johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Anaenda kuwasaidia M23Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Duniani mambo ni Mengi πMbona kama ni vituko, yeye na kagame si kampani moja? Iweje wakapingane kufurukushana congo?
Wacha uzushi ,Jeshi likewise Kwa akili ya waasi wa ADF na sio M23Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Wameanxa kujiajiriiii hahahaaaHatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Na Mwanaye Mhoozi ameenda mstari wa Mbele au ametanguliza watoto wa wanyonge wakalambishwe Mchanga?Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
CDF anaendaje mstari wa mbele? πNa Mwanaye Mhoozi ameenda mstari wa Mbele au ametanguliza watoto wa wanyonge wakalambishwe Mchanga?
Kuonesha mfanoCDF anaendaje mstari wa mbele? π
Hizi siyo enzi za akina Goliath πKuonesha mfano