SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hiyo ID yake inatosha kueleza kuwa ni mshamba na kilaza kama huyo dhalimHujasoma hapo nilipoandika kuwa 'sio nchi ya kifalme"
Na by the way kwa kukusaidia tu Malkia wa UK ni ceremonial leader..
Mtendaji mkuu wa serikali ni PM
Sasa Kaguta Museveni ni kofia zote kwa miaka 35 kawazima kabisa walioonekana kuwa na mawazo tofauti na yeye kama Kiiza Besigye na Robert Kyagulanyi.
Hajaishia hapo naona anatengeneza succession plan kwa kumuachia mwanae Muhoozi Kainerugaba
Wewe ambaye hauko programmed si utupe huo mfano wa mashambulizi ya hizo drones? Kumbuka mimi sio nyumbu kama wewe!!!Wewe utajuaje nawe uko programmed kusifia upumbavu wa watawa vilaza?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mbona hata Obama alitumia gari zakeJana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Na mimi siyo nguruwe kama wewe. Unajua yule General wa Iran alimalizwaje na msafara wake uliokuwa na ulinzi babu kubwa. Kama hujui basi kaa kimyaWewe ambaye hauko programmed si utupe huo mfano wa mashambulizi ya hizo drones? Kumbuka mimi sio nyumbu kama wewe!!!
labda anakimbia airport yake akipitia hapo wachina watadai chaoJana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Ulinzi wa malungu wa kizamani.Sijui wanalindaga Nini wkt drone tu inaweza ikafanya yake.
Hakuna magaidi uganda. Zile alilipua yeye mwenyewe ili apate sababu ya kuwabana wapinzani wake kwa kisingizio cha tishio la ugaidiDikteta muoga, wale MAGAIDI waliopiga Kampala wanamnyima usingizi, bladefeken.
Basisi Sisi ni wajinga😅Ukiwa mjinga unaweza kufikiri kuwa hawa ni marais.
View attachment 2027059
M7 kusimama tu anataka kuanguka😅😅Ukiwa mjinga unaweza kufikiri kuwa hawa ni marais.
View attachment 2027059
Vibaka walioingia madarakani kwa kupora chaguzi hawawezi kuitwa kuwa ni marais.Atakaewaita kuwa ni marais ni punguani peke yake.Basisi Sisi ni wajinga😅
Mbona marehemu Gadaf alikuwa anatembea nayo,lakini wakati wa kurudi alikuwa anayaacha alishawai kuacha msururu wa Benz Malawi
Ni ruksa tu wala si tatizo.. Maraisi wengi tu husafiri na magari Yao akiwepo raisi wa Marekani, muammar gadafi alikua akifanya hvo hata alipokua akienda ulaya, raisi wa uturuki, mfalme wa Saudi Arabia,malkia Elizabeth...Jana asubuhi hapa Manyoni-Singida ilipita convoy ya Uganda ikiwa escorted na Polisi Tanzania.
Miongoni mwa magari hayo, kuna moja lilikua limebeba gari, iliyokuwa imefunikwa gubi gubi, nilivyojaribu kufuatilia nikagundua kuwa Museveni alitakiwa kuwepo Tanzania leo.
Swali, je ni sahihi Rais kutumia gari yake kwenye ziara kama hizi?
Ni sababu za kiusalama tu au kuna la zaidi?
Duuh kweli aisee hatuna marais hapoVibaka walioingia madarakani kwa kupora chaguzi hawawezi kuitwa kuwa ni marais.Atakaewaita kuwa ni marais ni punguani peke yake.View attachment 2027066
🤣🤣🤣Duuh kweli aisee hatuna marais hapo