Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mnangagwa (Zimbabwe).ongezea na RAIS wa sasa wa zimbabwe
Museveni mpaka leo anadaiwa hela na madereva teksi wa Muhimbili aliwarusha.
Bili zake za maji na umeme alikimbia kulipa watu wakamlipia.
Yeye na Tito Okello walikuwa majirani kila siku wanafokeana hapo Upanga, wote wakaenda kuwa marais Uganda.