Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kumbe uliona ile convoy? DuhAlipita bukoba juzi mchana,nadhani alilala mwanza
Mkuu kuna ajabu gani, mbona Rais wa Amerika kila anapoenda anatumia gari lake?Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tz...
Hakuna ajabu yoyote, ndio maana nimeweka kwa mfumo wa swali. ThanksMkuu kuna ajabu gani, mbona Rais wa Amerika kila anapoenda anatumia gari lake?
Alipanga mwenyewe kushambulia ili awadhibiti kina chagurani hana lolote huyo musevenDikteta muoga, wale MAGAIDI waliopiga Kampala wanamnyima usingizi, bladefeken.
Karibu mgeni mwenyeji apone, hataki kutuingizia gharama za usafiri, atajigharamia mwenyewe.Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania...
Alipita bukoba juzi mchana,nadhani alilala mwanza
Kumbe ni gari tu,yeye mwenyewe alipanda ndege.kafika Leo TzKumbe uliona ile convoy? Duh