Rais Museveni ametumia gari lake kwenye ziara yake Tanzania?

Rais Museveni ametumia gari lake kwenye ziara yake Tanzania?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania.

Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.

Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?

Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
 
Back
Top Bottom