uwezekano mkubwa alikutana na wanafunzi wanaotoka mataifa mbalimbali duniani ambao walikuwa wanaunganishwa na Kiingereza; that's one but second, Mufuruki ni very successful business man... mtu wa aina yake sidhani kama ilishapata kutokea siku bila kuongea kikoloni!!

Mkuu,
Kama ni hivyo, basi Tanzania tusingekuwa na matatizo makubwa ya lugha ya Kiingereza maana maktaba kumejaa vitabu ktk lugha ya Malkia wa Uingereza bila ya kusahau vipindi ktk lugha ya Kiingereza ktk TV, Radio, Internet na kusomeshwa kwa lugha hiyo pia sekondari na vyuoni, sasa nini kinapelekea mapungufu hayo ktk maongezi?
 
Back
Top Bottom