Rais mpya wa Msumbiji kuapishwa Januari 15, 2025 licha hali ya machafuko kuendelea nchini humo

Rais mpya wa Msumbiji kuapishwa Januari 15, 2025 licha hali ya machafuko kuendelea nchini humo

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Baraza la Katiba (CC) limetangaza rasmi kuwa Rais Mteule, Daniel Chapo ataapishwa Januari 15, 2025 kuwa Kiongozi wa Taifa hilo, licha ya wito wa Wananchi, Wapinzani na Jumuiya za Kimataifa kudai Uchaguzi uliompa ushindi haukuwa wa Haki, Huru na Uwazi.

Ushindi wa Chapo umeibua Mgogoro na Vurugu za Kisiasa nchini humo tangu Oktoba 2024 ambapo ripoti mbalimbali kutoka nchini humo zinaeleza kuwa takriban Watu 277 wamuawa katika Maandamano ya kupinga Matokeo huku wengine zaidi ya 586 wakijeruhiwa.

*****************

1735889171796.png

Mozambique’s Constitutional Council (CC) has officially set Thursday January 15 as the date for the inauguration of the country’s next president, despite international calls that the elections were not fair, free and transparent and fair.

Opposition parties in Mozambique also said the elections were not free.

On December 23, the CC confirmed Daniel Chapo of the ruling Front for the Liberation of Mozambique (Frelimo) as the winner of the October 9 election with 65.17 percent of the vote.

Mr Chapo will replace President Filipe Nyusi. Frelimo also retained its parliamentary majority in the October 9 general elections.

According to the non-governmental organisation, Decide Electoral Platform, 277 people have been killed and 586 injured in the post-election chaos since October 21.

“Mozambicans deserve elections that are free of violence and that reflect the will of the people,” the US State Department said after the CC ruling.

“Civil society organisations, political parties, the media, and international observers, including those from the United States, cited significant irregularities in the tabulation process, as well as concern about the lack of transparency throughout the election period.”

The US also called on all stakeholders to refrain from violence and to engage in meaningful cooperation to restore peace and foster unity.

Independent presidential candidate Venâncio Mondlane, backed by the Podemos party, rejected the results announced by the CC. He got 24.19 percent of the vote.

Mr Mondlane, who is leading the protests from abroad, recently said on social media that he would take office on January 15.

According to CC, Renamo leader Ossufo Momade received 6.62 percent of the vote and MDM leader Lutero Simango managed 4.02 percent.

The on-going situation in Mozambique forced 3,000 people to flee their homes, including seeking safety in neighbouring countries.

According to UN refugee agency UNHCR, more than 3,000 people have been forced to flee their homes and seek safety in neighbouring countries. About 2,000 people have fled to Malawi and another 1,000 to Eswatini in the past week.

The Southern African Development Community (Sadc), which has been accused of turning a blind eye to the post-election conflict in Mozambique, said on Tuesday it was deeply concerned by the continuing loss of life, injuries, destruction of private property and public infrastructure in the southern African country.

Countries such as Malawi, Zimbabwe, Botswana and Zambia have been affected by the protests because they use Mozambican ports to import and export their products.

In a statement, the chairperson of the Sadc Organ on Politics, Defence and Security Co-operation, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, added that the current situation has also caused significant economic challenges to the nation, disrupted cross-border trade and hindered the free movement of people.

“We therefore appeal for an immediate cessation of all hostilities, while reiterating the importance of prioritising the well-being and livelihoods of the Mozambican people,” she said.

Sadc also called on all parties to exercise restraint and refrain from actions that escalate violence and unrest.

THE EAST AFRICAN
 
Afrika hawana sababu ya kudai usawa na mataifa mengine kwa sababu wao siku zote ni kutia aibu tu.

Hizi chaguzi feki za kiafrika ni za nini wakati matakwa ya wananchi hayana maana kwa hawa wanaotaka watawale kwa nguvu hata kama wananchi hawawataki.
 
Baraza la Katiba (CC) limetangaza rasmi kuwa Rais Mteule, Daniel Chapo ataapishwa Januari 15, 2025 kuwa Kiongozi wa Taifa hilo, licha ya wito wa Wananchi, Wapinzani na Jumuiya za Kimataifa kudai Uchaguzi uliompa ushindi haukuwa wa Haki, Huru na Uwazi.

Ushindi wa Chapo umeibua Mgogoro na Vurugu za Kisiasa nchini humo tangu Oktoba 2024 ambapo ripoti mbalimbali kutoka nchini humo zinaeleza kuwa takriban Watu 277 wamuawa katika Maandamano ya kupinga Matokeo huku wengine zaidi ya 586 wakijeruhiwa.

*****************

View attachment 3191281
Mozambique’s Constitutional Council (CC) has officially set Thursday January 15 as the date for the inauguration of the country’s next president, despite international calls that the elections were not fair, free and transparent and fair.

Opposition parties in Mozambique also said the elections were not free.

On December 23, the CC confirmed Daniel Chapo of the ruling Front for the Liberation of Mozambique (Frelimo) as the winner of the October 9 election with 65.17 percent of the vote.

Mr Chapo will replace President Filipe Nyusi. Frelimo also retained its parliamentary majority in the October 9 general elections.

According to the non-governmental organisation, Decide Electoral Platform, 277 people have been killed and 586 injured in the post-election chaos since October 21.

“Mozambicans deserve elections that are free of violence and that reflect the will of the people,” the US State Department said after the CC ruling.

“Civil society organisations, political parties, the media, and international observers, including those from the United States, cited significant irregularities in the tabulation process, as well as concern about the lack of transparency throughout the election period.”

The US also called on all stakeholders to refrain from violence and to engage in meaningful cooperation to restore peace and foster unity.

Independent presidential candidate Venâncio Mondlane, backed by the Podemos party, rejected the results announced by the CC. He got 24.19 percent of the vote.

Mr Mondlane, who is leading the protests from abroad, recently said on social media that he would take office on January 15.

According to CC, Renamo leader Ossufo Momade received 6.62 percent of the vote and MDM leader Lutero Simango managed 4.02 percent.

The on-going situation in Mozambique forced 3,000 people to flee their homes, including seeking safety in neighbouring countries.

According to UN refugee agency UNHCR, more than 3,000 people have been forced to flee their homes and seek safety in neighbouring countries. About 2,000 people have fled to Malawi and another 1,000 to Eswatini in the past week.

The Southern African Development Community (Sadc), which has been accused of turning a blind eye to the post-election conflict in Mozambique, said on Tuesday it was deeply concerned by the continuing loss of life, injuries, destruction of private property and public infrastructure in the southern African country.

Countries such as Malawi, Zimbabwe, Botswana and Zambia have been affected by the protests because they use Mozambican ports to import and export their products.

In a statement, the chairperson of the Sadc Organ on Politics, Defence and Security Co-operation, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, added that the current situation has also caused significant economic challenges to the nation, disrupted cross-border trade and hindered the free movement of people.

“We therefore appeal for an immediate cessation of all hostilities, while reiterating the importance of prioritising the well-being and livelihoods of the Mozambican people,” she said.

Sadc also called on all parties to exercise restraint and refrain from actions that escalate violence and unrest.

THE EAST AFRICAN
Wapumbavu, wameshindwa nini kuufuta uchaguzi na kufanya uchaguzi mwingine ili kutuliza hali ya mambo???
 
Mozambique imewekwa kwenye mteremko mkali halafu kumbe fundi alisha chomoa breki, mwendo itakayo kwenda huyo aliyetangaza na atakae apishwa hawataamini macho yao. Viongozi wa Africa model yao niyasayari za mbali kabisa!!!
 
RIP Maalim seif sharif Hamad ulidhulumiwa haki yako na wanyan'ganyi Miungu watu wa kiafrika wanaopenda madaraka na kusujudiwa
 
Baraza la Katiba (CC) limetangaza rasmi kuwa Rais Mteule, Daniel Chapo ataapishwa Januari 15, 2025 kuwa Kiongozi wa Taifa hilo, licha ya wito wa Wananchi, Wapinzani na Jumuiya za Kimataifa kudai Uchaguzi uliompa ushindi haukuwa wa Haki, Huru na Uwazi.

Ushindi wa Chapo umeibua Mgogoro na Vurugu za Kisiasa nchini humo tangu Oktoba 2024 ambapo ripoti mbalimbali kutoka nchini humo zinaeleza kuwa takriban Watu 277 wamuawa katika Maandamano ya kupinga Matokeo huku wengine zaidi ya 586 wakijeruhiwa.

*****************

View attachment 3191281
Mozambique’s Constitutional Council (CC) has officially set Thursday January 15 as the date for the inauguration of the country’s next president, despite international calls that the elections were not fair, free and transparent and fair.

Opposition parties in Mozambique also said the elections were not free.

On December 23, the CC confirmed Daniel Chapo of the ruling Front for the Liberation of Mozambique (Frelimo) as the winner of the October 9 election with 65.17 percent of the vote.

Mr Chapo will replace President Filipe Nyusi. Frelimo also retained its parliamentary majority in the October 9 general elections.

According to the non-governmental organisation, Decide Electoral Platform, 277 people have been killed and 586 injured in the post-election chaos since October 21.

“Mozambicans deserve elections that are free of violence and that reflect the will of the people,” the US State Department said after the CC ruling.

“Civil society organisations, political parties, the media, and international observers, including those from the United States, cited significant irregularities in the tabulation process, as well as concern about the lack of transparency throughout the election period.”

The US also called on all stakeholders to refrain from violence and to engage in meaningful cooperation to restore peace and foster unity.

Independent presidential candidate Venâncio Mondlane, backed by the Podemos party, rejected the results announced by the CC. He got 24.19 percent of the vote.

Mr Mondlane, who is leading the protests from abroad, recently said on social media that he would take office on January 15.

According to CC, Renamo leader Ossufo Momade received 6.62 percent of the vote and MDM leader Lutero Simango managed 4.02 percent.

The on-going situation in Mozambique forced 3,000 people to flee their homes, including seeking safety in neighbouring countries.

According to UN refugee agency UNHCR, more than 3,000 people have been forced to flee their homes and seek safety in neighbouring countries. About 2,000 people have fled to Malawi and another 1,000 to Eswatini in the past week.

The Southern African Development Community (Sadc), which has been accused of turning a blind eye to the post-election conflict in Mozambique, said on Tuesday it was deeply concerned by the continuing loss of life, injuries, destruction of private property and public infrastructure in the southern African country.

Countries such as Malawi, Zimbabwe, Botswana and Zambia have been affected by the protests because they use Mozambican ports to import and export their products.

In a statement, the chairperson of the Sadc Organ on Politics, Defence and Security Co-operation, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, added that the current situation has also caused significant economic challenges to the nation, disrupted cross-border trade and hindered the free movement of people.

“We therefore appeal for an immediate cessation of all hostilities, while reiterating the importance of prioritising the well-being and livelihoods of the Mozambican people,” she said.

Sadc also called on all parties to exercise restraint and refrain from actions that escalate violence and unrest.

THE EAST AFRICAN
Ninachoelewa mimi mtu aliyetangaza kujiapisha hiyo tarehe 15 ni kiongozi wa upinzani anayesemekana ndio mshindi halali
 
Baraza la Katiba (CC) limetangaza rasmi kuwa Rais Mteule, Daniel Chapo ataapishwa Januari 15, 2025 kuwa Kiongozi wa Taifa hilo, licha ya wito wa Wananchi, Wapinzani na Jumuiya za Kimataifa kudai Uchaguzi uliompa ushindi haukuwa wa Haki, Huru na Uwazi.

Ushindi wa Chapo umeibua Mgogoro na Vurugu za Kisiasa nchini humo tangu Oktoba 2024 ambapo ripoti mbalimbali kutoka nchini humo zinaeleza kuwa takriban Watu 277 wamuawa katika Maandamano ya kupinga Matokeo huku wengine zaidi ya 586 wakijeruhiwa.

*****************

View attachment 3191281
Mozambique’s Constitutional Council (CC) has officially set Thursday January 15 as the date for the inauguration of the country’s next president, despite international calls that the elections were not fair, free and transparent and fair.

Opposition parties in Mozambique also said the elections were not free.

On December 23, the CC confirmed Daniel Chapo of the ruling Front for the Liberation of Mozambique (Frelimo) as the winner of the October 9 election with 65.17 percent of the vote.

Mr Chapo will replace President Filipe Nyusi. Frelimo also retained its parliamentary majority in the October 9 general elections.

According to the non-governmental organisation, Decide Electoral Platform, 277 people have been killed and 586 injured in the post-election chaos since October 21.

“Mozambicans deserve elections that are free of violence and that reflect the will of the people,” the US State Department said after the CC ruling.

“Civil society organisations, political parties, the media, and international observers, including those from the United States, cited significant irregularities in the tabulation process, as well as concern about the lack of transparency throughout the election period.”

The US also called on all stakeholders to refrain from violence and to engage in meaningful cooperation to restore peace and foster unity.

Independent presidential candidate Venâncio Mondlane, backed by the Podemos party, rejected the results announced by the CC. He got 24.19 percent of the vote.

Mr Mondlane, who is leading the protests from abroad, recently said on social media that he would take office on January 15.

According to CC, Renamo leader Ossufo Momade received 6.62 percent of the vote and MDM leader Lutero Simango managed 4.02 percent.

The on-going situation in Mozambique forced 3,000 people to flee their homes, including seeking safety in neighbouring countries.

According to UN refugee agency UNHCR, more than 3,000 people have been forced to flee their homes and seek safety in neighbouring countries. About 2,000 people have fled to Malawi and another 1,000 to Eswatini in the past week.

The Southern African Development Community (Sadc), which has been accused of turning a blind eye to the post-election conflict in Mozambique, said on Tuesday it was deeply concerned by the continuing loss of life, injuries, destruction of private property and public infrastructure in the southern African country.

Countries such as Malawi, Zimbabwe, Botswana and Zambia have been affected by the protests because they use Mozambican ports to import and export their products.

In a statement, the chairperson of the Sadc Organ on Politics, Defence and Security Co-operation, Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, added that the current situation has also caused significant economic challenges to the nation, disrupted cross-border trade and hindered the free movement of people.

“We therefore appeal for an immediate cessation of all hostilities, while reiterating the importance of prioritising the well-being and livelihoods of the Mozambican people,” she said.

Sadc also called on all parties to exercise restraint and refrain from actions that escalate violence and unrest.

THE EAST AFRICAN
Wale jamaa wa cabo delgado watapata pakuanzia
Waasi wa RENAMO waliopo Cabo Delgado Sasa wamepata uwanja mpya wa kuendeleza harakati zao za kudai haki kwa njia ya Vita nchini Msumbiji. Mwanzoni ngome zao zilikuwepo upande wa Kaskazinj mwa nchi hiyo tu lakini Sasa wamepata nafasi nyingine ya kuingia upande wa Kusini ambako hapo awali walikuwa hawana wafuasi wao wanaowaunga mkono huko.
Ni kweli kuwa Mgombea wa FRELIMO ataapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo lakini pia ni Ukweli mchungu Sana kwamba usalama katika nchi hiyo utakuwa tete Sana, hata uwezekano wa kutokea UASI WA UMMA pia ni mkubwa sana. FRELIMO haitaweza kutawala kwa amani tena.
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Unajidanganya Sana, nchini Msumbiji hali ni tete. Mbaya zaidi ni kwamba hata tawala zingine za nchi majirani zake tayari wameshaonyesha dalili zote za kutokuiunga mkono FRELIMO, mfano mzuri zaidi kwenye hili ni nchi ya Afrika ya Kusini ambayo inaonekana wazi haikubaliani na kile kinachoendelea kule nchini Msumbiji. Kwa chini chini Utawala wa Afrika ya Kusini unawaunga mkono Wapinzani wa nchini Msumbiji. Ndio maana muda wote wamekuwa wakifunga mipaka yao ili kuzuia raia wa Msumbiji wasiweze kuingia nchini Afrika ya Kusini, jambo hili linalenga kuongeza nguvu ya mapambano na mapigano ndani ya Msumbiji kwenyewe. Hali hii ya nchi hiyo ya Afrika ya Kusini kufunga mipaka yake ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa Sana kuongezeka kwa machafuko ndani ya Msumbiji, raia wa Msumbiji hususani vijana ambao wamekosa nafasi ya kutoroka nchi hiyo na kukimbilia South Africa sasa wamebaki ndani ya Msumbiji na kuamua kupigana na Askari Polisi wa nchi yao. That's why unaona uharibifu wa mali ni mkubwa sana sambamba na idadi kubwa ya vifo vya watu.
Kumbuka: Kutoka Maputo Msumbiji hadi kufika miji ya mpakani ya nchi ya Afrika ya Kusini kuna umbali mfupi Sana, ni Kama kutoka Stendi ya Ubungo hadi Ruvu Darajani au hadi Chalinze.
 
Back
Top Bottom