Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Humu wapo wengi sanaOya achana upunga aiseeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu wapo wengi sanaOya achana upunga aiseeh
pumbavu, sitetei ushoga, natetea utu wao usitweze. Mkiona mtu anawatetea mnaanza kuhisi naye ni mmoja wao. Sasa mkiwaua hamuoni kuwa hayo ni makosa ya kijinai? Kuweni na akili kupambana na ushogaWeweeee utakua Punga...
Mapunga yanategemea Ulaya, ..Ulaya haiwezi kuiamria Afrika juu ya Values za kiafrika.
Shindwaaa na mabwanako.
ila kwanini mashoga wengi wana sura ngumu mno?
Wanafika 490 hao?
itakuwa bunge la kishenzi ndilo linaweza kupata muda wa kujadili mambo ya kipuuzi na kuacha mambo muhimuHapa ni sheria tu iwe kali; bunge likae siku moja itunge sheria; ndani ya siku tatu ni utekelezaji tu.
Una watoto wangapi mpaka sasa hivi?itakuwa bunge la kishenzi ndilo linaweza kupata muda wa kujadili mambo ya kipuuzi na kuacha mambo muhimu
Museveni koomah kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmech3ka kinoma yanimuseni anasema shoga yoyote wakiume akipata mimba jela atamuachia huru na mtaji mkubwa atampa, ila kama hakupata mimba ataendelea kukaa jela
ukiwaambia nini kitawaajia haya makanisa yanayofungamana na vatican, cantebury na huko kwingine wanavyopalilia ushoga, afrika itapokea tu maana kinatoka makao makuu wanakuhusisha na ushoga, hatutei ushoga ila tunapembua ukweli wa mambo namna yanavyoenezwa na jinsi ya kupambana nayoUganda Ina Wakatoliki wengi, mmesikia mkuu wa kanisa hilo duniani kasemaje kuhusu mashoga? Mzungu alichosema itabidi upokee ulivyoipokea hiyo imani.
It's an endless debateHizo bifu zenu tu, ulienda matakoni kwake?
Waarabu wameleta nuksiWengi wanaonekana ni vijana kutoka pwani,kuna mmoja kavaa na kobazi kabisa. Msiba mkubwa huu waarabu wameiharibu afrika mashariki.
Waganda vazi la kanzu ni la kitamaduniWengi wanaonekana ni vijana kutoka pwani,kuna mmoja kavaa na kobazi kabisa. Msiba mkubwa huu waarabu wameiharibu afrika mashariki.