Huyo alikuwa anacheka na Uhuru na Hadi chato alienda na akampa tausi, Ila kwenye Yale maujinga yao aliwakazia.
Ni kweli siasa ikiingia kwenye ubongo, ubongo unakuwa hauna kazi tena?Kwani uhuru ameomba kitu toka kwetu? Uhuru hajawahi kanyaga Chatto mzee ni Raila
Tukumbuke pia kuvunjika kwa Jumuia ya Afrika, 1977, hadi Rubani wa Tz kutorosha ndege moja na Shirika la Reli kugawanyika.Mimi binafsi Kuna mengi ambayo nimefurahi hasa kwenye ziara ya Mama huko Kenya, ikiwemo kuwauzia gesi maana tutapata faida kubwa.
Kikwete anahesabika moja ya maraisi wapole,wenye busara na diplomasia ya Hali ya juu. Lakini pamoja na yote hayo Mh. Kikwete aliwahi kupata shuruba ya Hawa majirani hasa Kenya tu kwa sababu ya kuwakatalia baadhi ya mambo yao waliokuwa wakihitaji.
Kikwete kwa haiba aliyonayo na alivyokuwa akisemwa kuwa anachekacheka basi isingekuwa ngumu kwake kukataa hayo mambo, Ila hadi anadiriki kukataa tafsiri yake Kuna vitu alivyiona.
Mama Samia Mimi ni mfuasi wako, hivyo pamoja na Huo ujirani mwema Kuna vitu inabidi kuvikataa katakata, Wala ukwepeshe.
Kwenye kikao wanakubaliana wakatae kusani ila nyuma ya pazia Kenya anaenda kusaini, mfano ni: EPA
Ilifikia kipindi wakawa wanafanya meetings za EAC bila hata kumjulisha Mh. Kikwete.
Hivyo Mama nakuomba usifurahie Sana maneno yao matamu bali Pima maslahi ya watanzania.
Chini ni habari ya kipindi hicho 2013 Kikwete akilalamikia Hawa majirani zetu.
Zaidi soma > Hotuba ya Rais Kikwete, Bungeni Dodoma - Novemba 07, 2013
Photoshop mkuuNi kweli siasa ikiingia kwenye ubongo, ubongo unakuwa hauna kazi tena?
Yaani kabisa unabisha Kenyatta hajawahi kwe da chato? Kenyatta na Magufuli walikuwa marafiki, achana na hiyo misuguano ya kimaslahi uliyokuwa unaiona.
Haya habari hii hapa, ukitaka naa video niambie maana alilala kabisa huko chato asubuhi akapewa tausi akasepa
View attachment 1774368
Hivyo Mama nakuomba usifurahie Sana maneno yao matamu bali Pima maslahi ya watan
Tumia akili na ujiuljze mbona hizo nchi tatu ziliamua zije pamoja wafanye kazi kwa umoja.Nimeona niliweke sawa maana ilionekama Kama Magufuli alikuwa mkorofi kumbe hata Kikwete walikuwa hawaelewani nae
Kabisa, wao wameskia side moja wakaidandia kama dala dala. Na pia mbona hamjiulizi kwa nini hizi nchi tatu ziliamua kufanya kazi pamoja na kuitenga 🇹🇿.mkuu unachokisema ni sawa lakini a story has always 2 sides you have jst narated one side of the story,kwaiyo ni swala la kuketi na kuweka mambo sawa bila uzito kuegemea pande moja.