TANZIA Rais Mstaafu wa Zambia Rupia Banda afariki dunia

TANZIA Rais Mstaafu wa Zambia Rupia Banda afariki dunia

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
aupiah-Banda-2.jpg

Rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kusumbuliwa na saratani ya tumbo.

Mtoto wa Banda ameeleza kuwa baba yake amefikwa na umauti Ijumaa Machi 11, 2022 baada ya kuumwa kwa muda mrefu.

Banda, raia wa nne wa Zambia alikuwa madarakani mwaka 2008 hadi 2011, alianza kusumbuliwa na saratani miaka miwili liyopita.


Source: nationalpost
 
Rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kusumbuliwa na saratani ya tumbo.

Mtoto wa Banda ameeleza kuwa baba yake amefikwa na umauti Ijumaa Machi 11, 2022 baada ya kuumwa kwa muda mrefu.

Banda, raia wa nne wa Zambia alikuwa madarakani mwaka 2008 hadi 2011, alianza kusumbuliwa na saratani miaka miwili liyopita.

View attachment 2147320

Source: nationalpost
Rest In Peace sir
 
Rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kusumbuliwa na saratani ya tumbo.

Mtoto wa Banda ameeleza kuwa baba yake amefikwa na umauti Ijumaa Machi 11, 2022 baada ya kuumwa kwa muda mrefu.

Banda, raia wa nne wa Zambia alikuwa madarakani mwaka 2008 hadi 2011, alianza kusumbuliwa na saratani miaka miwili liyopita.

View attachment 2147320

Source: nationalpost
Tiende pamozi
 
Back
Top Bottom