Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Failure ya IEBC ni kukataa kufuata matakwa mabovu ya deep state. Wameumbuka kama Mandonga Mtu KaziRuto is almost not involved in this case. All prayers in the Azimio petition are claiming for IEBC failure or inefficiency.
Hii sio kweli kwa 100%.Inaonekana hata Katiba ya Kenya huifahamu.Ungekuwa unaifahamu walau kidogo tu ungepaswa kujua siku ile petition ilivyopokelewa SCOK privileges zote za President elect zilisitishwa.
Hao wanaopayuka wawekega na vifungu kabisa. Mie nimechoka kuwarekebisha deile. Ajira yangu Max aliisitisha hivi juzi kati hanilipi tena 🙂Hii sio kweli kwa 100%.
Mpaka sasa bado Ruto ni President elect, kufungua kesi mahakamani kuu hakujafuta chochote kile kilichofanywa na Chebukati (kumtangaza Ruto ni rais). Privileges zote za President erect mpaka sasa anazo Ruto, zitakoma siku mahakama kuu akitoa hukumu ya kutengua ushindi wa Ruto.
Rais wa UN labda, because nasikia kazungumza nao. Ila kuhusu kugombea, bado yupo sana.Raila bila shaka anajua kuwa hii ni attempt yake ya mwisho, bila shaka amejiapiza kuwa mvua inyeshe au jua liwake ni lazima awe rais na ikibidi hata kwa goli la mkono!!
How? Acha kupotosha wewe. Odinga afikishwe hapo alipo na Ruto? Sometimes sijui mnatuonaje?Huyo jamaa anapaswa kujua kwamba almost marais na presidential candidates wote wadogo kwa wakubwa (including Odinga mwenyewe) wamefika hapo kwa hisani ya Ruto kifedha ama kishawishi.
Soma katiba ya Kenya si kukaa na kubwabwaja tu.Soma upate kuelewa haki stahiki za rais mteule wa Kenya alafu urudi kuchangia.Wanambrief kama nani wakati Uhuru bado ni Rais ! au wenzetu huko Kenye mtu akishatangazwa kuwa ni Rais mteule basi ashaanza kupigiwa mizinga duh ! hovyo kweli wew eti briefing
Kupitia majibu ya Pingamizi aliyowasilisha, Rais Mteule amesema Mahakama Kuu haitakuwa na Mamlaka ya kumtangaza Odinga kuwa Rais hata baada ya kujumlisha Kura na kuthibitisha Matokeo kama ilivyoombwa.
Ameongeza kuwa maombi ya Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua ni kinyume cha Katiba na kwamba Kiongozi huyo wa Azimio amedhamiria kulazimisha ushindi ili wagawane Mamlaka.
Ruto amenukuliwa akisema “Ni Pingamizi potofu, wao wanadai kuwa hakuna mgombea aliyefikia 50% ya Kura na kwa vyovyote vile, Kifungu cha 80 (4) cha Sheria ya Uchaguzi kinaizuia Mahakama hii Tukufu kutoa uamuzi wa Malalamiko kwasababu waombaji walitenda makosa ya Uchaguzi,”.
============================
President-elect William Ruto has told the Supreme Court that it has no powers to declare Azimio leader Raila Odinga the president-elect after tallying the votes and verifying the count as petitioned by his rival.
Mr Ruto says in a response filed yesterday that the prayer sought by Mr Odinga and his running mate Martha Karua on Monday is against the Constitution and Supreme Court rules.
The Kenya Kwanza coalition leader further says it is disingenuous for his main rivals in the August 9 presidential election to ask the court to declare them president-elect and deputy president-elect while claiming the election was not conducted as required by the Constitution and relevant election laws.
“It is disingenuous for the Petitioners to pursue the relief sought in the Petition while claiming that none of the candidates met the 50 per cent plus 1 threshold; and in any event, Section 80 (4) of the Elections Act precludes this Honourable Court from granting prayer (9) of the Petition to the extent that the Petitioners committed election offences,” he says in his court filings.
Mr Odinga has claimed that there is evidence of his votes being suppressed while those of Mr Ruto was increased to rig him out.
Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chairman Wafula Chebukati declared Mr Ruto the president-elect in an announcement that was preceded by a press conference addressed by four breakaway commissioners, including deputy Juliana Cherera.
NATION AFRICA
Soma katiba ya Kenya si kukaa na kubwabwaja tu.Soma upate kuelewa haki stahiki za rais mteule wa Kenya alafu urudi kuchangia.
Bado Ruto ni rais Mteule mpaka pale mahakama itakapoamua vinginevyo. Hivyo anaendelea kupata haki za rais mteule.Kesi ikishapelekwa mahakamani stahili zote za Rais mteule zinakufa.
Ni Rais Mteule lakini stahiki zake zinakufa pale shauri linapopelekwa mahakamani kuhusiana na uhalali wa ushindi wake.Siku RAO alipokwenda Mahakamani kupinga ushindi wa Ruto privilege za uRais Mteule zilikoma.Ruto sasa ana enjoy privilege za Naibu Rais zaidi kuliko Rais Mteule.Bado Ruto ni rais Mteule mpaka pale mahakama itakapoamua vinginevyo. Hivyo anaendelea kupata haki za rais mteule.
Yaani haki zinakufa kwa tuhuma? Yaani aliyetoa tuhuma haijathibitisha halafu haki zife?Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya kesi ikifunguliwa baada ya mshindi kutangazwa haki au stahili zote za Rais mteule zinakufa kifo cha Mende.
Kwa hiyo wewe ni mwanamke?Ruto mwanaume wewee. Yule ni master wa politics Africa mashariki na kati na maziwa makuu kwa jumla. Hakuna atakayethubutu kumnyang'anya ushindi wake. No one believe me.
Au kuiamuru IEBC imtangaze Raila! 🙂 Si ndivyo eti ^deep state^ (ya Raila?) inataka? Wamtangaze tu, maana amesota sana. Wampe ushindi wa mezani (aka goli la Nimrod Mkono) 🙂 Wampe tu aongeze Sea-vii yake. Wampe tu ili nchi isonge mbele. Wampe tu! Wampe, wampe! Ahgrgffdhfxgghvcsfcsddddgggg!!!I agree with Ruto.
Mahakama haina mamlaka ya kumtangaza Raila mshindi bali mamlaka yake yanaishia kwenye kubatilisha matokeo tu.
Mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi ni Tume.
Hivyo mahakama itakachofanya ni kutoa amri kwa uchaguzi kurudiwa.
Yaani haki zinakufa kwa tuhuma? Yaani aliyetoa tuhuma haijathibitisha halafu haki zife?
So mlugaluga yoyote ukiacha Raila akienda kufungua kesi dhidi ya ushindi wa Rais mteule haki zake zote zinakufa? Au kwa sababu ni Raila?
Ruto ni president elect until mahakama ime prove otherwise
I agree with Ruto.
Mahakama haina mamlaka ya kumtangaza Raila mshindi bali mamlaka yake yanaishia kwenye kubatilisha matokeo tu.
Mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi ni Tume.
Hivyo mahakama itakachofanya ni kutoa amri kwa uchaguzi kurudiwa.
Kwamba Ruto ana pesa kuliko Kenyatta? Ruto anaweza kweli kuwa na pesa lakini ni wazi hamfikii Uhuru.Vyote viwili mkuu