Rais Museveni akamata mashoga 490

Rais Museveni akamata mashoga 490

Weweeee utakua Punga...

Mapunga yanategemea Ulaya, ..Ulaya haiwezi kuiamria Afrika juu ya Values za kiafrika.

Shindwaaa na mabwanako.
pumbavu, sitetei ushoga, natetea utu wao usitweze. Mkiona mtu anawatetea mnaanza kuhisi naye ni mmoja wao. Sasa mkiwaua hamuoni kuwa hayo ni makosa ya kijinai? Kuweni na akili kupambana na ushoga
 
Wanakwenda kulishwa na Ugandan taxpayers

Niulila,look at me
 
Wasio mashoga ndo ma-victim wa Ushoga... Tunapata psychological torture kuliko hayo mashoga yenyewe... 😂😂😂

Becoz unamwazia mwanao wa kiume yaani itakuaje huko boarding ambako mashoga wanazalishwa siku hizi....

Hata hivyo viumbe ni majasiri sana,,, yaani mwanaume unapataje ujasiri wa kupumuliwa kisogoni??
 
Mi huyo jamaa kwenye video kaniacha hoi kwa hiyo lugha eti kumaaanina 😅😅😅😅😁😁😁
 
Uganda Ina Wakatoliki wengi, mmesikia mkuu wa kanisa hilo duniani kasemaje kuhusu mashoga? Mzungu alichosema itabidi upokee ulivyoipokea hiyo imani.
ukiwaambia nini kitawaajia haya makanisa yanayofungamana na vatican, cantebury na huko kwingine wanavyopalilia ushoga, afrika itapokea tu maana kinatoka makao makuu wanakuhusisha na ushoga, hatutei ushoga ila tunapembua ukweli wa mambo namna yanavyoenezwa na jinsi ya kupambana nayo
 
Museveni amekamata wote hao, anataka kuwafanya nini?
 
Back
Top Bottom