Pre GE2025 Rais Mstaafu Kikwete unaona huu moto wa 2025?

Pre GE2025 Rais Mstaafu Kikwete unaona huu moto wa 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Rais Mstaafu Kikwete nakusalim kwa jina la jamuhuri ya Muungano.

Ama kwa hakika nimekaa nikatafakari nakitafakuri nikasema niandike jambo kwenye JamiiForums labda watuwako wanaweza kukupa usome ukapata nawe tafakuri zaidi kuelekea 2025.

Huwa mara nyingi naikumbuka basically moja ya speech zako kwenye bunge la jamuhuri ya muungano pale ukisema nami nakunukuu "Tusifanye maamuzi ambayo siku moja vijana wetu watakuja kuyachapa makaburi yetu nakuuliza hivi hawa wazee walikuwa na akili?" Mwisho wakukunukuu.

Rais Mstaafu kuna wakati machale yalikucheza ukasema jamani madaraka ya kiti ni makubwa na nikitisho cha usalama na democrasia yetu.. Waja tulikubagaza nakukuona huyu mzee dhaifu sana ila kilikuja chuma walahiii kilitufulaisha.. Mola akakipenda zaidi basi akamchukua.

Rais Mstaafu mambo ni mengi ila muda mchache, kuna moto wafuka chinichini kiasi kama wazee msipo simama kidete kazi itakuwa kazi.

Wanasema unapokuwa mzee ndio unaona makosa makubwa uliyafanya nakutafuta marekebisho. CCM chama kikongwe na sote tulio na jicho la Tatu ccm inanguvu zaidi kuliko mwanachama wa ccm yaani wanachama wa ccm hawawezi kuwa zaidi ya chama ktk umaarufu.

Rais Mstaafu kwakweli msiba haujaisha bado maumivu yamo ndani ya watanzania ndani ya chama.

Hili lina fanya 2025 kuwa ngumu mithili ya ile kesi ya wanawake wawili walio kuwa wakigombania mtoto mbele ya Mfalme Suleiman jambo likamfanya Mfalme Suleiman kumuita askari wake nakuagiza yule mtoto akatwe vipande viwili jambo lakushangaza katika wale wanawake wawili mmoja akawa anasema bora akatwe vipande viwili wakati yule mwenye mtoto akisema basi apewe yule alikuwa akisema mtoto wake ndipo Mfalme aka amuru yule alie kuwa akisema mtoto asiuwawe na apewe mwenzake ndie mzazi halali wa mtoto.

Rais Mstaafu mtafanyaa makosa makubwa kulikabidhi taifa kwa miaka mitno tena kwaa viongozi waliokuwa tayari hata kuona taifa na chama kife kwa masilahi yao ya uongozi au Tamaaa za uongozi. Yapo mambo mengine nasi Twamuachia Mungu.
 
Leo siku ya tatu toka uzi upandishwe jukwaani na mimi ni mtu wa tatu kucomment.
Nasema hivi Tanzania ni shamba la bibi acha mwenye jembe,panga shoka na kisu kikali avune anachotaka
 
Kwahiyo yule mwanamke alisema bora mtoto akatwe vipande viwili ni nan ktk siasa za tz
 
Ilianguka Roma itakuwa hii, kama muda umefika acha jipu limwage usaha tuanze upya! Mtaogopa mabadiliko hata lini? Waacheni wazee wamalize siku zao, kama mmekosa akili mseme. Karne nyingine hii mnaita mawazo ya karne jana? Population ya sasa zaidi ya nusu ni kizazi cha miaka ya 80's na 90's mnaitisha wakongwe wa miaka ya uhuru! Acheni hizo bana
 
Rais Mstaafu Kikwete nakusalim kwa jina la jamuhuri ya Muungano.

Ama kwa hakika nimekaa nikatafakari nakitafakuri nikasema niandike jambo kwenye JamiiForums labda watuwako wanaweza kukupa usome ukapata nawe tafakuri zaidi kuelekea 2025.

Huwa mara nyingi naikumbuka basically moja ya speech zako kwenye bunge la jamuhuri ya muungano pale ukisema nami nakunukuu "Tusifanye maamuzi ambayo siku moja vijana wetu watakuja kuyachapa makaburi yetu nakuuliza hivi hawa wazee walikuwa na akili?" Mwisho wakukunukuu.

Rais Mstaafu kuna wakati machale yalikucheza ukasema jamani madaraka ya kiti ni makubwa na nikitisho cha usalama na democrasia yetu.. Waja tulikubagaza nakukuona huyu mzee dhaifu sana ila kilikuja chuma walahiii kilitufulaisha.. Mola akakipenda zaidi basi akamchukua.

Rais Mstaafu mambo ni mengi ila muda mchache, kuna moto wafuka chinichini kiasi kama wazee msipo simama kidete kazi itakuwa kazi.

Wanasema unapokuwa mzee ndio unaona makosa makubwa uliyafanya nakutafuta marekebisho. CCM chama kikongwe na sote tulio na jicho la Tatu ccm inanguvu zaidi kuliko mwanachama wa ccm yaani wanachama wa ccm hawawezi kuwa zaidi ya chama ktk umaarufu.

Rais Mstaafu kwakweli msiba haujaisha bado maumivu yamo ndani ya watanzania ndani ya chama.

Hili lina fanya 2025 kuwa ngumu mithili ya ile kesi ya wanawake wawili walio kuwa wakigombania mtoto mbele ya Mfalme Suleiman jambo likamfanya Mfalme Suleiman kumuita askari wake nakuagiza yule mtoto akatwe vipande viwili jambo lakushangaza katika wale wanawake wawili mmoja akawa anasema bora akatwe vipande viwili wakati yule mwenye mtoto akisema basi apewe yule alikuwa akisema mtoto wake ndipo Mfalme aka amuru yule alie kuwa akisema mtoto asiuwawe na apewe mwenzake ndie mzazi halali wa mtoto.

Rais Mstaafu mtafanyaa makosa makubwa kulikabidhi taifa kwa miaka mitno tena kwaa viongozi waliokuwa tayari hata kuona taifa na chama kife kwa masilahi yao ya uongozi au Tamaaa za uongozi. Yapo mambo mengine nasi Twamuachia Mungu.
Mkuu ule mpango uliowahi kuripot vipi unaonekana kuzidiwa nguvu ama ni muendelezo tu wa kupindisha uelekeo halisi.
 
2025 ni nyepesi sana, mziki upo 2030 tukijaaliwa uhai InshaAllah tutaona mengi sana.
 
CCM ndio chama pekee kinachoweza kuinusuru Nchi kwenye maanguko. Mabadiliko yanahitajika yatoke ndani ya CCM. Kuna umuhimu wa kuiachanisha Uongozi wa Nchi na mfumo wa Kifamilia, Undugu, Ukanda na Ukada. Sifa za Uongozi zibaki za uadilifu, hofu ya Mungu, ukweli , uwazi na uaminifu.
 
Back
Top Bottom