Sasa na uzee wote huo...na mikikimikiki ya uchaguzi si atakuwa hoi sana?Du. Are you serious? Mimi nilidhani katika kipindi ambacho rais anakuwa busy ni kipindi hiki! Unakwenda kufanya mipango ukiwa Ulaya? Hapa watakuwa wameficha kitu. Huyu ameenda kutibiwa! Na hakuna aliyesema anatumia fedha za serikali, soma vizuri.
Ukweli ni kwamba hamna mtu anataka RussiaMoscow haendi!
Anaitafuta 90 huyoHuyu ana miaka zaidi ya 70 anayosema.
Kwisha habari yakeAmeenda kutibiwa mkuu , halafu amebakiza hapo tuu nguvu ya kasukuma mavi na kubadilisha dyper.
Uchawi wameuweka mbele sana.Siasa za Nigeria zimeshikwa na wazee, vijana hawafurukuti kabisa
Wanazungumziwa Wanaijeria.Huyo mwingine baki naye moyoni mwako.Sasa mnajifyata fyata tu.
Si nyie ndio mlisema Magufuli ni mshamba na hasafiri nchi za nje?
Waafrika tuna safari ndefuNigeria’s president-elect left the country Tuesday to rest after his recent electoral campaign, his office said.
hahahahaTungekinya
Nfio alishashindwa kitamboKama huyu kashinda uchaguzi na Miaka 80 hata Lowasa asikate tamaa ipo siku atashindwa uchaguzi