Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Mbona katua na Uganda Airline mkuu ?Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tz.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania Leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Mpwa, nadhani umesoma heading kisha ukanijibu, nakushauri soma content tafadhaliMbona katua na Uganda Airline mkuu ?
Anaiga marekani, raidi utembea na magari yake ambayo ufika kabla hajafika.Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tz.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania Leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Anaogopa kupita angani huyo! Ila Africa tunashangaza sana yani kibabu kiko kwenye kiti tangu 1986 wakati sio nchi ya kifalme hata kimekandamiza demokrasia na hata mawazo mapya hakuna! Sioni mantiki ya kuwa na mtu yule yule miongo 3 what for? Hata 10 naona mingi walau 8 atoke yaje mawazo mapyaWanasema kunguru mwoga ...
Hata hivyo labda hilo gari atalitumia baada ya yeye kuja na dreamliner la Air Uganda.
Wachina wameshachukua uwanja wa Ndege huko[emoji23][emoji23][emoji23]Anaogopa kupita angani huyo! Ila Africa tunashangaza sana yani kibabu kiko kwenye kiti tangu 1986 wakati sio nchi ya kifalme hata kimekandamiza demokrasia na hata mawazo mapya hakuna! Sioni mantiki ya kuwa na mtu yule yule miongo 3 what for? Hata 10 naona mingi walau 8 atoke yaje mawazo mapya
Anaogopa kupita angani huyo! Ila Africa tunashangaza sana yani kibabu kiko kwenye kiti tangu 1986 wakati sio nchi ya kifalme hata kimekandamiza demokrasia na hata mawazo mapya hakuna! Sioni mantiki ya kuwa na mtu yule yule miongo 3 what for? Hata 10 naona mingi walau 8 atoke yaje mawazo mapya
Hao ndio Babu zetu [emoji23][emoji23][emoji23] Huku wengine wakigawana fedha za Uviko na kuonyesha mapicha picha wakati Ukweli hakuna wanachofanya[emoji125][emoji125][emoji125]Akiingia madarakani 1986 alinukuriwa akisema tatizo la Afrika lilikuwa watawala waliokaa madarakani kupitiliza [emoji16][emoji16]
Corona effect, kifo cha utata cha magu na poisoning scandals haitoki nje na hapo.Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tz.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania Leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Mbona katua na Uganda Airline mkuu ?
Hao ndio Babu zetu [emoji23][emoji23][emoji23] Huku wengine wakigawana fedha za Uviko na kuonyesha mapicha picha wakati Ukweli hakuna wanachofanya[emoji125][emoji125][emoji125]
Huyu nae nadhani atakua ana shida kama yule dikteta mwenzie hawezi kuwepo angani muda mrefu.Akiingia madarakani 1986 alinukuriwa akisema tatizo la Afrika lilikuwa watawala waliokaa madarakani kupitiliza 😁😁
Huyu nae nadhani atakua ana shida kama yule dikteta mwenzie hawezi kuwepo angani muda mrefu.
Mbona Queen Elizabeth bado anaongoza mpaka leo au kwa kuwa ni mzungu?!! Au tatizo lako ni Slavery Mentality??Anaogopa kupita angani huyo! Ila Africa tunashangaza sana yani kibabu kiko kwenye kiti tangu 1986 wakati sio nchi ya kifalme hata kimekandamiza demokrasia na hata mawazo mapya hakuna! Sioni mantiki ya kuwa na mtu yule yule miongo 3 what for? Hata 10 naona mingi walau 8 atoke yaje mawazo mapya
Hujasoma hapo nilipoandika kuwa 'sio nchi ya kifalme"Mbona Queen Elizabeth bado anaongoza mpaka leo au kwa kuwa ni mzungu?!! Au tatizo lako ni Slavery Mentality??
Mwisho wa siku akafia mtaroni.Mbona marehemu Gadaf alikuwa anatembea nayo,lakini wakati wa kurudi alikuwa anayaacha alishawai kuacha msururu wa Benz Malawi
Utawala wa kifalme na wakwetu ni tofauti ndio maana unaona hata huko UAE, Singapore bado wafalme wanaongoza hata Saudi ni hivyo Sisi tumeachana na hizo desturi ngoja wachukue viwanja vyetu vya Ndege na Mafuta ukiacha na mbuga za wanyama anyway Mchina ni Ndugu yetu kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona Queen Elizabeth bado anaongoza mpaka leo au kwa kuwa ni mzungu?!! Au tatizo lako ni Slavery Mentality??
Madikteta uchwaraMadikteta huwa ni waoga sana..
Yule General wa Iran aliyemalizwa Kwa drone ile tamthilia inaitwaje vile?Punguza kuangalia tamthilia
Wewe utajuaje nawe uko programmed kusifia upumbavu wa watawa vilaza?Hiyo drone iliishawahi kufanya yake wapi? Au unawalisha ujinga wajinga wenzio?