secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Miluzi na nyimbo za mabadiliko vinalia kwenye compaund yake, sebuleni sasa hivi sauti zinalia beardroom kwake...Siku za Museveni madarakani zinahesabika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miluzi na nyimbo za mabadiliko vinalia kwenye compaund yake, sebuleni sasa hivi sauti zinalia beardroom kwake...Siku za Museveni madarakani zinahesabika
Inawezekana ukawa tajiri wa kipato lakini maskini wa kufikiri...kama weweHakuna tajiri ambaye ni masikini
😆😆😆 nimecheka kwa dharau sana !Inawezekana ukawa tajiri wa kipato lakini maskini wa kufikiri...kama wewe
Ati huyu Mzee anasema hakuna mganda yoyote mwenye akili ambaye anaweza kumkabidhi nchi - hivyo anaendelea.....hadi hapo atakapopatikana.Siku za Museveni madarakani zinahesabika.
Tototundu aifuta CCM Iringa!!!!! Nikikumbuka hiyo nacheeeka kama teja.Siku za Museveni madarakani zinahesabika.
Sehemu zote nyeti ni hao hao tu,sijui kwani ni hawajiamini wakati wanaimba kuwa wanakubalikaHata swahiba angefanya hivyo hivyo sema hana thus kaweka kabila lake.
Hilo halina shaka na ndiyo maana unamuona yule Bob Wine haogopi risasi wala mizingaMuseven asipokuwa making atajikuta yeye na mwanaye kipenzi Muhoozi wakiwa ICC kwa fatumah.
Anaweza kumfuata Mugabe kwa kisukari au bpMiluzi na nyimbo za mabadiliko vinalia kwenye compaund yake, sebuleni sasa hivi sauti zinalia beardroom kwake...
Hakuna mwana mageuzi ni popo kama nyinyi matagaInawezekana ukawa tajiri wa kipato lakini maskini wa kufikiri...kama wewe
Ukimuangalia tayari sura imesha kunjamana pamoja na kutumia vipodozi vya ghalama kubwaHuyu kashaifanya Uganda yake!!
Aseme kuwa hadi isreli atakavyo muitaAti huyu Mzee anasema hakuna mganda yoyote mwenye akili ambaye anaweza kumkabidhi nchi - hivyo anaendelea.....hadi hapo atakapopatikana.
Bila kupigwa miti M7 hatoki madarakani ng'o.