Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwenda KimbelembeleHizi siyo enzi za akina Goliath 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda KimbelembeleHizi siyo enzi za akina Goliath 😀
Bora wamthibiti KagameHatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Hapana, ni kupambana na ISIS na sio M23.Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Hawa M23 wanatakiwa wapigwe haswaHatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
M23 sio magaidi magaidi ni ADF labda Mzee ameanza kuzeheka
Kama CDF JUMONG kwenye Korean drama movies yeye ndie mwenyewe ndie aliongoza mapambano mstari wa mbele.Kuonesha mfano
Ndio hapo sasaKama CDF JUMONG yeye ndie aliongoza mapambano mstari wa mbele.
CDF MUHOZI anakwama wap☺️😅
Tayari ndio kwenye vichekeshoKupata vichekesho kama hivi unabobyeza ngapi
Fuata source nyingine Meku, Museveni na mwanae Jenerali Kainerugaba wanaenda Bunia (pasipo M23)kupigana na waasi wengine wenye kuuwa ndugu za wa mbari ya Bahima.Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23
Source Al Jazeera news
Sasa hiyo ni vita au ni vurugumechi? Yan huyu anampiga yule; yule naye anawapiga hawa Dah! inakuwa kama vile ndani ya hiyo vita ni yeyote mwenye bunduki anaingiamo na kujipigia .Fuata source nyingine Meku, Museveni na mwanae Jenerali Kainerugaba wanaenda Bunia (pasipo M23)kupigana na waasi wengine wenye kuuwa ndugu za wa mbari ya Bahima.