OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huyu jamaa ni shoga?? Iyo I'd ya mwanaume mwenzake huwa inanipa maswaliShukuru wewe haupo huko.
🤣🤣🤣wengine wagumu kweli...wengine washarojoka kabisa 🙌
Hizo bifu zenu tu, ulienda matakoni kwake?Shukuru wewe haupo huko.
Hapo nimesema wapi kuwa huyo jamaa ni Shoga? Nioneshe niliposema hivyo kwanza.Hizo bifu zenu tu, ulienda matakoni kwake?
Wanafika 490 hao?
Shoga ukimwangalia stracture yake inajioneshaHizo bifu zenu tu, ulienda matakoni kwake?
Shoga ukimwangalia stracture yake inajionesha
Mapunga yanategemea Ulaya, ..Ulaya haiwezi kuiamria Afrika juu ya Values za kiafrika.Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
Shindwaaa na mabwanako.Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
😁😁😁 wewe acha masikhara eti washarojoka jojo....uno lishalainika rojo jojo....🤣🤣🤣wengine wagumu kweli...wengine washarojoka kabisa 🙌
Mbona umeumia sana?Waganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia