Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
sisi tunahesabu kituo kwa kituo atashindaje wakati vituo vingi ameshindwa mubaya?
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
pasco my be umeangalia kwenye website ya tume yalematokeo ni ya mwaka 2005 sio 2010 acha kukurupuka kijana
<br /> <br />Kura bado zinahesabiwa HACHA UZUSHIII<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" />
Tumeshapiga kura na tunajua tulicchofanya posco acha us**fu**CWanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
<br /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg"/><imgsrc="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/nono.gif" border="0" alt="" title="Nono" smilieid="233" class="inlineimg" /> Acha uzushi wewe!!! Kura bado zinahesabiwa huo ushindi wa JK umeupata kwa yule mwenye mashetani Sheikh Yahya?
<br />Si kawaida yenu kupika matokeo! hatutashangaa, sasa wewe kura ZINAENDELEA KUHESABIWA NYIE MNASEMA MSHASHINDA! wizi mtupu!
<br />
<br /> Deodat, naomba usiniingize humo, kusema nilichoambiwa ndio nimeshakuwa mmoja wao?. Nasisitiza mjumbe hauwawi, endeleeni kuhesabu kura, final results imeshaamuliwa kuwa ni over and above 80%!. Pia nimeweka angalizo, msiniingize kwenye kundi la kina MS.
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
<br /> <br />pasco pasco pasco pasco mdebwedo hakuna taarifa kama hiyo labda zenji ndiyo ccm watamwapisha shein si huku bara ngoma nzito
wanabodi,
sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye kitengo cha inteligensia cha ccm, amesema ccm imeshashinda kwa over and obove 80%. Jk ataapishwa ijumaa saa 4 asubuhi uwanja wa taifa!.
Naombeni msinisakame au kunifananisha na ms!.
Habari ndio hiyo!.
<br />Mkuu achana na hii kitu itakushushia heshima! Nimeongea kikubwa nakuheshimu