Rais Mkapa ni bingwa wa kiingereza, jamani kiingereza ni muhmu (sikiliza clips) hizi

Rais Mkapa ni bingwa wa kiingereza, jamani kiingereza ni muhmu (sikiliza clips) hizi

Wazungu wajanja sana. ..wamewaletea lugha yao na ndiyo hii mnabishana hapa baada ya kufikiri jinsi ya kupata pesa na maendeleo. ...EHH MWENYE ENZI MUNGU TUOKOE KIZAZI HIKI ...AMEN RA
 
Mkuu,
Kama ni hivyo, basi Tanzania tusingekuwa na matatizo makubwa ya lugha ya Kiingereza maana maktaba kumejaa vitabu ktk lugha ya Malkia wa Uingereza bila ya kusahau vipindi ktk lugha ya Kiingereza ktk TV, Radio, Internet na kusomeshwa kwa lugha hiyo pia sekondari na vyuoni, sasa nini kinapelekea mapungufu hayo ktk maongezi?
Acha utani bhana!! Kwahiyo ikiwa internet, tv na radio kuna lugha za kiloni ndo unatarajia mtu atakuwa mzuri kwenye kuongea?! Kwanza kwa uelewa wangu ingawaje Watanzania wengi wana shida kwenye kuongea Kiingereza lakini majority ni wazuri kwenye written English. Sasa hayo mavitabu ya maktaba, web pages n.k yata-improve kiingereza cha kuandika zaidi kuliko kuongea! Huko darasani unakosema wewe kwa kiasi kikubwa kinatumika Kiswa-English; you know it and I know it unless kama umesoma international school!!! Kwa level ya matumizi yetu ya Kiingereza hapa nchini ni ngumu mtu kama kuwa fluent unless kama amepitia mazingira ya matumizi ya Kiingereza cha kuongea mara kwa mara!!
 
Tuache visingizio, mbona huyo mfanyabiashara Mhandisi Ali Mufuruki amesoma Tanzania na Ujerumani rika la Mheshimiwa baada ya wakoloni wa Kiingereza kuondoka yupo vizuri ktk lugha ya Kiingereza na wapo wengi tu umri wa mheshimiwa wapo vizuri pia ktk Lugha ya Kiingereza na wamesoma Tanzania na Urusi medicine, engineering n.k

Ok let us not find an excuse, you as a Tanzanian let us communicate in English. Most Tanzanian do not Communicate in English including yourself, this is because English is not our official language, but you are insisting that is not true, why so and so speak it, can yourself speak it? If is not true, please explain to me how it is not true, and if you went to school in Tanzania how is your English? Please do not bring an excuse let us communicate in English as Tanzanians. They are few Tanzanians who could speak English but the majority can not, just like they are few English people could speak Swahili and not the majority. Why can't we be proud of our language? Answer me please. SASA wewe umekoma Tanzania na ninajua umesoma kwani unajua kuandika HAYA towa kimombo chake basi.
 
Wazungu wajanja sana. ..wamewaletea lugha yao na ndiyo hii mnabishana hapa baada ya kufikiri jinsi ya kupata pesa na maendeleo. ...EHH MWENYE ENZI MUNGU TUOKOE KIZAZI HIKI ...AMEN RA
Hivi Tanzania nako Kuna pesa za kuwa billionaire English is essential in every field even kula tu kimasihara...
 
Back
Top Bottom