Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ni kiongozi miongoni mwa viongozi pekee barani Afrika walioweza kuimarisha demokrasia nchini japo kuna baadhi ya madhaifu machache yaliyoweza kuripotiwa, mfano utekwaji wa mwenyekiti wa madaktari Dk. Ulimboka, lakini tukiondoa madhaifu haya Rais mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete atabaki kuwa ndie Rais bora zaidi toka uhuru, alieweza kuimarisha demokrasia nchini kwa kuwapa upinzani uhuru wa kujieleza na mengineyo..