Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Kufiwa na mtu wako wa karibu inauma sana, pole sana mkuu kwa hichi kilichowakuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusaka na wewePole sn mkuu, hawa ndiyo viongozi wa CCM wao kuua siyo issue wao ni maokoto kwanza
Unajua kufiwa wee? Acha mzazi apiganie haki ya mwanae hata km haitoleta uhai tena.mkuu... mimi nakushauri muache mtoto apumzike. unaweza ukafanyika uchunguzi lakini haitobadilisha ukweli kuwa hivi sasa tunaomboleza.
hivyo ni vigumu mtu yeyote kukubali kirahisi ràhisi kupokea kifo cha mpendwa wake. ila ninacho kushauri liache hilo lipite Muda utaleta jibu...!
Hata mm Niliwaza Ntamjibu Vibaya Huyo Jamaa Anachukulia Rahisi KiivyoSamahani mkuu, kwanza nikuulize tu kama una mtoto??
Maana nisje nikakuonea bure kumbe haujui hata uchungu wa mtoto kwa mzazi.
Matron ndo aanze kuhojiwa, pesa za matibabu ya mtoto zilitumika vipi, na kwann yeye hakutoa taarifa ya msiba had iwe kwa DC na OCD?Intelegensia inaonyesha kijana alikuwa anaumwa, na mzazi alituma fedha kwa matibabu ya kijana, lakini yaelekea kijana fedha hizo hazikumfikia kumtibu hivyo zilipigwa juu kwa juu, - matron- anamajibu yote!
Nimeona amenijibu bale kwamba ana watoto watatu, sema nikampuuza baada ya kufukua makaburi yake.Hata mm Niliwaza Ntamjibu Vibaya Huyo Jamaa Anachukulia Rahisi Kiivyo
Makonda huyu muuaji ambaye mikono yake imetapakaa damuAione Komredi Makonda
Yaani kwa mtiririko wa utoaji taarifa tu, inaonyesha kuna jambo kubwa limejificha nyuma ya pazia kwenye hili tukio.Matron ndo aanze kuhojiwa, pesa za matibabu ya mtoto zilitumika vipi, na kwann yeye hakutoa taarifa ya msiba had iwe kwa DC na OCD?
Nipo dada angu karibuNakusaka na wewe
Kima wa mabeberu
Cha ajabu ni nini?(Ma)saa (ma)tatu
Ndo maana ake, Matron abanwe aeleze ukweli.Yaani kwa mtiririko wa utoaji taarifa tu, inaonyesha kuna jambo kubwa limejificha nyuma ya pazia kwenye hili tukio.
mkuu... mimi nakushauri muache mtoto apumzike. unaweza ukafanyika uchunguzi lakini haitobadilisha ukweli kuwa hivi sasa tunaomboleza.
hivyo ni vigumu mtu yeyote kukubali kirahisi ràhisi kupokea kifo cha mpendwa wake. ila ninacho kushauri liache hilo lipite Muda utaleta jibu...!
Halafu kwanini DC ana harakisha kusafirisha mwili?Yaani kwa mtiririko wa utoaji taarifa tu, inaonyesha kuna jambo kubwa limejificha nyuma ya pazia kwenye hili tukio.
Hili nalo linazua sana maswali….Kwa hiyo DC wa Lindi kawa mtoa taarifa za vifo vyenye utata. Halafu najaribu kuimagine namna OCD, DC nk walivyoingia makubaliano na kumpa DC jukumu la kutoa taarifa kisha nae akakubali.
Mkuu pole sana Mungu akupe wepesi ni jambo la kuhuzunisha.
Hiv wewe una akili kweli..Makonda hapa anahusikaje jomba..naona dish limeyumbaHii nchi kila mahali ni malalamiko ndio maana Makonda anakuwa maarufu
Jamani mtoto anauma Nyie Acheni tu!Samahani mkuu, kwanza nikuulize tu kama una mtoto??
Maana nisje nikakuonea bure kumbe haujui hata uchungu wa mtoto kwa mzazi.