Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kuhudhuria harusi ya Alikiba jijini Nairobi Kenya

Diamondi asiache kwenda kula pilau ya rafiki yake
 
vya ndani ndio akina Nandy, Sancho na Sepetu
acha kabisa ..ukiwa mmoja wapo hapo utachekwa mpaka na kuku" hata" shetani nae atafuta urafiki nawe ""maana ataona daahh huyu rafiki yangu sasa amevuka mipaka"" ameamua kuyaleta matatizo nyumbani kwake yeye Mwenyewe!!!
 
Unaandika Nairobi na ndani unaelezea Mombasa hujui hata hilo dogo kwamba Mombasa si Nairobi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…