Sawa lakin hamfikii mwalimu nyerere
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA
INTERVIEW WITH CAPITAL TALK
MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION
PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE
INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE
WITH A PANNEL OF ELDER AFRICAN LEADERS
WITH UCD
ON BURUNDI ISSUE
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA
INTERVIEW WITH CAPITAL TALK
MKAPA ON ZANZIBAR ELECTION
PRESENTING ON INVESTMENT CLIMATE
INTERVIEW WITH UONGOZI INSTITUTE
WITH A PANNEL OF ELDER AFRICAN LEADERS
WITH UCD
ON BURUNDI ISSUE
Hujanielewa nasema mwalimu nyerere was goodJE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
Katika watu wapuuzi hapa duniani wewe ni mmojawapo.BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA...
Kwani shule za sasa hivi kizungu ni lugha ya ngapi? Je wajua sifa za kiongozi wewe?JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
JE kiingereza chake kilitusaidia nini? Mbona hakuisoma mikataba mibovu? Na Pia Rais Mkapa anaweza kumuzaa Rais Magufuli, shule aliyoenda Rais Mkapa ni ya kikoloni, kizungu kilikuwa ni lugha ya kwanza, lazima akijue. Hata hivyo mikataba yote mibovu ilikuwa imeandikwa kwa kizungu, mbona hakuichambua? Ama anajua tu kukiongea lakini kusoma hajui?
Sawa lakin hamfikii mwalimu nyerere
Ooh Puliiiiz!Umebakia peke yako kutoamini kuwa JK alikuwa rais bora miongoni mwa waliopita,ambapo thamani yake inaonekana sasa,ni kama usemi maarufu"ili kujua thamani ya kitu ni mpaka ukikose".
Kiingereza ni muhimu katika dunia ya leo lakini isionekane ndo big agenda kila siku huyu hajui kiingereza hajui kiingereza as if Rais akijua kiingereza ndo basi tena!!
Tukirudi kwa Mkapa, background inambeba zaidi Mkapa ukimlinganisha na JPM au hata JK! Tusisahau, Mkapa ali-graduate Makerere degree in English. Sasa unaweza kupata picha kwa umri wa Mkapa miaka hiyo pale Makerere kulikuwa na walimu wa aina gani. Ukichanganya na ukweli mmwingine kwamba hata Masters yake alisomea kwenye English speaking country na kuhudumu Foreign affairs kwa takribani miaka 10; bado yote hayo yana nafasi kubwa sana ya kumfanya BM awe mzuri kwenye Kikoloni... ambacho angehitaji cha ziada ni confidence kitu ambacho pia anayo!
Sasa huyu mwenzetu ambae hamuishi kumsemanga; kwanza kazaliwa sehemu ambayo hadi leo hata Kiswahili bado shida! From Standard I to PhD kasomea kwenye local institutions. Making things worse, masomo aliyosoma hayahitaji competency in English! Kuingia kwenye ajira, from ajira yake ya kwanza, hadi ya mwisho kabla ya urais ni zile ambazo tunaweza kusema local posts! Manake bora ingekuwa ameshawahi kuhudumu hata Waziri wa Fedha tungesema alishapata uzoefu wa kukaa kwenye negotion tables mbalimbali za watumia kikoloni! Lakini mara leo waziri wa mifugo... hapa labda alihitaji kukifahamu Kimasai zaid kuliko hicho Kiingereza... mara kesho wa waziri wa Ujenzi... wadau wake ni Wachina ambao hata hicho Kiingereza chenyewe hawakijui!! JK nadhani ile miaka 10 ya foreign affairs ilim-shape sana!!
Sasa unadhani mtu aliyesoma Ujerumani lugha ya mawasiliano nje ya darasa ni ipi?! Ingawaje alikuwa kwenye non English speaking country lakini kuna uwezekano mkubwa alikutana na wanafunzi wanaotoka mataifa mbalimbali duniani ambao walikuwa wanaunganishwa na Kiingereza; that's one but second, Mufuruki ni very successful business man... mtu wa aina yake sidhani kama ilishapata kutokea siku bila kuongea kikoloni!!Tuache visingizio, mbona huyo mfanyabiashara Mhandisi Ali Mufuruki amesoma Tanzania na Ujerumani rika la Mheshimiwa baada ya wakoloni wa Kiingereza kuondoka yupo vizuri ktk lugha ya Kiingereza na wapo wengi tu umri wa mheshimiwa wapo vizuri pia ktk Lugha ya Kiingereza na wamesoma Tanzania na Urusi medicine, engineering n.k
Sasa unadhani mtu aliyesoma Ujerumani lugha ya mawasiliano nje ya darasa ni ipi?! Ingawaje alikuwa kwenye non English speaking country lakini kuna uwezekano mkubwa alikutana na wanafunzi wanaotoka mataifa mbalimbali duniani ambao walikuwa wanaunganishwa na Kiingereza; that's one but second, Mufuruki ni very successful business man... mtu wa aina yake sidhani kama ilishapata kutokea siku bila kuongea kikoloni!!
Fikra za kitumwa katika Ubora wakeKatika watu wapuuzi hapa duniani wewe ni mmojawapo.