Elections 2010 Rais Mpya kuapishwa Ijumaa

Elections 2010 Rais Mpya kuapishwa Ijumaa

PASCO acha kutuchakachua PASCO sie sio MANIAC kuamini uongo wako. Hapa town sie tunasubiri hatma ya CCM leo. CHADEMA iko juu sana na utaona miujiza mwaka huu. Sie tuna source maalum ww kaa na hizo za mwaka 2005.
<br />
<br />
Mpasua Jipu, pasua tuu jipu, kwa saa hizi endeleeni kuniita kila majina, mwisho wa siku, mtanielewa. Hakuna sababu ya kugombana na nduguzo kwa jambo ambalo mtakuja kupatana. Nishutumuni, nidhihakini, nitukaneni, mwisho wa siku, mtanielewa na tutapatana tuu baada ya mambo kukaa hadharani.
 
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.

Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
Ngugu hakuna uwezekano wa CCM kushinda kwa Zaidi ya 65% ... HAKUNA KABISA.
 
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.

Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.

Teh teh umesema wa usijali ni maoni yako sasa mbona baraza la mawaziri bado ni lilelie? ni wata switch tu office au??

 
<font face="Comic Sans MS"><font size="4"><font color="purple">Pasco mbona toka asubuhi ulikuwa unaleta habari moto moto....saa hii umekuwaje tena....acha utani bana....jaribu kuwa siriaz kidogo</font></font></font>
<br />
<br />
Pretty Girl Preta, ukipata inteligensia news na kuzileak, ndio dawa pekee ya kuzuia uchakachuaji!. Hii nimeipata toka inside CCM labda ndicho walichopanga kufanya, baada ya leakage wataendelea?. Kwenye hii news, mimi ni mjumbe tuu tena nafaamika msimamo wangu, nimepigiwa kutambiwa!.
 
Inaelekea Teknolojia yenu ya uchakachuaji ni babkubwa meshapanga mpaka siku ya kutapishana! Oh sorry kuapishana!
 
Kwa mafya lolote laweza kutokea, lakini mhhhh...???? Napata hofu ya mtu kuzeekea ile mahakama kuu ianzayo kwa herufi ya H
 
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.

Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
Nilikuwa nakuamini sana Pasco kwa kutuletea habari kumbe nilikuwa najidanganyika, wewe chukulia hadi sasa chadema imechukua majimbo mengi kuliko 2005 na CCM wameanguka sehemu nyingi bado unasema CCM itapata 80%, pole sana ndugu kwa upenzi.
 
Pasco bana si ni wewe ulituambia makamanda wa ufisadi wote watarudi bungeni baada ya kusainishana mkataba na CCM? Na ulisema kwa namna huyu huyu "habari za kiintelijensia". Lakini mpaka leo hujatuambia where is Selelii and Kimaro!

From that line, si kweli kwamba kila usemacho siku zote kinatokea sometimes it's just wishful thinking
 
Sasa ikiwa NEC wameahirisha upigaji kura ktk baadhi ya majimbo itakuwaje matokeo yenu yatoke leo?....bofya Hapa
 
ww PASCO usituletee UMANYAKI HUMU hii ni Forum ya watu wenye akili timamu. Km ww ni MANIAC wa CCM tafuta mtandao wao uwashabikie .

...............nani alikuambia huu ni mtandao wa chama?................
 
Wanabodi,
Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa Taifa!.

Naombeni msinisakame au kunifananisha na MS!.
habari ndio hiyo!.
Nimesema na naendelea kusema kwamba majeshi ya akiba ya CCM ni mengi na yatatumika ktk muda wanaodhani wao ni muafaka. Jamani nchi hii ni ya wananchi siyo ya viongozi.
Endelezeni UPUUZI wenu wa kudharau maoni ya watanzania.
The hague inaita mtu bila shaka
 
Back
Top Bottom