Rais Mteule wa Nigeria yupo Paris kwa Mapumziko

Rais Mteule wa Nigeria yupo Paris kwa Mapumziko

Du. Are you serious? Mimi nilidhani katika kipindi ambacho rais anakuwa busy ni kipindi hiki! Unakwenda kufanya mipango ukiwa Ulaya? Hapa watakuwa wameficha kitu. Huyu ameenda kutibiwa! Na hakuna aliyesema anatumia fedha za serikali, soma vizuri.
Sasa na uzee wote huo...na mikikimikiki ya uchaguzi si atakuwa hoi sana?
Labda yuko checkup ya afya
 
Kuna tofauti na anayegawa Hela kwa ajili ya magoli??
 
Back
Top Bottom