GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Usiogope kwani kwa jinsi Mama anavyokukubali tokea ulipomtoa Zanzibar kwa Karume, ukampa Ulaji katika Bunge la Katiba na mwishoni ukamuombea 'Ulaji' kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ukimwambia kuwa hujapendezzwa na Kitendo chake cha Kuruhusu 'Uchifu' kurejea Tanzania wala hatomtosa Unaibu Uwaziri Mwanao Kipenzi Ridhiwani.
Na kilichotushangaza wengi na kuzidi kukuona kuwa una PhD ya Unafiki na Sanifu kwa Watanzania kwani kama ni Rais Samia kuanza Kuenzi 'Uchifu' alifanya hivyo Kitambo tu ila hukusema ila juzi ndiyo wenye Akili tunakushangaa Kuibuka nalo kana kwamba vile masikio yako hayakumsikia wakati ule.
Halafu si mlikuwa nae wote alipokuwa Ziarani nchini Marekani kwanini hamkunong'onezana tu kule tena mkiwa peke yenu huenda kwa hali ya Hewa Tamu ya Marekani na Bata la Kule Mama (Mheshimiwa) angekuelewa zaidi.
Acha Kutuchanganya Watanzania kwani tulishatosheka sana tu na ulivyotuchanganya mwaka 2005 haai 2015 kama Taifa (Nchi)
Nimemaliza.
Na kilichotushangaza wengi na kuzidi kukuona kuwa una PhD ya Unafiki na Sanifu kwa Watanzania kwani kama ni Rais Samia kuanza Kuenzi 'Uchifu' alifanya hivyo Kitambo tu ila hukusema ila juzi ndiyo wenye Akili tunakushangaa Kuibuka nalo kana kwamba vile masikio yako hayakumsikia wakati ule.
Halafu si mlikuwa nae wote alipokuwa Ziarani nchini Marekani kwanini hamkunong'onezana tu kule tena mkiwa peke yenu huenda kwa hali ya Hewa Tamu ya Marekani na Bata la Kule Mama (Mheshimiwa) angekuelewa zaidi.
Acha Kutuchanganya Watanzania kwani tulishatosheka sana tu na ulivyotuchanganya mwaka 2005 haai 2015 kama Taifa (Nchi)
Nimemaliza.