Huyu mwingine ni mnyampara wa barabaraDah! Mimi nitasajili mwakani! Hivi JK bado ni Rais kumbe! Huyu mwingine ni nani? Oohh ni Kiongozi wa Malaika! Nimekumbuka sorry kwa confusion hio
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahahahha sijasema hivyo!/Huyu mwingine ni mnyampara wa barabara
Maigizo
mabinti gan tena mkuu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kisha taratiibu mfalme alianza kusikiliza sauti nadhifu ya yule dada wakwanza aliyesema kuwa anatamani aolewe na muoka mikate wa mfalme Kisha aliyaweka maneno hayo katika kitabu Cha kumbukumbu. Hakika muonekano wa mabinti hao ulikuwa wa kikiwa sana
Hapana haja ya kujua Sana kuhusu habari za mwanzo za safari ile zaidi Sana Ni kujifunza Yale yaliyotokeamabinti gan tena mkuu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka nilifuatwa bar.Na sie tungekuwa tunafatwa Nyumbani na macamera nafikiri kila mtu kwa sasa angekuwa tayari Amesajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
JK anawakilisha watanzania orijino kusajili mwishon mwishoni
Kumbe hatumii ttcl? Hadi Sasa Ni JPM na jk tu waliosajiri? Vipi kenge lugoba? Sijamwona akisajiriRais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 amesajili laini yake kwa njia ya kieletroniki, huku akiwahasa Watanzania wengine kujitokeza kushiriki zoezi hilo, kwa kuwa mwisho ni Januari 20, 2020.
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki
Rais Mstaafu ameshiriki zoezi hilo leo ambapo amesema hatua ya kufanya hivyo ni kufuatia kuhimizwa na mfano aliouonesha Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya mwishoni mwa mwaka 2019.
Mpaka sasa bado siku 2 zoezi hili lifungwe.